Uchaguzi 2020 Kituo nilipopiga kura hakuna wakala wa CHADEMA wala ACT-Wazalendo

Uchaguzi 2020 Kituo nilipopiga kura hakuna wakala wa CHADEMA wala ACT-Wazalendo

Jimbo la Ilemela - Mwanza, Kata ya Kiseke chama cha ACT wazalendo jana kiliwaita mawakala wao na kuwapa semina elekezi, baada ya maelekezo kukamilika wakauliza hela ya nauli, wakajibiwa tutawatumia ujumbe kwenye simu zenu maskini wakasubiri kuona muamala unasoma, asubuhi wameishafika vituoni wakapokea ujumbe wa maneno na blah blah za tutawafikiria....walichofanya wakapigiana simu wakipigie kura chama kingine cha upinzani, na kisha wakaondoka vituoni....kwa hiyo kura za ACT za Ayatolla na Membe huko Ilemela hazina mlinzi!
Nimeambiwa na shemeji yangu ambaye alikuwa awe wakala wa ACT!
 
Kituo kama icho kipo hapa nilipopigia kura mimi,Mbagala kata ya kimbangulile,kituo cha mlimani B,na A akuna wakala wa Chadema wala ACT.kuna wakala wa CUF,CCM,ADC na Chauma Ubwabwa.
IMG_20201028_075030.jpg
 
Kura ya Rais unaruhusiwa kupiga popote au na yenyewe mpaka sehemu uliojiandikishia??
 
Mimi nimeenda kupiga kura ndani mimekuta watu wa tatu tu mmoja anasoma namba na mwingine anaandika na mwingine anakupa karatasi za kupigia kura. Nimeshindwa kuelewa pale yupi ni wakala wa chama na yupi ni mtu wa tume ya uchaguzi.
Exactly, kwangu alikuwepo wakala wa CCM, nimesikitka sana. Hata Mimi ningelifanya kazi hiyo
 
Back
Top Bottom