Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Amefika hapo kwa nguvu za gizaNa alikuwa mkuu wa mkoa,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amefika hapo kwa nguvu za gizaNa alikuwa mkuu wa mkoa,
Hili ndiyo lijinga kuliko hata ujinga wenyewe[B]Lucas mwashambwa[/B] nampigia Simu hapokei nilitaka nimuite aje ajadili hoja ya Mwenzake..
Bora hata yeye anajua Angalau kujadili hoja kwa maneno 5000
CCM wamekumbatia ushirikina haswaAibu nimeona Mimi
Jambo umetuangusha
Lucas,Shida yenu mnataka mtu ajibu maswali na kuwapa majibu mnavyotaka nyie na yanayowafurahisha
Hawa ni wasemaji wa CDM walipotishwa na chama ,ndio maana hakuna hata siku moja chama kilishawahi kukana mapovu ya hawa watu wawiliLema na mdude hawana authority yeyote kwenye serikali inayoongoza hii nchi, why uwalinganishe na gambo ?
Sio kwa level ya LemaBungeni wamejaa wachawi tupu na majangili
Sasa hapo kajibu Nini Mkuu Tumia tu mlengo Mzuri kumsikiliza bila Bias yoyoteShida yenu mnataka mtu ajibu maswali na kuwapa majibu mnavyotaka nyie na yanayowafurahisha
Tena alianza ukuu wa wilaya,Akawa mkuu wa Mkoa sasa hivi ni MbungeNa alikuwa mkuu wa mkoa,
Shida ni watu wakusifia bila kujenga hoja..Ataongea nini sasa kichwani amejaa utapeli tu
Ni kiongozi ambaye amekuwa kwenye Uongozi wa Maamuzi Kwa muda mrefu sana toka akiwa DC,RC sasa ni MP...Aisee sio yakucheka masta ni ya kusikitika sana haya mambo yan huyo ni kiongozi na anaona anajibu senses 😂😂😂😂 ni hatari sana sana
Kumbe huyu Jamaal Lucas Mwasambwanda ndiyo Gambo hapa JF ? Duh!!!Alipoulizwa kuhusu Kuleta maendeleo Arusha Mjini bado alionekana ana jing'ata ngata..
Tunahitaji Mijadala ya Kitaifa kwa Viongozi na Maswali magumu kama haya kwa Viongozi ili tujue Kama kiongozi wetu wako vizuri Upstair au Ni Gambo
View attachment 2940746
Basi sawaSio kwa level ya Lema
🤣🤣Kumbe huyu Jamaal Lucas Mwasambwanda ndiyo Gambo hapa JF ? Duh!!!