Unakubali kuwa kuna kutokuwajibika kwa viongozi katika suala la wamachinga kujaza barabara, hapo hapo unapinga wanaotoa hoja ya kurekebisha hiyo hali hawawapendi wamachinga sababu ya JPM🤣🤣.
Wewe ni vuguvugu, unakaa hapo katikati, si moto si baridi.
Unaamini kuwa si sawa walivyojazana kila sehemu na kuna viongozi hawawajibiki ila wakati huo huo unapinga kurekebisha hilo sababu sijui JPM imekuwaje kulingana na akili yako.
Kufuata utaratibu si kurekebisha hili la wao kujazana sehemu wasizotakiwa kuwepo? Au unasimamia lipi wewe?