Kitwanga atoa ufafanuzi wa suala la Lugumi na uhusiano wake kuhusu kutumbuliwa kwake

Kitwanga atoa ufafanuzi wa suala la Lugumi na uhusiano wake kuhusu kutumbuliwa kwake

Si angalao ungejibidisha kuangamuka na kujua/fahamu namna biashara za technical sales and after sales services zinavyofanyika, halafu baada ya hapo utoe comment yako basi! Maana sasa unakera kwa kuaibisha JF. Sio wote tulioko humu ni wajinga. Maana suala hapa siyo nani alipewa tenda ya kufunga vifaa kambi za polisi, la hasha. Ni iwapo utaratibu wa kisheria (PPA) ulifuatwa na kama mzabuni alitimiza wajibu wake kwa mujibu wa mkataba. Basi! Hizo ndio hoja zenye kuwakilisha maslahi ya umma.
Mkuu utaratibu haikufwata..Haiwezekani tenda itangazwe leo kesho watu wawe wameshasainishana tenda..Huyo jamaa hakuwa na uwezo na ilikua ni dili tu hilo.
 
mi nadhani hapo uyo alikuwa ameshatupia kitu cha (alcohol) liquor coz majibu yake hayaendani na maswali anayoulizwa,,kumbe ndio maana alitumbuliwa
 
Ile video wanayosema alikuwa amelewa niliiangalia kwa umakini mkubwa sana ila sikuona dalili yoyote ya jamaa kulewa.
 
uyo kitwangwa NI MNAFKI TU.....anajifaliji tu ila kiuhalisi anakuwa anaumia sana nafsini mwake
 
Hapa swala ni Infosys..haina uhusiano na Lugumi...mambo ya Lugumi kushinda tenda haina uhusiano na mada husika...
Uhusiano upo sana tu..Lugumi kashinda tenda siku moja baada ya kutangazwa?? Kuna kampuni nyingi ziko bongo na ni partners wa Dell. Hizo zote hazikuwa na uwezo mpaka apate Infosys. Nnavyojua mimi kampuni ikishinda tenda basi hiyo inakua na uwezo wa kufanya kazi yote sasa huyo Lugumi kama alikuq na uwezo kwa nini akapewa tenda??
 
Lugumi alipewa kazi gani tena?

Na hiyo inforsystems kazi gani nao wanasema walipewa?

Nauliza sababu sijalielewa hili sakata, zaidi ya woteeee waliotajwa kabla kujisimamia kuonyesha wapo sawa hakuna tatizo.
 
alikuwa hajapiga ile kitu kweli, mie hata sijamuelewa
 
Hata happ anaonekana yuko bwi....
Halafu waandishi wa habari tz bado sana..hawajui kumbana mtu ili atoe majawabu na si majibu
 
Jamaa yuko Fit kweli au...tayari tena?????
Maana mimi ninawaogopa sana Lumumba hawachelewagi kuruka msala na kujikataa, Unamuona Kitwanga.......Ni rafiki yangu.......
 
Mbona anaongea kamasiku ile alipojibu lile swali lililo mfanya atumbuliwe
 
Wewe huoni kakalia viti vya baa hapo.

Yupo kitwangani.
mi nadhani hapo uyo alikuwa ameshatupia kitu cha (alcohol) liquor coz majibu yake hayaendani na maswali anayoulizwa,,kumbe ndio maana alitumbuliwa
 
1.Lugumi kaingia contract na Jeshi la polisi
2.Lugumi kaingia contract na kampuni ya kimarekani(haijatajwa)---Hatuijui
3.Hiyo kampuni(haifahamiki) ikanunua vifaa Dell
4.Dell wakasema wanaoweza kufunga vifaa ni Infosys.

Hii danadana ni kama penalti ya zaza juzi dhidi ya Italy. Tanzania yetu inaliwa jaman.
 
Lugumi alikua DALALI tuu wa kupitishia pesa ya vigogo,kwa nini hiyo kampuni ya marekani haikupewa tenda direct?
 
huyu jamaa huwa nashindwa kumtofautisha....akiwa amelewa anaongea hivyo hivyo na akiwa hajalewa ni hivyo hivyo. napata wasiwasi na shtuma juu yake
 
Back
Top Bottom