Kituo nilichopigia mimi kulikua na mawakala wawili tu,Kituo nilichopigia kura hakuna wakala hata mmoja wa CHADEMA wala ACT.
Kweli CHADEMA mmeshindwa kupata wakala wa kulinda kura za Lissu? Nimesikitika sana tena sana.
CHADEMA hawana Mbunge alienguliwa, angalau kura za Lissu zingelindwa. ACT Diwani hana wakala.
Nimekata tamaa kama ndiyo hivi.
Kukata tamaa ni dalili ya udhaifu.Kituo nilichopigia kura hakuna wakala hata mmoja wa CHADEMA wala ACT.
Kweli CHADEMA mmeshindwa kupata wakala wa kulinda kura za Lissu? Nimesikitika sana tena sana.
CHADEMA hawana Mbunge alienguliwa, angalau kura za Lissu zingelindwa. ACT Diwani hana wakala.
Nimekata tamaa kama ndiyo hivi.
Kura zote za Act zinaenda kwa mgombea wa Chadema.Jimbo la Ilemela - Mwanza, Kata ya Kiseke chama cha ACT wazalendo jana kiliwaita mawakala wao na kuwapa semina elekezi, baada ya maelekezo kukamilika wakauliza hela ya nauli, wakajibiwa tutwatumia ujumbe kwenye simu zenu maskini wakasubiri kuona muamala unasoma, asubuhi wameishafika vituoni wakapokea ujumbe wa maneno na blah blah za tutawafikiria....walichofanya wakapigiana simu wakipie kura chama kingine cha upinzani, na kisha wakaondoka vituoni....kwa hiyo kura za ACT ya Ayatolla na Membe huko Ilemela hazina mlinzi!
Nimeambiwa na shemeji yangu ambaye alikuwa awe wakala wa ACT!
HujumaNikienda inbox nitakupa in wapi. Hata umeme wamekata,
Sasa si ukitaje, ikihitajika sasa maana yake nini wakati wewe mwenyewe ndio unasema au ndio majungu hayo.Nitakitaja ikihitajika.
Its doneHujuma
Hujuma
Kituo nilichopigia kura hakuna wakala hata mmoja wa CHADEMA wala ACT.
Kweli CHADEMA mmeshindwa kupata wakala wa kulinda kura za Lissu? Nimesikitika sana tena sana.
CHADEMA hawana Mbunge alienguliwa, angalau kura za Lissu zingelindwa. ACT Diwani hana wakala.
Nimekata tamaa kama ndiyo hivi.
Mimi pia nilipopiga kura walikuwepo mawakala wote...wakala wa mabeberu atashindwa mchana kweupee waache visingizio.Mimi nilipopigia mawakala wapo wa vyama vyote
Na akikosa Lissu utabaki na hiyo imani mkuu?Usikate tamaa mapema hivi. Wengine wapo CCM lakini ni wenzetu wanaopenda mabadiliko.
Safi maana hivyo ndivyo vitatuongezea kura kwa jpm +waliopita bila kupingwa 25+mambo yetu jpm oy eee .Kituo nilichopigia kura hakuna wakala hata mmoja wa CHADEMA wala ACT.
Kweli CHADEMA mmeshindwa kupata wakala wa kulinda kura za Lissu? Nimesikitika sana tena sana.
CHADEMA hawana Mbunge alienguliwa, angalau kura za Lissu zingelindwa. ACT Diwani hana wakala.
Nimekata tamaa kama ndiyo hivi.
😢Kituo nilichopigia kura hakuna wakala hata mmoja wa CHADEMA wala ACT.
Kweli CHADEMA mmeshindwa kupata wakala wa kulinda kura za Lissu? Nimesikitika sana tena sana.
CHADEMA hawana Mbunge alienguliwa, angalau kura za Lissu zingelindwa. ACT Diwani hana wakala.
Nimekata tamaa kama ndiyo hivi.
Kwahiyo na aliyepiga kura naye ni mtu hewa?Yawezekana ni moja ya vituo hewa