Kituko kingine Simba et Fadlu David kutoka ligi daraja la chini Afrika ndie kocha mpya. Angalia Cv Mbovu kabisa. Mgunda ni bora mno kwake

Kaja na tutakwimu twake twa livescores anaanza kusumbua
Njooni na Takwimu zingine kutoka source nyingine. Msiwaamini wachambuzi wamenunuliwa.
Huyu sio kocha wa hadhi ata wa kuifundisha namungo.
 
Inakuhusu nini wewe bwenga kwani umeombwa kuchangia hata senti kugharamia ujio wao? Umekomaa na nyuzi zako kila dakika kuponda kila linalofanywa na Simba, tumekuchoka na ushamba wako. Kama vipi anzisha timu yako usajili kama unavyotaka wewe.
Mwaka huu ndio najaribu kufumbua watu macho. Tusiongozwe na wachambuzi wanaonunuliwa. Njoo na cv za huyu kocha vichekesho mtupu
 
Na Mimi nilitaka nimwambie hii kitu
Usifananishe Company na hiki kituko. Hafiki ata kwa mexime.
Miaka 7 bila mafanikio kama kocha. Huyu sio kijana ana 44 years.
Kashindwa ukocha miaka 7 akawa assistant hahaa
 
Hebu diskasini li timu lenu kila muda Simba Simba...ila endeleeni maana na nyie ni mafolowazi wetu..
Sasa mbona mtoa mada ni shabiki mwenzenu wa simba!! Na ametoa maoni yake kwa kadiri alivyo ona inafaa! Mlitakiwa kumjibu kwa ustaarabu tu na kwa hoja. Na siyo kwa kumshambulia kwa matusi na maneno mengine makali.

Mwasibu amejaribu kwa kuweka taarifa ya kuonesha huyo kocha ametokea Raja Casablanca, na siyo Afrika ya Kusini. Ingawa na yeye pia mwisho wa siku ameishia tu kuchafukwa kama ilivyo kawaida yenu!!

Muhimu tu ligi ikianza kuchanganya, tusisikie tena zile kelele za kumkataa Mwenyekiti, au baadhi ya wachezaji wenu mnao watukuza wakati huu wa usajili.
 
AHahhahah Tate nanee....
 
Tuache maneno, mambo haya aliambiwa hata Nabi wakati anafika Yanga kuwa hajui kitu. Mbinu ni zile zile huenda akapata wasaa mzuri Simba.
 
Tulimuelewa vyema Benchika na akashindwa ngoja aje huyo msiemuelewa ili siku moja awafundishe kumuelewa...
Shida sio kumuelewa tu. Mtu hawezi kutoka kuwa kocha kwa miaka 7 baadae akawa assistant coach hahaha. Uongo dhambi Simba tunachezewa sana shele
 
Tuache maneno, mambo haya aliambiwa hata Nabi wakati anafika Yanga kuwa hajui kitu. Mbinu ni zile zile huenda akapata wasaa mzuri Simba.
Usifananishe nabi na huu uchafu. Huyu sio kocha labda anafanya kitu. Bora Maxime tu. Au mkwasa, kawa kocha miaka saba bila mafanikio yoyote.
akatemwa mazima akawa assistant tena kwa timu ya kumi na Africa kwa kiwango. Sasa Simba anakuja kufanya nini.
 
Tuache maneno, mambo haya aliambiwa hata Nabi wakati anafika Yanga kuwa hajui kitu. Mbinu ni zile zile huenda akapata wasaa mzuri Simba.
Usifananishe nabi na huu uchafu. Huyu sio kocha labda anafanya kitu. Bora Maxime tu. Au mkwasa, kawa kocha miaka saba bila mafanikio yoyote.
akatemwa mazima akawa assistant tena kwa timu ya kumi na Africa kwa kiwango. Sasa Simba anakuja kufanya nini.
 
Kwani team yako? Hizo kelele za kumkataa mwenyekiti wetu wee inakuhusu nn? Km hutaki kusikia si uepuke nazo? Kutwaa kuranda kujua yasiyokuhusu lazima ukerekwee.

Em tulizana hapo Avic kibonde maji, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…