Uchaguzi 2020 Kituko: Tundu Lissu na CHADEMA wanaamini mkoloni angetoa ''haki'' waafrika wasiongemkataa

Uchaguzi 2020 Kituko: Tundu Lissu na CHADEMA wanaamini mkoloni angetoa ''haki'' waafrika wasiongemkataa

Ndugu zangu,

Nikiwa katikati ya shughuli zangu nimesikia kituko toka kwa Lissu na wafuasi wa CHADEMA eti..''pamoja na maendeleo aliyoleta mjerumani alikataliwa na waafrika sababu hakutenda haki'' kwa lugha rahisi ni kuwa mjerumani angetenda hiyo ''haki'' Lissu na wenzake wangefurahia tu angebaki kutawala.

Sijashangaa kwani hata CHADEMA wenyewe wanaamini ni bora leo Robert Amsterdam awe rais wa Tanzania sababu atawapa ''haki'' kuliko Rais Magufuli kwani hatawapa ''haki'' hata kama ataboresha miundombinu. Hii ni akili yenye kukumbatia ukoloni mambo leo na kuhusudu utumwa. Eti waafrika tusijitawale kisa mzungu anatenda ''haki'', duh!

Nimalize tu kwa kusema Tanzania ni ya watanzania haitatawaliwa na mtumwa wa wakoloni wala aliyewatuma.

Embu fikiria kama watu aina ya Lissu wangekuwepo kipindi cha kudai uhuru halafu mzungu akawapa ''haki'' tungekuwa huru??
magu yupo vizuli tu sema ile kofia ya uwenyekiti wachama ndiyo inayo leta kauchafu kwake lakini kuhusu kuongoza kwa ninayo yaona na kuyaskia yupo vizuri sana labda kwa nisiyo yajua
 
Shida ni je wafipa Wana kitambulisho Cha kura [emoji3][emoji3]

Nakumbuka watu walihamasishana wasijiandikishe
 
Sasa kama hata vyombo vya habari tu vinaogopa kusema Lissu yuko Mwanza ... wewe unaona kweli kuna uhuru nchi hii!!?
Nimekuuliza wew binafsi hapo
Huna uhuru wa mambo yako? Au amani kitaani kwenu haipoo?
Usisemee wengne! Semea nafsi yako basi


Kiukweli mimi binafsi kitaani kwetu kupo shwari kinomaa na hakuna habari za mijitu ijiitayo mijambazi kamwe, naishi kwa fraha na amani kama yoteee,
Sijui nyie mnaishi maeneo gani mnakokumbana na hio miraba ya unyang'anyi wa uhai wenu
 
Nimekuuliza wew binafsi hapo
Huna uhuru wa mambo yako? Au amani kitaani kwenu haipoo?
Usisemee wengne! Semea nafsi yako basi


Kiukweli mimi binafsi kitaani kwetu kupo shwari kinomaa na hakuna habari za mijitu ijiitayo mijambazi kamwe, naishi kwa fraha na amani kama yoteee,
Sijui nyie mnaishi maeneo gani mnakokumbana na hio miraba ya unyang'anyi wa uhai wenu
Nazungumzia hali ilivyo ..... Yah right. Sina uhuru wa kupiga siasa kijiweni kama zamani!!
 
..Afrika Kusini ilikuwa nchi huru[wengine wanaita wa bandia] wakati Mzee Mandela na wenzake wako gerezani.

..kilichokuwa kinapiganiwa pale ni HAKI kwamba mfumo wa utawala uliokuwepo ulikuwa hautoi haki sawa kwa raia wote wa Afrika Kusini.

..Zanzibar ilipata uhuru toka kwa Muingereza tarehe 10 Disemba 1963 lakini kulikuwa na figisu-figisu wakati wa uchaguzi na masuala ya ubaguzi na hivyo kusababisha mapinduzi ya tarehe 12 January 1964.

..Tatizo la wana-CCM ni kutokusoma. Hili ni tatizo la Mwenyekiti wao, mpaka huku ngazi za chini na hawa watetezi wa chama kwenye mitandao.
JokaKuu ni kweli habari ya kujisomea na kujua ya dunia kwa viongozi wa CCM awamu ya 5 na makada wao ni tatizo kubwa, na asili yake ni mwenyekiti wao.
Yeye hajisomei na hajui kabisa historia ya nchi hii wala ya dunia, hajui yanayoendelea sasa hivi kwingine nk yaani ni upoloto mtupu.
Ukimpa nafasi aongee, basi akimaliza kusema kilometa za barabara na idadi ya madaraja yanayofuatia ni aibu hata kusikiliza. Yaani ni aibu kwa nchi.
Mtoa mada kila siku anashindwa kumuelewa Lissu (pamoja na kuwa na hiyo digree yake ) sababu ni kuwa hajisomei
 
Ndugu zangu,

Nikiwa katikati ya shughuli zangu nimesikia kituko toka kwa Lissu na wafuasi wa CHADEMA eti..''pamoja na maendeleo aliyoleta mjerumani alikataliwa na waafrika sababu hakutenda haki'' kwa lugha rahisi ni kuwa mjerumani angetenda hiyo ''haki'' Lissu na wenzake wangefurahia tu angebaki kutawala.

Sijashangaa kwani hata CHADEMA wenyewe wanaamini ni bora leo Robert Amsterdam awe rais wa Tanzania sababu atawapa ''haki'' kuliko Rais Magufuli kwani hatawapa ''haki'' hata kama ataboresha miundombinu. Hii ni akili yenye kukumbatia ukoloni mambo leo na kuhusudu utumwa. Eti waafrika tusijitawale kisa mzungu anatenda ''haki'', duh!

Nimalize tu kwa kusema Tanzania ni ya watanzania haitatawaliwa na mtumwa wa wakoloni wala aliyewatuma.

Embu fikiria kama watu aina ya Lissu wangekuwepo kipindi cha kudai uhuru halafu mzungu akawapa ''haki'' tungekuwa huru??
Unakosa uelewa, tena jina kudadavua halikufai
1. Mtawala hatendi haki ndiyo maana mjerumani alitimuliwa japo alileta maendeleo( inafanana na serikali hii)

2. Kiongozi hutenda haki hata kama maendeleo yatakuja taratibu. Huyo ndiyo tunayemtaka ktk nchi yetu kwa sasa.
Uongozi wa kisheria.
 
1599057906566.png

CCM mmechokwa hakuna anaewataka haya mambo ya kulazimishana ni u shamba .
 
Kwenye ukweli usemwe,,maana ukweli utatuweka huru,,,,,,,,,,,,,,,,,,,Hakuna watu wabaya kuliko mabeberu kama viongozi hawa wa Afrika,,,,Tusipende kuweka visingizio vya ubeberu katika udhaifu wa viongozi wetu,,,,, Hivi beberu ndiye kaharibu soko la zao la korosho,,hivi beberu ndiye kaharibu soko la mbaazi,,,,,hivi beberu ndiye kashindwa kufanya uwekezaji kwenye kilimo, kwa miaka 50 ,badala yake amesema mjenge Reli kwenda Mwanza ,, badala ya kuelekea Mbeya ,,Zambia na Congo ya,,Lubumbashi Kwenye mizigo mingi kuliko huko Congo ya kisangani?

Hivi huyo beberu ndiye anayefanya mpigine risasi kwa sababu tu ya hoja za Demokrasia na Haki za binadamu,, Ndugu yangu,,..Duniani nchi nyingi zimesonga mbele sana Kimaendeleo mbele ya huyo unayemwita beberu/Ubeberu,,,,,,South Korea, Malaysia, Singapore, Hong-kong, Taiwan, Thailand, China, India, Vietnam, UAE

Tatizo letu ni viongozi wanaojifanya Miungu watu kwa sababu tu ya kuwa Maraisi wa nchi,,,,,Hawataki demokrasia ya kweli, hawataki haki za binadamu zitamalaki, wabinafsi, wachoyo, wana roho mbaya,,,,,,,,na Makatili,,,,Nchi haiongozwi kwa majaribio,,,,
Hivi kuna shida gani kwa kiongozi kuruhusu uhuru wa kidemokrasia katika kuchagua viongozi ndani ya nchi yake,,na kama watu wanampenda na kuamini ayafanyayo si watampa nafasi tena,,,kwanini wanataka kung'ang'ania madarakani wakati tunawaona hakuna cha maana wanachoweza kufanya ili kulivusha taifa kwenye maendeleo makubwa ya kama Singapore?

