Kituko gani alikufanyia mtoto wa mwenyeji wako ulipokuwa ugenini huwezi kukisahau hadi leo hii?

Uliamua kujitoa ufahamu
 
Dogo ana akili nzuri mno
 
Mimi mpaka wife ananipiga mkwara kuwa mtoto wetu ndio wa mwisho hazai tena kwa sababu "sipendi" watoto. Ila sio kwamba sipendi watoto, sipendi upuuzi wa watoto. Tena upuuzi wa makusudi.
Sipendi ujinga kabisa.
Hiyo lawama ya kusema hupendi watoto hata mimi napewa sana

Yani watu wana amini ili mtu uonekane unampenda mtoto unatakiwa umlee kiyai yai.

Eti chakula ndani kimepikwa ila mtoto ndiye anayetoa maamuzi kuwa leo hali chakula hicho anataka chips na wakati huo haumwi wala nini na mzazi alivyo mjinga unaona yuko radhi kwenda hata kukopa ili kutimiza takwa la mtoto

Malezi ya kilelemama ya kujifanya unaweka uzungu mwingi kumlea mtoto katika misingi ya kimagharibi ndio iliyopelekea kukawa na ongezeko la ushoga.
 
Wew kiboko[emoji23]
 
Ulimnyoosha safi kabisa
 
Miaka furani bhana kuna likizo tulikwenda kwa sista wazo kwenye kota zile sasa asabui dada yangu na ndugu wakike wa mume wa dada asubui walikurupuku na mtoto wa sista akatikisa kabati ambali juu yake kulikuwa na kinanda cha dogo kanunuliwa kama toy achwze kikaanguka na kuvunjika sasa ile mimi natoka wakanitaja mimi shemeji alinipa Kofi la maana tokea siku ile mpaka leo sijawai kuumaliza usiku kwake na hata nikienda basi nampeleka mtu hata nikikutana nae njiani yeye wala watoto siwasalimii na nashukuru watoto wake nimesahau hata sura sizikumbuki
 
Pole sana mkuu,shemeji inaonekana mtata sana
 
Pole sana.
 
Nani ana radio siku hizi ( labda kwenye simu lakini sio radio kama zamani)? utakuwa mshamba au mtu wa zamani sana wewe
Wewe ni mpumbavu. Pengine hata huelewi radio ni nini. Watu wanamiliki magari ya kifahari na ndani yana radio. Nyumbani kuna Home theater, Subwoofer na hizo zote ni aina ya radio za kisasa.

Acha dhihaka hata kwa anayemiliki radio ndio raha yake.
 
[emoji23][emoji23]hatari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…