Uchaguzi 2020 Kituko: Tundu Lissu na CHADEMA wanaamini mkoloni angetoa ''haki'' waafrika wasiongemkataa

Uchaguzi 2020 Kituko: Tundu Lissu na CHADEMA wanaamini mkoloni angetoa ''haki'' waafrika wasiongemkataa

Binafsi ninawish Tz ingeendelea tu kutawaliwa na wakoloni. Ila hawa ccm wanaotaka raia wawe maskini wa fedha na akili ili waweze kuwatawala hawafai kabisa.
 
Acha propaganda za kijinga. Watanzania wana akili. Tunahitaji uhuru na maendeleo. Siyo maendeleo huku watu wakipotea bila maelezo, kuuawa, vyombo vya habari kuminywa... Unawezakupata maendeleo na pia ukawa huru.
Ndugu zangu,

Nikiwa katikati ya shughuli zangu nimesikia kituko toka kwa Lissu na wafuasi wa CHADEMA eti..''pamoja na maendeleo aliyoleta mjerumani alikataliwa na waafrika sababu hakutenda haki'' kwa lugha rahisi ni kuwa mjerumani angetenda hiyo ''haki'' Lissu na wenzake wangefurahia tu angebaki kutawala.

Sijashangaa kwani hata CHADEMA wenyewe wanaamini ni bora leo Robert Amsterdam awe rais wa Tanzania sababu atawapa ''haki'' kuliko Rais Magufuli kwani hatawapa ''haki'' hata kama ataboresha miundombinu. Hii ni akili yenye kukumbatia ukoloni mambo leo na kuhusudu utumwa. Eti waafrika tusijitawale kisa mzungu anatenda ''haki'', duh!

Nimalize tu kwa kusema Tanzania ni ya watanzania haitatawaliwa na mtumwa wa wakoloni wala aliyewatuma.

Embu fikiria kama watu aina ya Lissu wangekuwepo kipindi cha kudai uhuru halafu mzungu akawapa ''haki'' tungekuwa huru??
 
Mleta mada anaandika utafikiri anayemwandikia asome ni darasa la kwanza!
Inasikitisha kuona hoja nyepesi kama hizi jukwaa kama hili!
 
Kwako amani nikutokua na majambazi au wanyang"anyi.kwahiyo nchi ambazo zilipigana vita ya wenyewe kwa wenyewe au nchi kwa nchi nikwasababu kulikua na majambazi na wanyanganyi?.ndugu huo ni utulivu sio amani.Nenda kajifunze kwanza amani ni nini na inatokana na nini ndo urudi kwenye mjadala.
Nimekuuliza wew binafsi hapo
Huna uhuru wa mambo yako? Au amani kitaani kwenu haipoo?
Usisemee wengne! Semea nafsi yako basi


Kiukweli mimi binafsi kitaani kwetu kupo shwari kinomaa na hakuna habari za mijitu ijiitayo mijambazi kamwe, naishi kwa fraha na amani kama yoteee,
Sijui nyie mnaishi maeneo gani mnakokumbana na hio miraba ya unyang'anyi wa uhai wenu
 
Kwani hivyo vyama ni ikulu kwamba mahesabu yake hayakaguliwi,na kama kuna matatizo si kuna vyombo husika vyakushughulikia hayo.Ukiona hayo yote hayafanyiki jua nchi yenyewe ndiyo yenye mifumo mibovu yakuendesha siasa,usimamizi wa fedha,haki na democrasia ndo maana hayo yanatokea.
Jomba umepoteza muda wako bureee sijui utaulipiaje..kwanza unazungumzia demokrasia, hivi umeshafanya analysis kwenye vyama hivi vyooote na kuona demokrasia inavyokandamizwa wapi...tuwe wakweli tu..tusijifanye tunafumba macho..uliza kwanini vipngozi wengi wamehama vyama vyao wameenda kuunga mkono juhudi za Magufuli..whyyy..kwenye vyama vyao Kuna matatizo gani...jiulize..
Umeshauliza ruzuku zinatafunwaje kwenye vyama hivi , hiki ni kipimo kizuri Sana Cha uadilifu na demokrasia..tupe data jomba..chambua tuone..
Umesikia leo jinsi waombaji ubunge wanawake wanavyolalamika wameenguliwa bila sababu za msingi...umepimaje hili kwa vyama vyenu..je kuna demokrasia..mambo yapo chungumzima na najua mnajua Sana sema mna chuki tu na mtu kwa jinsi alivyowatumbua na kuwakosesha fursa zile za madili
 
Ndugu zangu,

Nikiwa katikati ya shughuli zangu nimesikia kituko toka kwa Lissu na wafuasi wa CHADEMA eti..''pamoja na maendeleo aliyoleta mjerumani alikataliwa na waafrika sababu hakutenda haki'' kwa lugha rahisi ni kuwa mjerumani angetenda hiyo ''haki'' Lissu na wenzake wangefurahia tu angebaki kutawala.

Sijashangaa kwani hata CHADEMA wenyewe wanaamini ni bora leo Robert Amsterdam awe rais wa Tanzania sababu atawapa ''haki'' kuliko Rais Magufuli kwani hatawapa ''haki'' hata kama ataboresha miundombinu. Hii ni akili yenye kukumbatia ukoloni mambo leo na kuhusudu utumwa. Eti waafrika tusijitawale kisa mzungu anatenda ''haki'', duh!

Nimalize tu kwa kusema Tanzania ni ya watanzania haitatawaliwa na mtumwa wa wakoloni wala aliyewatuma.

Embu fikiria kama watu aina ya Lissu wangekuwepo kipindi cha kudai uhuru halafu mzungu akawapa ''haki'' tungekuwa huru??
HAKI HUINUA TAIFA haya ni maneno ya mwenyezi Mungu juu ya watu wake kupitia Biblia takatifu,haki haiwezi kuwa mbadala wa jambo lolote lile mfano ulete maendeleo kwa gharama ya kunyima haki utakataliwa tu.
 
Yaani aya ya kwanza tu umetoa BOKO. Ulivyo tiririka na hiyo argument yako unajidhalilisha.


KUTAWALIWA ni HAKI?
 
Kwani hivyo vyama ni ikulu kwamba mahesabu yake hayakaguliwi,na kama kuna matatizo si kuna vyombo husika vyakushughulikia hayo.Ukiona hayo yote hayafanyiki jua nchi yenyewe ndiyo yenye mifumo mibovu yakuendesha siasa,usimamizi wa fedha,haki na democrasia ndo maana hayo yanatokea.
Daaa jomba unataka serikali ya Magufuli iingilie hata demokrasia ya Ndani ya vyama vingine na matumizi ya fedha...kweli we kibokoo..ungekuwa wewe ungekubali
 
Kwani hivyo vyama ni ikulu kwamba mahesabu yake hayakaguliwi,na kama kuna matatizo si kuna vyombo husika vyakushughulikia hayo.Ukiona hayo yote hayafanyiki jua nchi yenyewe ndiyo yenye mifumo mibovu yakuendesha siasa,usimamizi wa fedha,haki na democrasia ndo maana hayo yanatokea.
Daaa jomba unataka serikali ya Magufuli iingilie hata demokrasia ya Ndani ya vyama vingine na matumizi ya fedha...kweli we kibokoo..ungekuwa wewe ungekubali
 
Kamanda Uhuru si matusi
Acha propaganda za kijinga. Watanzania wana akili. Tunahitaji uhuru na maendeleo. Siyo maendeleo huku watu wakipotea bila maelezo, kuuawa, vyombo vya habari kuminywa... Unawezakupata maendeleo na pia ukawa huru.
 
Ndugu zangu,

Nikiwa katikati ya shughuli zangu nimesikia kituko toka kwa Lissu na wafuasi wa CHADEMA eti..''pamoja na maendeleo aliyoleta mjerumani alikataliwa na waafrika sababu hakutenda haki'' kwa lugha rahisi ni kuwa mjerumani angetenda hiyo ''haki'' Lissu na wenzake wangefurahia tu angebaki kutawala.

