Kitwanga atoa ufafanuzi wa suala la Lugumi na uhusiano wake kuhusu kutumbuliwa kwake

Kitwanga atoa ufafanuzi wa suala la Lugumi na uhusiano wake kuhusu kutumbuliwa kwake

Duh nchi yetu inaliwa wenye meno bado kuna watu wana imani kubwa CCM .
Ndiyo maana wanafanya kila mbinu watanzania wasielimike kwa kujua nini maana elimu ya uraia kusudi waendelee kututawala na kutuburuza
 
Kajitoa kafara wapi ule ulikuwa mkakati maalumu wameshamaliza kazi yao dili zimeshapigwa tayari manyumbu wamebaki kuimba CCM MBELE KWA MBELE
1467632404452.jpg
 
Kajitoa kafara wapi ule ulikuwa mkakati maalumu wameshamaliza kazi yao dili zimeshapigwa tayari manyumbu wamebaki kuimba CCM MBELE KWA MBELE
Kwao vigeregere ndiyo kuonyesha utiifu
 
Kwenda kwake Israel kwa mapumuziko hapo ndipo amefanya a blunder of the centuary - hiyo inaweza kumuongezea maswali mengi zaidi kutoka kwa jamii.
Mkuu Bukyanagandi hiyo jamii unayoizungumzia hata kama itajua haina nafasi ya kuhoji,pia wanajamii wenye uelewa kama wa kwako ni wachache ambao wamekataa kuendelea kufungwa vitambaa usoni
 
Kajitoa kafara wapi ule ulikuwa mkakati maalumu wameshamaliza kazi yao dili zimeshapigwa tayari manyumbu wamebaki kuimba CCM MBELE KWA MBELE
Ila nimepata faraja safari hii hata wao wanaisoma namba kwa maana walio wengi ni wana ccm na ndiyo wanashindwa hata uwezo wa kununua sukari,ukiondoa mafisadi
 
Achaneni na mfa maji huyo! Hateuliki tena hapa Tanzania labda Mbinguni sio duniani tena! Wakiangalia file lake mlevi kwisha!
 
Aliyekuwa waziri wa mambo ya ndani Charles Kitwanga akiongea na waandishi wa habari leo amezungumzia suala la Lugumi leo baada ya kutumbuliwa kwake

Amesema Lugumi aliingia mkataba na kampuni ya marekani ambayo ina uwezo wa kufanya kazi na polisi, kampuni hiyo ikanunua vifaa Dell na na kampuni hiyo ikaiomba Dell vifaa hivyo ivifunge Tanzania, Dell wakamchagua Inforsystems hivyo Infosys haina uhusiano wowote na polisi wala Lugumi bali ilikuwa inafanya kazi kwa niaba ya Dell

Pia akijibu swali la kuhusu kutumbuiwa kwake kama linahusiana na Lugumi Kitwanga alitumia majibu aliyedai kuwa ya Hayati Mwalimu Julius Nyerere kwa waandishi jijini Nairobi Kenya kwa kuhoji ''Hivi mtu akikuuliza mimi ni mume wa mama yako utakubali?'' na kutaka asiulizwe tena swali hilo

Ila alivokuwa anaongea sina uhakika kama ndio ongea yake au alikuwa 'ametupia' tena

 
Huyu bora akae kimya namuonea huruma maana anaweza akapiga kitwanga akaropoka tena na kuingia kwenye matatizo na mzee wa majipu, waswahili walisema rafiki yako hata kama ulicheza naye wakati wa utoto lakini akioa mama yako anakuwa baba yako
 
Sasa kama lugumi hakua na uwezo wa kufunga hivyo vifaa alishindaje tenda?? Wasilete story story hapa. Wamepiga dili na huo ndio ukweli.
Si angalao ungejibidisha kuangamuka na kujua/fahamu namna biashara za technical sales and after sales services zinavyofanyika, halafu baada ya hapo utoe comment yako basi! Maana sasa unakera kwa kuaibisha JF. Sio wote tulioko humu ni wajinga. Maana suala hapa siyo nani alipewa tenda ya kufunga vifaa kambi za polisi, la hasha. Ni iwapo utaratibu wa kisheria (PPA) ulifuatwa na kama mzabuni alitimiza wajibu wake kwa mujibu wa mkataba. Basi! Hizo ndio hoja zenye kuwakilisha maslahi ya umma.
 
Huyu mtu anamatatizo akilini kwake, ni lazima anamsongo akili
 
Back
Top Bottom