Kitwanga atoa ufafanuzi wa suala la Lugumi na uhusiano wake kuhusu kutumbuliwa kwake

Kitwanga atoa ufafanuzi wa suala la Lugumi na uhusiano wake kuhusu kutumbuliwa kwake

Si angalao ungejibidisha kuangamuka na kujua/fahamu namna biashara za technical sales and after sales services zinavyofanyika, halafu baada ya hapo utoe comment yako basi! Maana sasa unakera kwa kuaibisha JF. Sio wote tulioko humu ni wajinga. Maana suala hapa siyo nani alipewa tenda ya kufunga vifaa kambi za polisi, la hasha. Ni iwapo utaratibu wa kisheria (PPA) ulifuatwa na kama mzabuni alitimiza wajibu wake kwa mujibu wa mkataba. Basi! Hizo ndio hoja zenye kuwakilisha maslahi ya umma.
Hapa swala ni Infosys..haina uhusiano na Lugumi...mambo ya Lugumi kushinda tenda haina uhusiano na mada husika...

Jambo liko inter-related. Hakuna PPRA inapotoa mwanya wa kampuni ya kishenzi kusambaza bidhaa kwa serikali, labda iwe ni kugawa mbengu za mahindi kwa jirani yako. Serikali ikitoa tender kwa mtu asiye na uwezo/utaalamu, huo ndo upuuzi. Tenda ya vifaa kama hivyo siyo sawa na kugawa pembejeo.

Kama lugumi hakuwa na uwezo, akanunua kwa kushirikiana na mwenye uwezo, mwenye uwezo akatafuta tena atakayefunga, basi ujue hiyo siyo serikali. Yaani moja kati ya katua hizo ikishindwa basi, kazi haifanyiki. Serikali inaweza kuruhusu risk ya bilioni zote hizo? That will be a nonsense government.

Pesa kama hiyo huwekewa kinga za kibenki kabla hata ya manunuzi. leo hii tunaaambiwa hata hakuna kilichofanyika kuhalalisha matumizi kama hayo. The equation is simple; Lugumi, na wote ktk msululu wa makubaliano hayo hadi huyo infosys, wote walikuwa pamoja ktk mbinu chafu! Mbaya zaidi sasa jamaa hajui hata kujieleza.
 
Lugumi alipewa kazi gani tena?

Na hiyo inforsystems kazi gani nao wanasema walipewa?

Nauliza sababu sijalielewa hili sakata, zaidi ya woteeee waliotajwa kabla kujisimamia kuonyesha wapo sawa hakuna tatizo.
Umemsahau na dell kama ishu ni kufunga hivo vifaa ina maana yeye lugumi ndo angemtafuta huyo infosisitimu! manake dell ni mtengenezaji tu wa vifaa!
 
Lugumi alipewa kazi gani tena?

Na hiyo inforsystems kazi gani nao wanasema walipewa?

Nauliza sababu sijalielewa hili sakata, zaidi ya woteeee waliotajwa kabla kujisimamia kuonyesha wapo sawa hakuna tatizo.
mi nilivyoelewa lugumi alikamata tena akishirikiana na kampuni la marekani,alipoipata,ile kampuni ya marekani vifaa ikanunua DELL Kwa makubaliano pia hao DELL ndo waje kufunga mitambo hiyo,halafu hao DELL Nao wakaleta vifaa na kuwapa Inforsyis tenda ya kufunga hivyo vifaa
 
Aliyekuwa waziri wa mambo ya ndani Charles Kitwanga akiongea na waandishi wa habari leo amezungumzia suala la Lugumi leo baada ya kutumbuliwa kwake
Amesema Lugumi aliingia mkataba na kampuni ya marekani ambayo ina uwezo wa kufanya kazi na polisi, kampuni hiyo ikanunua vifaa Dell na na kampuni hiyo ikaiomba Dell vifaa hivyo ivifunge Tanzania, Dell wakamchagua Inforsystems hivyo Infosys haina uhusiano wowote na polisi wala Lugumi bali ilikuwa inafanya kazi kwa niaba ya Dell
Pia akijibu swali la kuhusu kutumbuiwa kwake kama linahusiana na Lugumi Kitwanga alitumia majibu aliyedai kuwa ya Hayati Mwalimu Julius Nyerere kwa waandishi jijini Nairobi Kenya kwa kuhoji ''Hivi mtu akikuuliza mimi ni mume wa mama yako utakubali?'' na kutaka asiulizwe tena swali hilo