Hivi kweli unataka kutuambia kwamba huo ubeberu ndiyo uliofanya Gadafi afiche zaidi ya Tillioni 80 Ulaya na Marekani
Hivi kweli ni huo ubeberu Uliofanya Gadafi akaifanya Libya kama nchi aliyorithi kutoka kwa wazazi wake, na kuwafanya wananchi wake kama wanyama/Watumwa? Au wewe kwa uelewa wako nchi ni mali ya nani
Tatizo la Congo ni wakongo wenyewe,,,,

Tunaweza kutoboa,, na kufanikisha taifa kuwa la maendeleo na haki,,,cha muhimu tusiabudu viongozi, kwa sababu viongozi hawawi malaika kwa kupata uongozi,,,ni binadamu wale wale kama sisi na wanamapungufu makubwa kama tuliyonayo, sisi(concept of check and balance comes in because of our human weakness) ,ndio maana watu lazima wawakosoe viongozi wao,,,Demokrasia ya kweli ikiruhusiwa itakuwa neema kwa taifa na kwa maendeleo ya nchi yetu,,,,,Ubeberu si mbaya ukifananisha na viongozi wa Afrika,,
Demokrasia ya kweli, haki za binadamu, uongozi wa sheria zilizo bora, uimara wa mihimili ya serikali katika kucheck na kubalance, Mfumo wa Utawala wa Westiminister (Parliamentary Government),



Vyama imara vya upinzani vyenye uwezo wa kucheck na kubalance ndio tunu pekee za kuipeleka Afrika dunia ya kwanza mahali bora katika miaka michache ijayo (Kwa hili Ghana inaonyesha njia chini ya Raisi Mwanasheria /Wakili Akufo Nana ADDO, Otherwise mtaendelea kumtafuta mchawi wa maendeleo ya Afrika,,,mtamsingizia Beberu, mtasingizia laana, mtasingizia resorce Curse (laana ya mali nyingi) Mtasingizia udikteta, Mtasingizia hali ya hewa, mtasingizia Word Bank na IMF,, mtasingizia Mchina,,,na viongozi wenu watakuwa hawawajibiki kwa kisingizio cha huyo huyo beberu,,, viongozi wenu watakuwa wanaiba mali zenu na kuzipeleka Ulaya,, mkiuliza kwanini hampigi hatua ,,watasingizia huyo huyo beberu,,,,,,kazi kwenu,,,,,,hata Mwalimu Nyerere kiongozi wenu aliposema ili tuendelee,,hakusema tupambane na beberu,,,, na kwamba kama yupo hatuwezi kuendelea. Tanzania siyo kisiwa,,itashirikiana na wenzake ili kupiga hatua za kimaendeleo,,,hata wakati wa utawala wa Kilwa empire,,ilishirikana na mataifa mengine na kupiga hatua kubwa,,,,Akili mukichwa nimemaliza....Mungu akusaidie,,akupe maarifa,,na aendelee kukufunua ubongo ili uijue kweli,,na kweli ikuweke huru.
Thank you..! Ila umempa jibu kubwa sana kuliko uwezo wake wa kufikiri. Imegundulika kuna ugonjwa mpya umeibuka kwa mbogamboga pale Lumumba, ugonjwa wa kufikiri kwa kutumia tumbo na n'nyaaaa...!
 
Toka nijiunge na hili jukwaa sijawahi kuona mtu bogus kama wewe.! 😛 😛

Yaani unaona ni sahihi Magufuli aue tu watu na kuwateka wengine kisa tu anatujengea sijui takataka gani hizo ambazo pia hajengi kwa hela zake kwamba anazitoa mifukoni mwake.

Yaani wewe unaona hivyo vitu ni muhimu kuliko utu. You're very useless indeed.
 
Wanapigania haki yao ya msingi yakutawaliwa nawazungu
 
Mleta mada rudi upya shuleni.
Huwezi kutenda haki na kuwapa uhuru watu halafu hapo hapo ukaendelea kuwa mkoloni.
Mkoloni maana yake ni mfumo wa kuwanyonya watu (kuwanyima haki zao) na kuwatumikisha watu (kuwanyima uhuru wao).
 
