Kiu ya mwanaumme kwa binti ni…

Kiu ya mwanaumme kwa binti ni…

Huwa nasikia siku ya kwanza kabisa mwanaume anapomtongoza binti(mwanamke), humwambia nakupenda. Sasa hapo kwenye utii na upendo kipi hutangulia?

Na je, mwanaume aweza kuridhika kutiiwa tu bila kupewa uchi?

Kwa mfano tumekutana bombu na rutashubyanyuma, ukaniomba namba ya simu nikakupa(utiii), ukaniomba tupate lunch pamoja nikakubali(utii), ukaniomba unisindikize nyumbani (utii), tulipofika nyumbani ukaniomba unikumbatie, nikasema NO! wewe ukasononeka, je hapo lengo lako ni UTII, au KUTIA(aka UCHI) ?

bombu kidume anapokwambia anakupenda jua fika anaamini utamtii na utii maana'ke ni unyenyekevu.....................kukutia hizo ni dalili za utii lakini siyo au mwanzo wa somo kueleweka............
 
Last edited by a moderator:
so hata akiwa walu walu unatakiwa unyenyekee tu,

marrykate huyo walu walu inaamanisha humtaki kwa hiyo kumtii itakuwa vigumu kabisa.....................lazim aumkubali na hapo ndiyo utamtii kwa kumnyenyekea.......
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom