Kaunga
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 12,529
- 13,494
Kaunga ulivyobarikiwa na jana tu nikakuwekea kile kifungu ulichokihitaji cha Neno la Muumba na hata shukrani sikupewa..................siamaini kama huelewi au kama hutaki na hukubaliana na kumtii mumewe ili aweze kukupenda..........aone ya kuwa yeye unamkubali kuna ugumu gani khapo wa kuelewa?
Kweli sielewi, hivi sikushukuru eeh, nitarudi kushukuru kwenye Uzi husika!
Yaani ungeniambia mume anataka upendo kuliko uchi ningeelewa lakini UTII usio na mipaka sijui; au la kama una mipaka ni ipi hiyo. In other words niache kuwa Kaunga; niwe pseodokaunga aka robot.
Last edited by a moderator: