Kituo cha Mabasi Magufuli bei ya pango hadi Tsh. 1,200,000/= kwa siku

Mimi tokea tu Siku ile nikwazike na Hayati Rais Dkt. Magufuli kwa Kuwaruhusu Wamachinga wajitawale ndani humo nilijua kuna shida na hata sitaki kuyasikia yanayojiri huko kwani ni Upuuzi mtupu tu.
Bila machinga kukanyaga humo hizo kodi za pango zingekua fair?!
 
Mimi tokea tu Siku ile nikwazike na Hayati Rais Dkt. Magufuli kwa Kuwaruhusu Wamachinga wajitawale ndani humo nilijua kuna shida na hata sitaki kuyasikia yanayojiri huko kwani ni Upuuzi mtupu tu.
Ha ha ha
 
Naanza kuona kituo kikianza kuwa sehemu ya kusambazia unga mikoani na nje ya nchi , kwa biashara za halali huwezi kulipa kodi hizo
 
We ni mjinga kama unetetea hayo mamilioni
Investment ya 60B mnataka mlipe kodi ya laki na nusu kwa mwezi, unategemea huo mradi utarudisha lini hela?

Miaka michache ujayo wakishindwa kuendesha stend kwa uchafu na uchakavu bado mtarudi kuwasema wameshindwa, poor management sijui maneno gani
 
Sasa kwa kodi hiyo unauza Madini humo ndani au ndio hizihzi soda na maji
 
Wanataka watu washindwe ili wawaweke watu wao, yule mbunge aliyesifiwa atuambie amechukua hatua gani?
 
Ngoja tuendelee kupasha sisi tunakuja kuwatetea wanyonge huko au nasema uongo ndugu zangu?
 
Wanataka watu washindwe ili wawaweke watu wao, yule mbunge aliyesifiwa atuambie amechukua hatua gani?
Huyo Mbunge hashikiki tena wala simu za wanajimbo hapokeagi tena akifikiri 2025 ni mbali sana.......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…