Wameshafanikiwa tayariWalikuwa wanatafuta pa kutokea ili kuhifadhi mambo yao
Wamefanikiwa na tayari wananchi tumeshawagundua piaWameshafanikiwa tayari
usishangae akarudi ukuu wa mkoaWakuu, hivi jamaa alishakili makosa yaliyo sababisha aondolewe katika wazifa wake?
Au ndo anajikosha kwa kumpongeza JPM.
Wait and see.....
salama shikamoo kama utamaduni wetuSalam kwanza basi jamaani km utamaduni wetu?
Habar za asubui!!