Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Heeeeee, hata kama ni Kutengeneza mazingira ya Padiemu , hizi zingine muwe mnatumia akili hata kidogo.
Ziwa Tanganyika, Ziwa Nyasa, Ziwa Victoria Baba laooo, vijiziwa vidogo vidogo , yote hayo Mungu katupa, bado mnapanga kutupiga watanzania ?.
Ziwa Victoria linahamisha watu Kwa sababu ya kufurika kulikopitiliza.
Et ongezeko la watu..
Mara hali ya hewa
Mara kuharibiwa na watu !!.
Wezi wakubwaa msokua na akili , mfyuuuuuu .
View: https://youtu.be/nLwJW_20qqw?si=zF50KyRv8bP0Qw2t
Ziwa Tanganyika, Ziwa Nyasa, Ziwa Victoria Baba laooo, vijiziwa vidogo vidogo , yote hayo Mungu katupa, bado mnapanga kutupiga watanzania ?.
Ziwa Victoria linahamisha watu Kwa sababu ya kufurika kulikopitiliza.
Et ongezeko la watu..
Mara hali ya hewa
Mara kuharibiwa na watu !!.
Wezi wakubwaa msokua na akili , mfyuuuuuu .
View: https://youtu.be/nLwJW_20qqw?si=zF50KyRv8bP0Qw2t