Ila alivokuwa anaongea sina uhakika kama ndio ongea yake au alikuwa 'ametupia' tena


Nahisi katupia tena
 
Haaaaaaaaaaaaaaaaaaa... Kitwanga, still he has hang over.. haaaaa... eti Mtu akikwambia mm mume wa mama yako utakubali..? haaaaaaaaaa..
 
mi nilivyoelewa lugumi alikamata tena akishirikiana na kampuni la marekani,alipoipata,ile kampuni ya marekani vifaa ikanunua DELL Kwa makubaliano pia hao DELL ndo waje kufunga mitambo hiyo,halafu hao DELL Nao wakaleta vifaa na kuwapa Inforsyis tenda ya kufunga hivyo vifaa

Umetaja kampuni zote isipokuwa hiyo "kampuni la Marekani". Linaitwaje hilo? Usipolitaja hilo "kampuni la Marekani", hutakuwa na tofauti yoyote na sisi: sote hatujaelewa.
 
TANZANIA comed ni za Kutosha! EPA Balali Kafa!!!! RICHMOND +SIMBION + IPTL ) katokea mwarabu Et zake! MEREMETA! TANGOLD ( tukaambiwa Jeshi! ESCROW! Lugemalira na Mkombozi na zamboga na Kilaini na msoga c zawananchi' LUGUMI hayohayo! Jamani tuiombee nchi amani na ccm mbele Kwa! .... na wazee wastaafu nitawalinda m niombee Amina
 
Umemsahau na dell kama ishu ni kufunga hivo vifaa ina maana yeye lugumi ndo angemtafuta huyo infosisitimu! manake dell ni mtengenezaji tu wa vifaa!
Kwa maelezo yake Kitwanga Lugumi waliwataka Dell waje kuwafungia hivyo vifaa(nadhani waliwapa na kazi ya kufunga) sasa hao Dell ndio wakawapa kazi Infosys kama mawakala wao,Kama nitakuwa nimemuelewa vizuri Kitwanga
 
Inaelekea bwana mawe matatu haamini kama katenguliwa,kwa magufuli hakuna mtu mzito
 
Kwa maelezo yake Kitwanga Lugumi waliwataka Dell waje kuwafungia hivyo vifaa(nadhani waliwapa na kazi ya kufunga) sasa hao Dell ndio wakawapa kazi Infosys kama mawakala wao,Kama nitakuwa nimemuelewa vizuri Kitwanga
Anyway sawa!. Kazi ya LUGUMI ni ipi sasa!
 
Kitwanga mbona kama katumia SHISHA..!! oohh God..!! Kumbe hata hajui la kuongea, huyu full time ni SHISA tu... haaaa...!!

Mtu akikwambia mm ni mume wa mama yako UTAKUBALI..!!? Haaaaaa.. nimecheka sana omg..!! Kitwanga kweli anahitaji tiba kubwa sana..!!
 
sas km n baba angu ndo kauliza nakataaje kwa mfano?
 
Anyway sawa!. Kazi ya LUGUMI ni ipi sasa!
Nadhani kazi yao ilikuwa kuwauzia serikali hivyo vifaa hivyo wao waliamua kwenda kuvinunua ktk Kampuni ya Dell(inawezekana zipo kampuni nyingi zinazotengeza hivyo vifaa)
 
Ila nimepata faraja safari hii hata wao wanaisoma namba kwa maana walio wengi ni wana ccm na ndiyo wanashindwa hata uwezo wa kununua sukari,ukiondoa mafisadi
Kwenye kuisoma nilijua tunaisoma sisi wapinzani tuu?
 
Fungu la kukosa hilo, akae tu aangalie wenzake wanafanya nini
 
Back
Top Bottom