Sijashangaa kwani hata CHADEMA wenyewe wanaamini ni bora leo Robert Amsterdam awe rais wa Tanzania sababu atawapa ''haki'' kuliko Rais Magufuli kwani hatawapa ''haki'' hata kama ataboresha miundombinu. Hii ni akili yenye kukumbatia ukoloni mambo leo na kuhusudu utumwa. Eti waafrika tusijitawale kisa mzungu anatenda ''haki'', duh!

Nimalize tu kwa kusema Tanzania ni ya watanzania haitatawaliwa na mtumwa wa wakoloni wala aliyewatuma.

Embu fikiria kama watu aina ya Lissu wangekuwepo kipindi cha kudai uhuru halafu mzungu akawapa ''haki'' tungekuwa huru??
Mkoloni mweusi anapiga Risasi, anateka na kuwapoteza weusi wenzake.
Mkoloni Mweupe hakufanya huu upuuzi,kupiga Risasi weupe wenzake.
Mkoloni Mweupe aliwapenda sana Weupe wenzake.
Mkoloni Mweupe alikuwa Mzalendo
 
Umeni
Kwenye ukweli usemwe,,maana ukweli utatuweka huru,,,,,,,,,,,,,,,,,,,Hakuna watu wabaya kuliko mabeberu kama viongozi hawa wa Afrika,,,,Tusipende kuweka visingizio vya ubeberu katika udhaifu wa viongozi wetu,,,,, Hivi beberu ndiye kaharibu soko la zao la korosho,,hivi beberu ndiye kaharibu soko la mbaazi,,,,,hivi beberu ndiye kashindwa kufanya uwekezaji kwenye kilimo, kwa miaka 50 ,badala yake amesema mjenge Reli kwenda Mwanza ,, badala ya kuelekea Mbeya ,,Zambia na Congo ya,,Lubumbashi Kwenye mizigo mingi kuliko huko Congo ya kisangani?

Hivi huyo beberu ndiye anayefanya mpigine risasi kwa sababu tu ya hoja za Demokrasia na Haki za binadamu,, Ndugu yangu,,..Duniani nchi nyingi zimesonga mbele sana Kimaendeleo mbele ya huyo unayemwita beberu/Ubeberu,,,,,,South Korea, Malaysia, Singapore, Hong-kong, Taiwan, Thailand, China, India, Vietnam, UAE

Tatizo letu ni viongozi wanaojifanya Miungu watu kwa sababu tu ya kuwa Maraisi wa nchi,,,,,Hawataki demokrasia ya kweli, hawataki haki za binadamu zitamalaki, wabinafsi, wachoyo, wana roho mbaya,,,,,,,,na Makatili,,,,Nchi haiongozwi kwa majaribio,,,,
Hivi kuna shida gani kwa kiongozi kuruhusu uhuru wa kidemokrasia katika kuchagua viongozi ndani ya nchi yake,,na kama watu wanampenda na kuamini ayafanyayo si watampa nafasi tena,,,kwanini wanataka kung'ang'ania madarakani wakati tunawaona hakuna cha maana wanachoweza kufanya ili kulivusha taifa kwenye maendeleo makubwa ya kama Singapore?

Hivi kweli unataka kutuambia kwamba huo ubeberu ndiyo uliofanya Gadafi afiche zaidi ya Tillioni 80 Ulaya na Marekani
Hivi kweli ni huo ubeberu Uliofanya Gadafi akaifanya Libya kama nchi aliyorithi kutoka kwa wazazi wake, na kuwafanya wananchi wake kama wanyama/Watumwa? Au wewe kwa uelewa wako nchi ni mali ya nani
Tatizo la Congo ni wakongo wenyewe,,,,