Kwenye ukweli usemwe,,maana ukweli utatuweka huru,,,,,,,,,,,,,,,,,,,Hakuna w itatu wabaya kuliko mabeberu kama viongozi hawa wa Afrika,,,,Tusipende kuweka visingizio vya ubeberu katika udhaifu wa viongozi wetu,,,,, Hivi beberu ndiye kaharibu soko la zao la korosho,,hivi beberu ndiye kaharibu soko la mbaazi,,,,,hivi beberu ndiye kashindwa kufanya uwekezaji kwenye kilimo, kwa miaka 50 ,badala yake amesema mjenge Reli kwenda Mwanza ,, badala ya kuelekea Mbeya ,,Zambia na Congo ya,,Lubumbashi Kwenye mizigo mingi kuliko huko Congo ya kisangani?

Hivi huyo beberu ndiye anayefanya mpigine risasi kwa sababu tu ya hoja za Demokrasia na Haki za binadamu,, Ndugu yangu,,..Duniani nchi nyingi zimesonga mbele sana Kimaendeleo mbele ya huyo unayemwita beberu/Ubeberu,,,,,,South Korea, Malaysia, Singapore, Hong-kong, Taiwan, Thailand, China, India, Vietnam, UAE

Tatizo letu ni viongozi wanaojifanya Miungu watu kwa sababu tu ya kuwa Maraisi wa nchi,,,,,Hawataki demokrasia ya kweli, hawataki haki za binadamu zitamalaki, wabinafsi, wachoyo, wana roho mbaya,,,,,,,,na Makatili,,,,Nchi haiongozwi kwa majaribio,,,,
Hivi kuna shida gani kwa kiongozi kuruhusu uhuru wa kidemokrasia katika kuchagua viongozi ndani ya nchi yake,,na kama watu wanampenda na kuamini ayafanyayo si watampa nafasi tena,,,kwanini wanataka kung'ang'ania madarakani wakati tunawaona hakuna cha maana wanachoweza kufanya ili kulivusha taifa kwenye maendeleo makubwa ya kama Singapore?

Hivi kweli unataka kutuambia kwamba huo ubeberu ndiyo uliofanya Gadafi afiche zaidi ya Tillioni 80 Ulaya na Marekani
Hivi kweli ni huo ubeberu Uliofanya Gadafi akaifanya Libya kama nchi aliyorithi kutoka kwa wazazi wake, na kuwafanya wananchi wake kama wanyama/Watumwa? Au wewe kwa uelewa wako nchi ni mali ya nani
Tatizo la Congo ni wakongo wenyewe,,,,

Tunaweza kutoboa,, na kufanikisha taifa kuwa la maendeleo na haki,,,cha muhimu tusiabudu viongozi, kwa sababu viongozi hawawi malaika kwa kupata uongozi,,,ni binadamu wale wale kama sisi na wanamapungufu makubwa kama tuliyonayo, sisi(concept of check and balance comes in because of our human weakness) ,ndio maana watu lazima wawakosoe viongozi wao,,,Demokrasia ya kweli ikiruhusiwa itakuwa neema kwa taifa na kwa maendeleo ya nchi yetu,,,,,Ubeberu si mbaya ukifananisha na viongozi wa Afrika,,
Demokrasia ya kweli, haki za binadamu, uongozi wa sheria zilizo bora, uimara wa mihimili ya serikali katika kucheck na kubalance, Mfumo wa Utawala wa Westiminister (Parliamentary Government),



