Kituo cha Mabasi Mwenge na Stendi ya Mabasi ya Mkoa Arusha

Tupo kwenye nyakati za keyboards zenye auto-correct.Maneno yanabadilishwa bila kujua.
Unaweza mkumbusha mtu bila kuzodoa, mana wewe mwenyewe umeonesha ujinga wako.
Acha uzushi ... autocorrect ndio inatoa h kwenye neno hela na kuweka ela? Au kuweka H kwenye neno aibu kuwa haibu? Msitafute visingizio visivyo na maana.
Autocorrection inaweka maneno unayoyatumia mara kwa mara au ya lugha husika. Kwa hiyo ubovu unaanza kwa mtumiaji mwenyewe.
 
HAIBU=AIBU
 
Kwakweli naombea uwepo wa Makonda, uchagize ujenzi wa stendi....
 
Kwakweli naombea uwepo wa Makonda, uchagize ujenzi wa stendi....
 
Na ujinga wako inakupasa ujue kuwa hizi simu zinakuja na collection ya maneno zaidi ya 1000 ya English na si kiswahili...
Inaweza kuwa misamiati au vifupi vya maneno maarufu kwa Kiingereza.

Inapofanya fanya predictions kwa neno unaloandika kwa mara ya kwanza,inaenda kuangalia kwenye lugha ya Kiingereza na kuna mda inabadilisha bila mhusika kuwa aware.
Kama hilo neno ela ni abbreviation,,sasa cha ajabu kipi kama imefanyiwa auto-correct.

Unapoteza mda kuongelea minor things utafkiri nawe haukosei,,,au ndiyo upeo wako ndipo ulipoishia.
 
Doita ni mpumbavu sana na anapenda rushwa sana! Shwaini mkubwa sana!
Mtu hana kazi nyingine ya kumpatia kipato, unategemea nini?..kutwa kushinda ofisini kuomba kuomba virushwa na kutongoza wafanyakazi na mama ntilie mtaani..

Ajifunze kwa wenzie Mbise wa Muriet, wa Olasite , Jacob wa Baraa, ambao wana biashara zao na huja ofc ya kata mara moja or mbili kwa wiki..kabaki aje kuwa mhudumu wa kuchemsha chai
 
Serikali ya majimbo huwa naona kama ni mbadala wa maendeleo ya sehemu kwa kutegemea mapato yao ya ndani.

Sasa wengine wanatoa tu hata kama makusanyo ni kidogo, chote kinabebwa na serikali.
 
Serikali ya majimbo huwa naona kama ni mbadala wa maendeleo ya sehemu kwa kutegemea mapato yao ya ndani.

Sasa wengine wanatoa tu hata kama makusanyo ni kidogo, chote kinabebwa na serikali.
mwenge ni pa moto....kuna uwanja mpya umejengwa pale
 
Na wanaipeleka Afcon kwenye hali hiyo.
 
Mbona Mbeya kulikuwa Sugu na stendi mpya ikatengewa eneo la eka kama 6...na wakaweka Pavements na taa ....
Mbeya wahuni walikula hela pana stand pale kama hizo zingine unazoziona na eneo lililotakiwa kujengwa ilikua ule upande wa Shamba ambapo kulikua na ramani nzuri wezi walipoona watabanwa wakajenga kama ya dharula upande huu wa 88 hiyo ndio taarifa fupi hakuna stand pale watu wananyeshewa na mvua kama kawaida tu..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…