Cash Generating Unit
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,286
- 39,418
Shida hamna pesa za kulipa, nan yuko tayr kusimamia bila hela??
Magu [emoji736]
Magu [emoji736]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyie ni washenzi sana.Huku Jimbo la kawe hakuna mawakala wa Chadema na wachache waliokuja hawana barua za utambulisho
Uliona wapi kibaka akakiri kupora?Hakuna hujuma kamanda,chama hakina oganaizesheni
Hata mimi hivyo. Nikauliza mbona wakala ni mmoja tu kura zetu zitakuwa salama? Nikaambiwa bado hawajaata narua za utumbulisho, walikuwa wanazungushana na WEOMimi nimeenda kupiga kura ndani mimekuta watu wa tatu tu mmoja anasoma namba na mwingine anaandika na mwingine anakupa karatasi za kupigia kura. Nimeshindwa kuelewa pale yupi ni wakala wa chama na yupi ni mtu wa tume ya uchaguzi.
Wakurugenzi sehemu kubwa wameondoa majina ya mawakala wa Chadema jana usiku na kupachika majina wanayoyajua wao, jimbo la Kawe ni mfano mmojawapo.
Hawa wakurugenzi ingetafutwa namna washughulikiwe.
Ivi we jamaa Unafikiria vizuri kweli Jamaa anakuambia katoka kupiga Kura Halafu unasema ni kitui hewa hahahhahhaa kwa hiyo huyo alipiga kura nae ni hewa hewa imempigia Lissu Achenii Kutafuta sababu wachaaaa tuwanyooiosheeeeeYawezekana ni moja ya vituo hewa
Kama ndivyo, ilikuwa hakuna haja ya kuleta Uzi huu.Nitakitaja ikihitajika.
Mawakala wa upinzani wamenyimwa barua zakuwa wakala, hata Mimi nilipo piga kura hamna wakala, nchi hii upumbavu mwingi wallah
Mawakala wamefika asubuhi wakakuta majina yao hayapo, mkurugenzi amepachika majina anayoyajua yeye, anatimiza lile neno nimekupa nyumba na gari.....kutoka kwa jiwe.Acha uongo,hadi kura zinaanza kupigwa mawakala wa Chadema hawajafika vituoni
Bhasi ipo hivyo sehemu nyingi sana. Mm jimbo la Kawe, hapakuwa na wakala zaidi wa CCMMawakala wa upinzani wamenyimwa barua zakuwa wakala, hata Mimi nilipo piga kura hamna wakala, nchi hii upumbavu mwingi wallah
Hata mm Nina mashaka na kura za vijijini,hili suala la kuwa na. functional office ni muhimu,Kama ruzuku haitoshi ni vyema pesa inayotumika kuwakata wabunge ile 10% iwe wazi Kama ni kujenga ofisi iwe waziKamanda tunapoowaambia hakuna oganaizesheni mnatukana,mnasema sio lazima kuwa na ofisi siasa ni imani.Hivyo ni vyama vya mkononi,sasa hapo ni kwenye majiji je vijijini?
Wakurugenzi sehemu kubwa wameondoa majina ya mawakala wa Chadema jana usiku na kupachika majina wanayoyajua wao, jimbo la Kawe ni mfano mmojawapo.
Hawa wakurugenzi ingetafutwa namna washughulikiwe.
Kamanda tulia unyolewe,visingizio na povu ruksaUliona wapi kibaka akakiri kupora?
Kituo nilichopigia kura hakuna wakala hata mmoja wa CHADEMA wala ACT.
Kweli CHADEMA mmeshindwa kupata wakala wa kulinda kura za Lissu? Nimesikitika sana tena sana.
CHADEMA hawana Mbunge alienguliwa, angalau kura za Lissu zingelindwa. ACT Diwani hana wakala.
Nimekata tamaa kama ndiyo hivi.
Ndio wamenyimwa barua walipewa ccm,nchi hii upumbavu ndio kiupaumbele sana,no wonder umaskini hauishi walio na dhamana ndio vinara wa upumbavu sehemu yoyote isiyoheshimu haki na utu kuendelea nadraBhasi ipo hivyo sehemu nyingi sana. Mm jimbo la Kawe, hapakuwa na wakala zaidi wa CCM
Sent from my SM-J530F using JamiiForums mobile app
Mawakala wamefika asubuhi wakakuta majina yao hayapo, mkurugenzi amepachika majina anayoyajua yeye, anatimiza lile neno nimekupa nyumba na gari.....kutoka kwa jiwe.
Wanachelewa kufika vituoni...! ! Watakuja. Hata hivyo, hiyo inaonyesha vyama husika haviko makini.Kituo nilichopigia kura hakuna wakala hata mmoja wa CHADEMA wala ACT.