Huwa nasikia siku ya kwanza kabisa mwanaume anapomtongoza binti(mwanamke), humwambia nakupenda. Sasa hapo kwenye utii na upendo kipi hutangulia?
Na je, mwanaume aweza kuridhika kutiiwa tu bila kupewa uchi?
Kwa mfano tumekutana
bombu na
rutashubyanyuma, ukaniomba namba ya simu nikakupa(utiii), ukaniomba tupate lunch pamoja nikakubali(utii), ukaniomba unisindikize nyumbani (utii), tulipofika nyumbani ukaniomba unikumbatie, nikasema NO! wewe ukasononeka, je hapo lengo lako ni UTII, au KUTIA(aka UCHI) ?