Tunaweza kutoboa,, na kufanikisha taifa kuwa la maendeleo na haki,,,cha muhimu tusiabudu viongozi, kwa sababu viongozi hawawi malaika kwa kupata uongozi,,,ni binadamu wale wale kama sisi na wanamapungufu makubwa kama tuliyonayo, sisi(concept of check and balance comes in because of our human weakness) ,ndio maana watu lazima wawakosoe viongozi wao,,,Demokrasia ya kweli ikiruhusiwa itakuwa neema kwa taifa na kwa maendeleo ya nchi yetu,,,,,Ubeberu si mbaya ukifananisha na viongozi wa Afrika,,
Demokrasia ya kweli, haki za binadamu, uongozi wa sheria zilizo bora, uimara wa mihimili ya serikali katika kucheck na kubalance, Mfumo wa Utawala wa Westiminister (Parliamentary Government),

Vyama imara vya upinzani vyenye uwezo wa kucheck na kubalance ndio tunu pekee za kuipeleka Afrika dunia ya kwanza mahali bora katika miaka michache ijayo (Kwa hili Ghana inaonyesha njia chini ya Raisi Mwanasheria /Wakili Akufo Nana ADDO, Otherwise mtaendelea kumtafuta mchawi wa maendeleo ya Afrika,,,mtamsingizia Beberu, mtasingizia laana, mtasingizia resorce Curse (laana ya mali nyingi) Mtasingizia udikteta, Mtasingizia hali ya hewa, mtasingizia Word Bank na IMF,, mtasingizia Mchina,,,na viongozi wenu watakuwa hawawajibiki kwa kisingizio cha huyo huyo beberu,,, viongozi wenu watakuwa wanaiba mali zenu na kuzipeleka Ulaya,, mkiuliza kwanini hampigi hatua ,,watasingizia huyo huyo beberu,,,,,,kazi kwenu,,,,,,hata Mwalimu Nyerere kiongozi wenu aliposema ili tuendelee,,hakusema tupambane na beberu,,,, na kwamba kama yupo hatuwezi kuendelea. Tanzania siyo kisiwa,,itashirikiana na wenzake ili kupiga hatua za kimaendeleo,,,hata wakati wa utawala wa Kilwa empire,,ilishirikana na mataifa mengine na kupiga hatua kubwa,,,,Akili mukichwa nimemaliza....Mungu akusaidie,,akupe maarifa,,na aendelee kukufunua ubongo ili uijue kweli,,na kweli ikuweke huru.
Umeniquote mkuu hahaha best comment katika uzi huu.

Matatizo mengi yanasababishwa na viongozi wa kiafrica wenyewe wala mabeberu hawatusababishii matatizo kwa kiwango kinachosemwa na hawa mabeberu weusi wajiitao wazalendo
 
Ndugu zangu,

Nikiwa katikati ya shughuli zangu nimesikia kituko toka kwa Lissu na wafuasi wa CHADEMA eti..''pamoja na maendeleo aliyoleta mjerumani alikataliwa na waafrika sababu hakutenda haki'' kwa lugha rahisi ni kuwa mjerumani angetenda hiyo ''haki'' Lissu na wenzake wangefurahia tu angebaki kutawala.

Sijashangaa kwani hata CHADEMA wenyewe wanaamini ni bora leo Robert Amsterdam awe rais wa Tanzania sababu atawapa ''haki'' kuliko Rais Magufuli kwani hatawapa ''haki'' hata kama ataboresha miundombinu. Hii ni akili yenye kukumbatia ukoloni mambo leo na kuhusudu utumwa. Eti waafrika tusijitawale kisa mzungu anatenda ''haki'', duh!

Nimalize tu kwa kusema Tanzania ni ya watanzania haitatawaliwa na mtumwa wa wakoloni wala aliyewatuma.

Embu fikiria kama watu aina ya Lissu wangekuwepo kipindi cha kudai uhuru halafu mzungu akawapa ''haki'' tungekuwa huru??
Unajitaidi kupotosha maana, kwa makusudi na hii inakuonesha usivyo na maana! Propaganda zako zipo chini ya kiwango sana, aliye kupaga unaibu waziri, hata kama ni kuhonga, ni tahahira!
 
Back
Top Bottom