Kituo cha Mabasi Magufuli bei ya pango hadi Tsh. 1,200,000/= kwa siku

Kituo cha Mabasi Magufuli bei ya pango hadi Tsh. 1,200,000/= kwa siku

Hizo sehemu, wanaolalamika ni huku kwenye mitandao tu!
Kuna watu hawajui hii na hata smartphone hawamiliki lakini kwenye hizo frem za kuuzia soda na vinywaji ambapo kodi yake ni 1M+ per day ndio wamezishikilia! Nenda pale uone kama hazina wapangaji wanaouza hivyo vyakula na vinywaji tena kwa bei chee kabisa!
Fanya hesabu ndogo tu, watu wanaoingia stand pale wastani kwa siku ni zaidi ya watu 12,000. Kati yao watu 4000 wakinunua maji kwa bei ya Tsh 500, hiyo ni 2M kiwango cha chini!
Msosi bei ya wastani 1500/= kwa watu 4000 hiyo ni 6M!
Usiseme hao watu 4000 watakaa wapi, au kama wote wataenda sehemu moja maana sehemu zitakuwa nyingi!
Ukweli ni kwamba wenye fedha na uwezo wa kulipa tayari wapo mzigoni, wasio na vibanda hata vya chips ndio wamebaki kulalamika tu, utadhani walienda wakafukuzwa kwa mtutu!
Ayo maji unauza peke ako, hivi unajua faida anayopata kwemye chupa moja ya maji?
 
Sasa kama mjasiriamali amepewa fremu ili auze maji na soda ndani ya kituo ghorofani kwa kodi (rent) ya Tsh. 36,028,200/= kwa mwezi sawa na Tsh. 1,201,000/= kwa siku uhalisia uko wapi! Machinga wanauza maji na soda hizo hizo ndani na nje ya kituo hicho hicho kwa rent ya kitambulisho chake cha Tsh, 20,000/= kwa mwaka sawa na Tsh. 55 kwa siku.

Attached ni mchanganuo wa bei ya pango kama ulivyoidhinishwa na DCC kabla haijavunjwa na Hayati Rais Magufuli mwezi February 2021 wakati wa uzinduzi.

Data hizo ni kutoka waraka ulioidhinishwa na aliyekuwa Mkurugenzi wa DCC uliosomeka "“Majina ya walioshinda zabuni ya upangishaji maeneo ya biashara na utoaji huduma mbalimbali katika Kituo Kikuu cha Mabasi Mbezi Luis 2020”

Mipango mingi ya ajabu ya aina hii kupitia TAMISEMI imeshindwa kama vile: Bus stand ya Dodoma, Machinga Coplex ya pale Ilala, Mwal Nyerere Airport Terminal 3, machinjio ya Vingunguti nk.

Ummy Mwalimu take action please, hapo hakuna biashara.
Data hizo ni kutoka andiko G. Kombe.

View attachment 1756589
Hawajui Biashara na hili ndio tatizo la serikali kutokukubali ukweli, hio stand wangetafuta mwekezaji na wao wachukue kodi, pesa iliyotumika ni nyingi, Kituo baada ya miezi sita hakitamaniki na pesa haitakaa irudi. Sekta binafsi ndio Engine na Jeshi la kiuchumi la nchi. Serikali ibaki na miradi mikubwa sana na Kuwa mwangalizi wa sekta binafsi sio kendesha Biashara Ndogo Ndogo
 
Investment ya 60B mnataka mlipe kodi ya laki na nusu kwa mwezi, unategemea huo mradi utarudisha lini hela?

Miaka michache ujayo wakishindwa kuendesha stend kwa uchafu na uchakavu bado mtarudi kuwasema wameshindwa, poor management sijui maneno gani
Mpangishie baba yako
 
Kuna watu wana comment tu, hivi biashara mnaijua na mzunguko mnaujua? Hapa mjini kwangu kuna Fremu walipokuwa Voda wanaiachia sababu kodi kubwa. Kodi ni 6M kwa mwezi. Sasa watu kama voda wana lia lia juu ya suala la kodi ya pango sisi wananchi wa uchumi wa kati feki je?

