Kituko gani alikufanyia mtoto wa mwenyeji wako ulipokuwa ugenini huwezi kukisahau hadi leo hii?

Kituko gani alikufanyia mtoto wa mwenyeji wako ulipokuwa ugenini huwezi kukisahau hadi leo hii?

Mimi nilienda kwa mama mkubwa wa mchumba wangu,tukakuta kajukuu kake pale kadogo kapo chekechea,ni kajanja sana nikmpa simu yangu nikamuwekea game acheze,nikawa naendelea na story na yule mama mara ghafla kikampelekea simu bibi yake kumuonyesha mi nikajua kamewin ile game kumbe kanamuonyesha video ya porn iliyokuwa mule.Niliishiwa pozi kabisa.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Nina house girl wangu mpya kaja na mwanae anaitwa junior na jinsi anavyo mlea huyo mtoto ipo siku ataninunia week nzima, we uliona wapi mtoto wa kwanza ukamuita junior[emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa hiyo hilo jina anatakiwa kupewa mtoto wa ngapi
 
Mtoto mkubwa wa sister ni mkubwa tuu 18 years now kamaliza form 4. kaja home. kufika kakuta wamepika makange akasema yeye hali makange. nkampa hela akaenda nunua chips. asubuh chai tukanunua mihogo kasema halagi mihogo anataka chapati za maji, akapewa. inshu ikaja kwenye kusaidia kazi. hakuna kazi anayoweza labda vyombo tuu kuosha na sio masufuria. kitu pekee anaweza pika ni chai. hata ugali wa mtu mmoja hawezi pika. nkamuuliza vizuri akasema yeye hata kwao wakipika ugali yeye hataki basi anapewa hela anaenda kula mgahawani.

nguo zake anafuliwa. na sio kwamba kwao ni matajiri hapana kipato chao ni cha chini sana.

uyu anafanana kabisaaaaa na mtoto wa shemeji yangu ye kamaliza form 4 mwaka jana now ana 19yrs, aisee nilishangaa jinsi hajui kupika chochote ata ugali, na yeye ananunua chips zake anakula, na ana kiburi cha muujiza.
Nilimshangaa sana halafu ametoka kijijini ndanindani kabisaaaaa.
 
Mtoto mkubwa wa sister ni mkubwa tuu 18 years now kamaliza form 4. kaja home. kufika kakuta wamepika makange akasema yeye hali makange. nkampa hela akaenda nunua chips. asubuh chai tukanunua mihogo kasema halagi mihogo anataka chapati za maji, akapewa. inshu ikaja kwenye kusaidia kazi. hakuna kazi anayoweza labda vyombo tuu kuosha na sio masufuria. kitu pekee anaweza pika ni chai. hata ugali wa mtu mmoja hawezi pika. nkamuuliza vizuri akasema yeye hata kwao wakipika ugali yeye hataki basi anapewa hela anaenda kula mgahawani.

nguo zake anafuliwa. na sio kwamba kwao ni matajiri hapana kipato chao ni cha chini sana.

nilishangaa sana inakuaje binti wa kijijini kabisa ndanindani hujui kupika chochote ata ugali wakati sisi wa kijijini ndio tunaanza kujifunza kupika ugali tukiwa darasa la pili[emoji23]
 
Mtoto mkubwa wa sister ni mkubwa tuu 18 years now kamaliza form 4. kaja home. kufika kakuta wamepika makange akasema yeye hali makange. nkampa hela akaenda nunua chips. asubuh chai tukanunua mihogo kasema halagi mihogo anataka chapati za maji, akapewa. inshu ikaja kwenye kusaidia kazi. hakuna kazi anayoweza labda vyombo tuu kuosha na sio masufuria. kitu pekee anaweza pika ni chai. hata ugali wa mtu mmoja hawezi pika. nkamuuliza vizuri akasema yeye hata kwao wakipika ugali yeye hataki basi anapewa hela anaenda kula mgahawani.

nguo zake anafuliwa. na sio kwamba kwao ni matajiri hapana kipato chao ni cha chini sana.
Halafu mtoto kama huyo ndio unakutana nae on her 25 anatafta mume hamna anachoweza. 😂😂😂
 
Huo upumbavu kwetu hamna na hata kwa mtoto wangu siwezi ruhusu. Akileta umama anakula banzi tu na kwenda kulala njaa na hamna kitu mama yake atafanya.
Hiyo lawama ya kusema hupendi watoto hata mimi napewa sana

Yani watu wana amini ili mtu uonekane unampenda mtoto unatakiwa umlee kiyai yai.

Eti chakula ndani kimepikwa ila mtoto ndiye anayetoa maamuzi kuwa leo hali chakula hicho anataka chips na wakati huo haumwi wala nini na mzazi alivyo mjinga unaona yuko radhi kwenda hata kukopa ili kutimiza takwa la mtoto

Malezi ya kilelemama ya kujifanya unaweka uzungu mwingi kumlea mtoto katika misingi ya kimagharibi ndio iliyopelekea kukawa na ongezeko la ushoga.
 
Hahahahahahah
Kwa ex wangu mmoja alikuaga single mother.

Naingia ndani dogo hataki niingie anasema toka we sio baba yangu.

Nilipokaaa dogo anaimba usikalie viti vya baba yangu .

Msosi ulipoletwa dogo anangania hatuli nawewe we sio baba yangu .

Hapo vituko kibao mara misonyo mara anitishie na hiki mara kile

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Toto bad
 
Back
Top Bottom