Emma.
JF-Expert Member
- Jun 25, 2012
- 19,932
- 5,563
Mkuu mbona unaniwekea uchafu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo uchafu mkuu huyo ni mkereketwa tuMkuu mbona unaniwekea uchafu?
Mkuu wapinzani ndiyo tunaisoma namba tuKwenye kuisoma nilijua tunaisoma sisi wapinzani tuu?
Kwa hiyo hizo namba CCM hawazisomi?Mkuu wapinzani ndiyo tunaisoma namba tu
Ccm wao wapo pepeoni tunaumia sisi wapinzani tuKwa hiyo hizo namba CCM hawazisomi?
Mi naona wamekaa kama madalali ina maana serikali imeshindwa kuwapata hao dell! Ila kama ndo utaratibu wa tenda hapo sawa lakini bado mi naona sintofahamu kibao!Nadhani kazi yao ilikuwa kuwauzia serikali hivyo vifaa hivyo wao waliamua kwenda kuvinunua ktk Kampuni ya Dell(inawezekana zipo kampuni nyingi zinazotengeza hivyo vifaa)
Nimecheka sana mkuuCcm wao wapo pepeoni tunaumia sisi wapinzani tu
Wakishavaa makijani yao wanakuwa kama wehu tu,sasa wacha waipate ujue wengi wao ni kina kwangu pakavu tia mchuzi hoe haeNimecheka sana mkuu
Ule ulikuwa mkakati tuu hakuna lolote pale kwenye kulewaIle video wanayosema alikuwa amelewa niliiangalia kwa umakini mkubwa sana ila sikuona dalili yoyote ya jamaa kulewa.
Tangu lini nguruwe ajutie kula uchafu? Ukiona mtu anajuta, ujuwe ana akili timamu.CHARLES Kitwanga, aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi amesema kuwa, hajutii ‘kutumbuliwa’ na Rais John Magufuli, anaandika Moses Mseti.
Ametoa kauli hiyo wikiendi iliyopita jimboni kwake Misungwi jijini Mwanza ikiwa ni takribani mwezi mmoja baada ya kung’olewa kwenye nafasi hiyo.
Kitwanga alifukuzwa kazi kwa madai ya kuingia bungeni na kujibu masali ya wizara yake akiwa amelewa.
Amesema kuwa, anamshukuru Mungu kwa kuondolewa katika nafasi hiyo na kwamba, huenda kama angeendelea kuwepo, angepata matatizo makubwa zaidi.
Na kwamba, hatua ya Rais Magufuli kumwondoa katika nafasi hiyo kitamsaidia kuwatumikia wananchi wa jimbo lake kwa ukaribu zaidi tofauti na alivyokuwa kwenye nafasi ya uwaziri.
“Namshukuru sana Mungu kuondolewa katika nafasi hii (Waziri wa Mambo ya ndani ya Nchi) labda ameniepusha na mambo mengi ambayo yangeweza kunikumba na hii itanisaidia kuwatumikia wanamisungwi kwa ukaribu,” amesema Kitwanga.
Kitwanga baada ya kung’olewa katika nafasi hiyo, siku kadhaa baadaye alitimkia nchini Israel ambako inadaiwa kwenda kupumzika ambapo alirejea nchini hivi karibuni. Baada ya kurejea nchini, Kitwanga moja kwa moja alikabidhiana Ofisi na Waziri wa Mambo ya Ndani kwa Mwigulu Nchemba aliyeteuliwa kushika nafasi hiyo. Nchemba alikuwa Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi.
Kabla ya kutimuliwa Kitwanga alikuwa akiandamwa na kashfa ya Kampuni ya Lugumi iliyopewa zabuni ya kufunga mashine za kutambua alama za vidole katika vituo vyote vya Jeshi la Polisi nchini.
Jeshi hilo liliingia mkataba na Kampuni ya Lugumi Enterprises ili kufunga mashine 108 nchi nzima lakini kampuni hiyo ilifunga mashine 14 tu.
Walikuwa wanatafuta pa kutokea ili kuhifadhi mambo yaoUle ulikuwa mkakati tuu hakuna lolote pale kwenye kulewa
Kwa wenye akili tayari tushaligundua hiloCCM ni ile ile, lao moja!
Kwa nini ajute wakati bingo ya lugumi ni nene kuliko kutumikia u-wizi wa mambo ya nyumbani!
Bado hamshituki tu!