Kwa aunt analmtoto 5years wa kiume,yaani anawasha gesi inshot ana mambo ya hatari sana,muharibifu,binti wa kazi anakoma,
Nilikuwa zangu jikoni nimepika nikatoka,nikasimama dinning natizama nje,
Yule mtoto sijui alipita muda gani kuelekea jikoni,nashtuka nimebandikwa na kisu cha moto mkononi aisee nilitamani ardhi ipasuke,,,,,alidundwa na mama yake na Mungu akamlaani siku ya pili alikuwa anachezea moto wa mkaa akaukanyaga kwa miguu yote miwili,aliungua vibaya sana,
Siku naondoka kananiambia usiondoke mie nitabaki na nani,aunt nikikumisi utakuja kuniona huku kanalia,
Sijaendaga tena,wanaishia tu kuniambia utakuja lini,
Maana aunt analalamika adumu na wasichana wa kazi,,nikagundua shida ni tabia za mwanae maana mwenyewe yupo poa tu
nahisi inasababishwa pia na malezi ya mama pekee