Kitwanga atoa ufafanuzi wa suala la Lugumi na uhusiano wake kuhusu kutumbuliwa kwake

Nimemuona wakati anaongea kama tayari alisha piga kile kilicho mponza
 
Baada ya kupokea mgao wako toka bilioni 37 mlizozipata kifisadi na kuongezewa bonus baada ya kupoteza ajira na kesi ndiyo Magufuli kishaipotezea rasmi ni lazima usijute sasa ni kula kuku tu za mabilioni yako haramu.
Kaingia na pikipiki 100 za kuwakopesha wana jimbo lake,chezea nguvu ya lugumi
 
Reactions: BAK
Nadhani ameshatambua rangi halisi ya serikali yake.

Jiuzulu na ubunge tu mzee upumzike kwa amani maana pesa uliyoipiga kwa wadanganyika ni ndefu mno.
Kuwepo bungeni bado kunahitajika kwake kwani kuna vinafasi vinamuwezesha kuwaona wakubwa
 
Mimi nilifikiri hajuti kuingia kazini akiwa amelewa, kumbe kuondolewa kazini. Yupo sawa hata mimi siwezi juta kuachishwa madaraka ya kuteuliwa kwa mapenzi ya mteuaji.
 
Hana wasiwasi tena wa kuonyesha pesa yake hadharani. Maana nguvu ya Lugumi iliingia mpaka kwenye kuchangia kampeni za uchaguzi. Sasa wanavuna matunda ya Lugumi "kuwekeza"

Kaingia na pikipiki 100 za kuwakopesha wana jimbo lake,chezea nguvu ya lugumi
 
Hana wasiwasi tena wa kuonyesha pesa yake hadharani. Maana nguvu ya Lugumi iliingia mpaka kwenye kuchangia kampeni za uchaguzi. Sasa wanavuna matunda ya Lugumi "kuwekeza"
Kweli kabisa mkuu hakuna mamlaka ya kuhoji hapo
 
Reactions: BAK
Hana wasiwasi tena wa kuonyesha pesa yake hadharani. Maana nguvu ya Lugumi iliingia mpaka kwenye kuchangia kampeni za uchaguzi. Sasa wanavuna matunda ya Lugumi "kuwekeza"
Heshima yako mkuu lile swala la Lugumi limeshaisha mpango wao umeshafanikiwa
 
Reactions: BAK
Heshima yako mkuu lile swala la Lugumi limeshaisha mpango wao umeshafanikiwa
Tena kwa kutufunika na kaniki usoni huku wakituimbia nyimbo mzuri za kihindi, lugumi hiyooooo
 
Duh nchi yetu inaliwa wenye meno bado kuna watu wana imani kubwa CCM .
Tena kwa kutufunika na kaniki usoni huku wakituimbia nyimbo mzuri za kihindi, lugumi hiyooooo
 
Reactions: BAK
Chama cha mafisadi ndivyo kilivyo!! Eti anatuzuga kajitoa kafara kupambana na mafisadi!
Kajitoa kafara wapi ule ulikuwa mkakati maalumu wameshamaliza kazi yao dili zimeshapigwa tayari manyumbu wamebaki kuimba CCM MBELE KWA MBELE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…