Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Tuendelee kula Kwa urefu wa kamba ila isiwe na kamera kamera SasaHahahah mkuu tukikosa per diem za geological survey tutazipatia wapi pengine acha kazi iendelee..nina interest nayo sana hii habari
hiii yote wanamwogopa Misri, amepiga marufuku tusitumie maji ya victoria. na utawala wa kiarabu ulioko madarakani ndio ngao yao. kama wanataka tutumie maji ya underground, basi misri wenyewe ndio watoe hela kuchimba na kusambaza kama substitute, ama la kuna Rais toka kwa Mungu atakuja kuingia na tutatumia maji ya ziwa victoria yashuke hadi Dodoma na mikoa mengine.Heeeeee, hata kama ni Kutengeneza mazingira ya Padiemu , hizi zingine muwe mnatumia akili hata kidogo.
Ziwa Tanganyika, Ziwa Nyasa, Ziwa Victoria Baba laooo, vijiziwa vidogo vidogo , yote hayo Mungu katupa, bado mnapanga kutupiga watanzania ?.
Ziwa Victoria linahamisha watu Kwa sababu ya kufurika kulikopitiliza.
Et ongezeko la watu..
Mara hali ya hewa
Mara kuharibiwa na watu !!.
Wezi wakubwaa msokua na akili , mfyuuuuuu .
View: https://youtu.be/nLwJW_20qqw?si=zF50KyRv8bP0Qw2t
Wana makammpuni yao uchwara ya kuchimba visimaHeeeeee, hata kama ni Kutengeneza mazingira ya Padiemu , hizi zingine muwe mnatumia akili hata kidogo.
Ziwa Tanganyika, Ziwa Nyasa, Ziwa Victoria Baba laooo, vijiziwa vidogo vidogo , yote hayo Mungu katupa, bado mnapanga kutupiga watanzania ?.
Ziwa Victoria linahamisha watu Kwa sababu ya kufurika kulikopitiliza.
Et ongezeko la watu..
Mara hali ya hewa
Mara kuharibiwa na watu !!.
Wezi wakubwaa msokua na akili , mfyuuuuuu .
View: https://youtu.be/nLwJW_20qqw?si=zF50KyRv8bP0Qw2t
Mbuzi hula kwa mfilingo wake, (urefu wa kamba yake)Hahahah mkuu tukikosa per diem za geological survey tutazipatia wapi pengine acha kazi iendelee..nina interest nayo sana hii habari
Umeelewa hoja au ndiyo changamoto ya akili?Heeeeee, hata kama ni Kutengeneza mazingira ya Padiemu , hizi zingine muwe mnatumia akili hata kidogo.
Ziwa Tanganyika, Ziwa Nyasa, Ziwa Victoria Baba laooo, vijiziwa vidogo vidogo , yote hayo Mungu katupa, bado mnapanga kutupiga watanzania ?.
Ziwa Victoria linahamisha watu Kwa sababu ya kufurika kulikopitiliza.
Et ongezeko la watu..
Mara hali ya hewa
Mara kuharibiwa na watu !!.
Wezi wakubwaa msokua na akili , mfyuuuuuu .
View: https://youtu.be/nLwJW_20qqw?si=zF50KyRv8bP0Qw2t
Lowasa alishalimaliza hilihiii yote wanamwogopa Misri, amepiga marufuku tusitumie maji ya victoria. na utawala wa kiarabu ulioko madarakani ndio ngao yao. kama wanataka tutumie maji ya underground, basi misri wenyewe ndio watoe hela kuchimba na kusambaza kama substitute, ama la kuna Rais toka kwa Mungu atakuja kuingia na tutatumia maji ya ziwa victoria yashuke hadi Dodoma na mikoa mengine.