Kijana kijana
JF-Expert Member
- Mar 11, 2018
- 2,546
- 2,621
Nimepata taarifa kutoka kwa bwana mmoja aniambia nitumie kitunguu swaumu kwa kukiponda ponda kisha nisugue kwenye nywele zangu ambazo zimeanza kufifia kama upara kisha zitaanza kurudi.
Nipo kwenye dozi hapa na kweli nikipaka nasikia hasa inaingia nahisi ndo inapenya zake ndani kwenda kurekebisha maoto.
Kama kuna mtu ashawahi tumia tofauti na hii tushare maujanja au kama kuna mtu naye nywele zake zinapotea basi namkaribisha tutumie.
Feedback muhimu
Nipo kwenye dozi hapa na kweli nikipaka nasikia hasa inaingia nahisi ndo inapenya zake ndani kwenda kurekebisha maoto.
Kama kuna mtu ashawahi tumia tofauti na hii tushare maujanja au kama kuna mtu naye nywele zake zinapotea basi namkaribisha tutumie.
Feedback muhimu