Maswali mengi yalimlenga jiwe, yalikuwa juu ya uwezo wa Gambo so kwa kiasi kikubwa Gambo ameonewa hapo. Ila bado hili halimuondolei ukilaza wake. Kweli alitaitiwaAlipoulizwa kuhusu Kuleta maendeleo Arusha Mjini bado alionekana ana jing'ata ngata..
Tunahitaji Mijadala ya Kitaifa kwa Viongozi na Maswali magumu kama haya kwa Viongozi ili tujue Kama kiongozi wetu wako vizuri Upstair au Ni Gambo