ISO M.CodD
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 7,845
- 16,942
Kuna sura fulani hivi ukimletea oale mwanzoni tu mnapoonana anajua wewe si wa mchezoWanawaangalia na Watu wenyewe wa kuwafanyia ujinga, mimi Mtoto awe wangu awe wa jirani awe wa ndugu wanajua fika sipendi ujinga, sipigi Mtoto ila nina Mikwara [emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mimi nilienda kwa mama mkubwa wa mchumba wangu,tukakuta kajukuu kake pale kadogo kapo chekechea,ni kajanja sana nikmpa simu yangu nikamuwekea game acheze,nikawa naendelea na story na yule mama mara ghafla kikampelekea simu bibi yake kumuonyesha mi nikajua kamewin ile game kumbe kanamuonyesha video ya porn iliyokuwa mule.Niliishiwa pozi kabisa.
Kwa hiyo hilo jina anatakiwa kupewa mtoto wa ngapiNina house girl wangu mpya kaja na mwanae anaitwa junior na jinsi anavyo mlea huyo mtoto ipo siku ataninunia week nzima, we uliona wapi mtoto wa kwanza ukamuita junior[emoji23][emoji23][emoji23]
".... ondoka tule...." huku akinisukuma.
Na wewe haunaNaendelea kusoma comments
Sina kwakweliNa wewe hauna
Basi unabahati sanaSina kwakweli
AhsanteBasi unabahati sana
Wanawaangalia na Watu wenyewe wa kuwafanyia ujinga, mimi Mtoto awe wangu awe wa jirani awe wa ndugu wanajua fika sipendi ujinga, sipigi Mtoto ila nina Mikwara [emoji23]
Mtoto mkubwa wa sister ni mkubwa tuu 18 years now kamaliza form 4. kaja home. kufika kakuta wamepika makange akasema yeye hali makange. nkampa hela akaenda nunua chips. asubuh chai tukanunua mihogo kasema halagi mihogo anataka chapati za maji, akapewa. inshu ikaja kwenye kusaidia kazi. hakuna kazi anayoweza labda vyombo tuu kuosha na sio masufuria. kitu pekee anaweza pika ni chai. hata ugali wa mtu mmoja hawezi pika. nkamuuliza vizuri akasema yeye hata kwao wakipika ugali yeye hataki basi anapewa hela anaenda kula mgahawani.
nguo zake anafuliwa. na sio kwamba kwao ni matajiri hapana kipato chao ni cha chini sana.
Mtoto mkubwa wa sister ni mkubwa tuu 18 years now kamaliza form 4. kaja home. kufika kakuta wamepika makange akasema yeye hali makange. nkampa hela akaenda nunua chips. asubuh chai tukanunua mihogo kasema halagi mihogo anataka chapati za maji, akapewa. inshu ikaja kwenye kusaidia kazi. hakuna kazi anayoweza labda vyombo tuu kuosha na sio masufuria. kitu pekee anaweza pika ni chai. hata ugali wa mtu mmoja hawezi pika. nkamuuliza vizuri akasema yeye hata kwao wakipika ugali yeye hataki basi anapewa hela anaenda kula mgahawani.
nguo zake anafuliwa. na sio kwamba kwao ni matajiri hapana kipato chao ni cha chini sana.
Halafu mtoto kama huyo ndio unakutana nae on her 25 anatafta mume hamna anachoweza. πππMtoto mkubwa wa sister ni mkubwa tuu 18 years now kamaliza form 4. kaja home. kufika kakuta wamepika makange akasema yeye hali makange. nkampa hela akaenda nunua chips. asubuh chai tukanunua mihogo kasema halagi mihogo anataka chapati za maji, akapewa. inshu ikaja kwenye kusaidia kazi. hakuna kazi anayoweza labda vyombo tuu kuosha na sio masufuria. kitu pekee anaweza pika ni chai. hata ugali wa mtu mmoja hawezi pika. nkamuuliza vizuri akasema yeye hata kwao wakipika ugali yeye hataki basi anapewa hela anaenda kula mgahawani.
nguo zake anafuliwa. na sio kwamba kwao ni matajiri hapana kipato chao ni cha chini sana.
Yani hao wa hivyo ndio akipata kikazi tu umeishaπππ utakutana na zile za "Nmechoka natoka kazini unataka kila kitu ufanyiwe"Akiolewa ndio utasikia ooh mume wangu nataka nimdhibiti kwa mganga kumbe yeye ndio mchawi
Hiyo lawama ya kusema hupendi watoto hata mimi napewa sana
Yani watu wana amini ili mtu uonekane unampenda mtoto unatakiwa umlee kiyai yai.
Eti chakula ndani kimepikwa ila mtoto ndiye anayetoa maamuzi kuwa leo hali chakula hicho anataka chips na wakati huo haumwi wala nini na mzazi alivyo mjinga unaona yuko radhi kwenda hata kukopa ili kutimiza takwa la mtoto
Malezi ya kilelemama ya kujifanya unaweka uzungu mwingi kumlea mtoto katika misingi ya kimagharibi ndio iliyopelekea kukawa na ongezeko la ushoga.
Tabia ya choyo hio na wengi wanarithi na usipoibadilisha mapema angali mdogo ni shida. Atakuja kuwa na roho mbaya hata ukubwani mwisho awe mchawi kabisa.Kwanini watoto hawapendi mgeni ale chakula?!
Toto badKwa ex wangu mmoja alikuaga single mother.
Naingia ndani dogo hataki niingie anasema toka we sio baba yangu.
Nilipokaaa dogo anaimba usikalie viti vya baba yangu .
Msosi ulipoletwa dogo anangania hatuli nawewe we sio baba yangu .
Hapo vituko kibao mara misonyo mara anitishie na hiki mara kile
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app