Kodi kama hizo zitawezekana kwa mzunguko wa kariakoo labda.
 
Sasa kama mjasiriamali amepewa fremu ili auze maji na soda ndani ya kituo ghorofani kwa kodi (rent) ya Tsh. 36,028,200/= kwa mwezi sawa na Tsh. 1,201,000/= kwa siku uhalisia uko wapi! Machinga wanauza maji na soda hizo hizo ndani na nje ya kituo hicho hicho kwa rent ya kitambulisho chake cha Tsh, 20,000/= kwa mwaka sawa na Tsh. 55 kwa siku.

Attached ni mchanganuo wa bei ya pango kama ulivyoidhinishwa na DCC kabla haijavunjwa na Hayati Rais Magufuli mwezi February 2021 wakati wa uzinduzi.

Data hizo ni kutoka waraka ulioidhinishwa na aliyekuwa Mkurugenzi wa DCC uliosomeka "“Majina ya walioshinda zabuni ya upangishaji maeneo ya biashara na utoaji huduma mbalimbali katika Kituo Kikuu cha Mabasi Mbezi Luis 2020”

Mipango mingi ya ajabu ya aina hii kupitia TAMISEMI imeshindwa kama vile: Bus stand ya Dodoma, Machinga Coplex ya pale Ilala, Mwal Nyerere Airport Terminal 3, machinjio ya Vingunguti nk.

Ummy Mwalimu take action please, hapo hakuna biashara.
Data hizo ni kutoka andiko G. Kombe.

View attachment 1756589
Kama hizo data ni za ukweli basi tuendako si swali.lakn kwa akili za kawaida hakuna biashara ya aina hiyo kwa mzunguko upi?cjui na siamini kama ni kweli anyway basi yajao yanashangaza.
 
Hizo data ni za kweli kabisa na zilipatikana kutokana ma release ya DCC December 2020 kwa wazabuni 200 walisemekana wameshinda tender kituoni hapo (online tendering) iliyoendeshwa na TAMISEMI. Mleta mada yeye alifanya analysis tu na kupablish.
Kama hizo data ni za ukweli basi tuendako si swali.lakn kwa akili za kawaida hakuna biashara ya aina hiyo kwa mzunguko upi?cjui na siamini kama ni kweli anyway basi yajao yanashangaza.
 
Hizi bei zilipangwa lini? JPM alibahatika kuziona au kuzifahamu wakati wa uhai wake?
JPM hakua mmiliki wa stendi wala nchi....alipaswa afanye kazi kwa taratibu za kisheria...hata asipokuwepo wanaotekeleza wajibu wake hawawezi kukosa
 
Sasa kama mjasiriamali amepewa fremu ili auze maji na soda ndani ya kituo ghorofani kwa kodi (rent) ya Tsh. 36,028,200/= kwa mwezi sawa na Tsh. 1,201,000/= kwa siku uhalisia uko wapi! Machinga wanauza maji na soda hizo hizo ndani na nje ya kituo hicho hicho kwa rent ya kitambulisho chake cha Tsh, 20,000/= kwa mwaka sawa na Tsh. 55 kwa siku.

Attached ni mchanganuo wa bei ya pango kama ulivyoidhinishwa na DCC kabla haijavunjwa na Hayati Rais Magufuli mwezi February 2021 wakati wa uzinduzi.

Data hizo ni kutoka waraka ulioidhinishwa na aliyekuwa Mkurugenzi wa DCC uliosomeka "“Majina ya walioshinda zabuni ya upangishaji maeneo ya biashara na utoaji huduma mbalimbali katika Kituo Kikuu cha Mabasi Mbezi Luis 2020”

Mipango mingi ya ajabu ya aina hii kupitia TAMISEMI imeshindwa kama vile: Bus stand ya Dodoma, Machinga Coplex ya pale Ilala, Mwal Nyerere Airport Terminal 3, machinjio ya Vingunguti nk.

Ummy Mwalimu take action please, hapo hakuna biashara.
Data hizo ni kutoka andiko G. Kombe.

View attachment 1756589
Kuna upotoshaji mkubwa sana hapa
 
wamefikaje kwenye hizi hesabu? ama jiwe ndio aliwapa maelekezo?

maana sioni biashara za kuingiza pesa namna hii na faida ikawepo.

kwani pamekuwa 'Kalia-koo'?
 
Sasa kama mjasiriamali amepewa fremu ili auze maji na soda ndani ya kituo ghorofani kwa kodi (rent) ya Tsh. 36,028,200/= kwa mwezi sawa na Tsh. 1,201,000/= kwa siku uhalisia uko wapi! Machinga wanauza maji na soda hizo hizo ndani na nje ya kituo hicho hicho kwa rent ya kitambulisho chake cha Tsh, 20,000/= kwa mwaka sawa na Tsh. 55 kwa siku.

Attached ni mchanganuo wa bei ya pango kama ulivyoidhinishwa na DCC kabla haijavunjwa na Hayati Rais Magufuli mwezi February 2021 wakati wa uzinduzi.

Data hizo ni kutoka waraka ulioidhinishwa na aliyekuwa Mkurugenzi wa DCC uliosomeka "“Majina ya walioshinda zabuni ya upangishaji maeneo ya biashara na utoaji huduma mbalimbali katika Kituo Kikuu cha Mabasi Mbezi Luis 2020”

Mipango mingi ya ajabu ya aina hii kupitia TAMISEMI imeshindwa kama vile: Bus stand ya Dodoma, Machinga Coplex ya pale Ilala, Mwal Nyerere Airport Terminal 3, machinjio ya Vingunguti nk.

Ummy Mwalimu take action please, hapo hakuna biashara.
Data hizo ni kutoka andiko G. Kombe.

View attachment 1756589
Hivi mabasi yote yanaanzia hapo hata zile El Saedy za Mbeya?
 
Investment ya 60B mnataka mlipe kodi ya laki na nusu kwa mwezi, unategemea huo mradi utarudisha lini hela?

Miaka michache ujayo wakishindwa kuendesha stend kwa uchafu na uchakavu bado mtarudi kuwasema wameshindwa, poor management sijui maneno gani
36m frame kwa mwezi hata iwe investment gani hamna Kodi kama hyo kwa biashara za stand
 
Wameanza kwenda kinyume na kauli za rais, hawa watu ni washenzi sana wanadhani maisha in rahisi waanzaishe wao hizo biashara tuone kama watalipa hizo kodi. Kodi ya miaka mitano unalipa kwa mwaka.
 
Hahaaaaa mitano tena wanawaneeeeeeeee , napata raha sana kwenye haya mambo
 
Hehehe ni kama vile natazama picha la kutisha hivi
 
Sasa kama mjasiriamali amepewa fremu ili auze maji na soda ndani ya kituo ghorofani kwa kodi (rent) ya Tsh. 36,028,200/= kwa mwezi sawa na Tsh. 1,201,000/= kwa siku uhalisia uko wapi! Machinga wanauza maji na soda hizo hizo ndani na nje ya kituo hicho hicho kwa rent ya kitambulisho chake cha Tsh, 20,000/= kwa mwaka sawa na Tsh. 55 kwa siku.

Attached ni mchanganuo wa bei ya pango kama ulivyoidhinishwa na DCC kabla haijavunjwa na Hayati Rais Magufuli mwezi February 2021 wakati wa uzinduzi.

Data hizo ni kutoka waraka ulioidhinishwa na aliyekuwa Mkurugenzi wa DCC uliosomeka "“Majina ya walioshinda zabuni ya upangishaji maeneo ya biashara na utoaji huduma mbalimbali katika Kituo Kikuu cha Mabasi Mbezi Luis 2020”

Mipango mingi ya ajabu ya aina hii kupitia TAMISEMI imeshindwa kama vile: Bus stand ya Dodoma, Machinga Coplex ya pale Ilala, Mwal Nyerere Airport Terminal 3, machinjio ya Vingunguti nk.

Ummy Mwalimu take action please, hapo hakuna biashara.
Data hizo ni kutoka andiko G. Kombe.

View attachment 1756589
Duh kama ni kweli basi kunashida
 
Back
Top Bottom