Vyama imara vya upinzani vyenye uwezo wa kucheck na kubalance ndio tunu pekee za kuipeleka Afrika dunia ya kwanza mahali bora katika miaka michache ijayo (Kwa hili Ghana inaonyesha njia chini ya Raisi Mwanasheria /Wakili Akufo Nana ADDO, Otherwise mtaendelea kumtafuta mchawi wa maendeleo ya Afrika,,,mtamsingizia Beberu, mtasingizia laana, mtasingizia resorce Curse (laana ya mali nyingi) Mtasingizia udikteta, Mtasingizia hali ya hewa, mtasingizia Word Bank na IMF,, mtasingizia Mchina,,,na viongozi wenu watakuwa hawawajibiki kwa kisingizio cha huyo huyo beberu,,, viongozi wenu watakuwa wanaiba mali zenu na kuzipeleka Ulaya,, mkiuliza kwanini hampigi hatua ,,watasingizia huyo huyo beberu,,,,,,kazi kwenu,,,,,,hata Mwalimu Nyerere kiongozi wenu aliposema ili tuendelee,,hakusema tupambane na beberu,,,, na kwamba kama yupo hatuwezi kuendelea. Tanzania siyo kisiwa,,itashirikiana na wenzake ili kupiga hatua za kimaendeleo,,,hata wakati wa utawala wa Kilwa empire,,ilishirikana na mataifa mengine na kupiga hatua kubwa,,,,Akili mukichwa nimemaliza....Mungu akusaidie,,akupe maarifa,,na aendelee kukufunua ubongo ili uijue kweli,,na kweli ikuweke huru.
Jomba umepoteza muda wako bureee sijui utaulipiaje..kwanza unazungumzia demokrasia, hivi umeshafanya analysis kwenye vyama hivi vyooote na kuona demokrasia inavyokandamizwa wapi...tuwe wakweli tu..tusijifanye tunafumba macho..uliza kwanini vipngozi wengi wamehama vyama vyao wameenda kuunga mkono juhudi za Magufuli..whyyy..kwenye vyama vyao Kuna matatizo gani...jiulize..
Umeshauliza ruzuku zinatafunwaje kwenye vyama hivi , hiki ni kipimo kizuri Sana Cha uadilifu na demokrasia..tupe data jomba..chambua tuone..
Umesikia leo jinsi waombaji ubunge wanawake wanavyolalamika wameenguliwa bila sababu za msingi...umepimaje hili kwa vyama vyenu..je kuna demokrasia..mambo yapo chungumzima na najua mnajua Sana sema mna chuki tu na mtu kwa jinsi alivyowatumbua na kuwakosesha fursa zile za madili
 
Kama ulikuwa hujui mkoloni alikuwa anatawalaje Tanganyika, basi tazama utawala wa sasa wa Tanzania chini ya Mzee Meko huenda utaelewa.
Kama kuna tofauti, basi hiyo tofauti ni ndogo sana.
 
Ndugu zangu,

Nikiwa katikati ya shughuli zangu nimesikia kituko toka kwa Lissu na wafuasi wa CHADEMA eti..''pamoja na maendeleo aliyoleta mjerumani alikataliwa na waafrika sababu hakutenda haki'' kwa lugha rahisi ni kuwa mjerumani angetenda hiyo ''haki'' Lissu na wenzake wangefurahia tu angebaki kutawala.

Sijashangaa kwani hata CHADEMA wenyewe wanaamini ni bora leo Robert Amsterdam awe rais wa Tanzania sababu atawapa ''haki'' kuliko Rais Magufuli kwani hatawapa ''haki'' hata kama ataboresha miundombinu. Hii ni akili yenye kukumbatia ukoloni mambo leo na kuhusudu utumwa. Eti waafrika tusijitawale kisa mzungu anatenda ''haki'', duh!

Nimalize tu kwa kusema Tanzania ni ya watanzania haitatawaliwa na mtumwa wa wakoloni wala aliyewatuma.

Embu fikiria kama watu aina ya Lissu wangekuwepo kipindi cha kudai uhuru halafu mzungu akawapa ''haki'' tungekuwa huru??
Hizi ni dalili za kuliwa mpalange
 
JokaKuu ni kweli habari ya kujisomea na kujua ya dunia kwa viongozi wa CCM awamu ya 5 na makada wao ni tatizo kubwa, na asili yake ni mwenyekiti wao.
Yeye hajisomei na hajui kabisa historia ya nchi hii wala ya dunia, hajui yanayoendelea sasa hivi kwingine nk yaani ni upoloto mtupu.
Ukimpa nafasi aongee, basi akimaliza kusema kilometa za barabara na idadi ya madaraja yanayofuatia ni aibu hata kusikiliza. Yaani ni aibu kwa nchi.
Mtoa mada kila siku anashindwa kumuelewa Lissu (pamoja na kuwa na hiyo digree yake ) sababu ni kuwa hajisomei
Mkuu Chakaza ,ukiwa CCM,akili,utashi, elimu na reasoning havihitajiki kabisa.
 
Back
Top Bottom