Kiu ya mwanaumme kwa binti ni…

Kiu ya mwanaumme kwa binti ni…

Napenda lively home, not boring monarchy-like home filled with yes sir au ikiwekewa sukari kidogo yes dear kind of a home!

kama kweli Kaunga........wapenda lively home kasome polepole Genesisi chapter 1-3 particularly verse 3:16....................itafakari then you will know hakuna njia ya mkato.......................hivi unafikiri kwanini mahusiano yanapwaya sana ni kwasababu ya kushindana na mfume dume ambao ndiyo Mungu aliupanga na waswahili husema ...fahali wawili hawakai zizi moja.
 
Last edited by a moderator:
Sashel let it be natural and please don't flatter him for that is not submission it is a lie, and he will detect it and make sure you pay accordingly............to your anguish..........

My dear Rutashubanyuma, if u want it to b natural then love her; it will come automatically bila pretence wala nini. Fake zipo za kuzidi, na mimi siamini kuhusu fakeness ndio maana waniona mbishi. Love me n you will never regret it, dissappoint me, wala sijidanganyi l will go haraka sana na maumivu yangu!
 
Last edited by a moderator:
Napenda lively home, not boring monarchy-like home filled with yes sir au ikiwekewa sukari kidogo yes dear kind of a home!

kama kweli Kaunga........wapenda lively home kasome polepole Genesisi chapter 1-3 particularly verse 3:16....................itafakari then you will know hakuna njia ya mkato.......................hivi unafikiri kwanini mahusiano yanapwaya sana ni kwasababu ya kushindana na mfume dume ambao ndiyo Mungu aliupanga na waswahili husema ...fahali wawili hawakai zizi moja.
 
Last edited by a moderator:
Pakawa lazima umtii kwanza na hapo kuna uwezakano wa upendo.....utajitokeza na ndivyo Mungu alivyotuumba.......Am only sharing my personal experience as a man who has loved and knows how lack of a woman submission puts me off even though I may have found her quite adorable........ ........................utajaziliza mwenyewe
Ruta utii utakuja endapo upendo utatangulia lakini pande zote. Nakubaliana na wewe na pia nina huruma na wewe kama ni personal experience......nimekuelewa
 
Rutashubanyuma, kwa maneno mengine; what u r trying to say ni kuwa wanaume ni kama watoto then hawana responsibility yoyote kwani kila wanachofanya ni reaction ya mwanamke? Na sisi tuyafnyayo ni reaction ya nani/nini?r women superbeing or what? Kama matatizo na mafanikio yote duniani yanakuwa trigered na mwanamke?

Sielewi!

Kaunga usivunjike moyo kwani wote .........we are mere learners who will never graduate in the field of relationships.....it is tough not designed to be easy, at all................kikubwa play your part genuinely and you will reap the rewards............there are no fast rules only guidelines as we have explored some of them today..........
 
Last edited by a moderator:
Ruta utii utakuja endapo upendo utatangulia lakini pande zote. Nakubaliana na wewe na pia nina huruma na wewe kama ni personal experience......nimekuelewa

Pakawa..............there is no such thing as mutuality............or symbiotic association there......a woman must always bring some initiative to work...........lazima univute ndipo mengineyo hufuata.....personal experience are good than yapping theories...........
 
Last edited by a moderator:
Kaunga usivunjike moyo kwani wote .........we are mere learners who will never graduate in the field of relationships.....it is tough not designed to be easy, at all................kikubwa play your part genuinely and you will reap the rewards............there are no fast rules only guidelines as we have explored some of them today..........

No, umesema hapo juu kuwa cheating ni sign ya problem na possibility kubwa ni insecurity ambayo mimi nimeisababisha kwa kumnag au kumcompare na watu wengine nk.........
So the root cause is me (mwanamke)

My question is what r u guys made of? N what women r made of?

Chukulia situation nyingine, pale ambapo mimi nafeel insecure, will it be caused by my man or my own weakness? Should l also cheat, ili nami nifeel kuwa l am still attractive to other people?
 
Last edited by a moderator:
Pakawa..............there is no such thing as mutuality............or symbiotic association there......a woman must always bring some initiative to work...........lazima univute ndipo mengineyo hufuata.....personal experience are good than yapping theories...........
I totally agree with u that 'a woman must always bring some initiative to work' but this has got to do with how both of u presented urselves to each other from day one. Ni kweli mwanamke anaplay big role kwa hii ili iwe vile iwe......HAPPY MAN
 
Pakawa bwana simamia unachokiani, ambacho nami naamini. Upendo kwanza vingine vyote huja automatically. Hata Yesu alisema "ukinipenda utashika Amri zanngu".

Tunawatii hata tusiowapenda
Tanatii hata tisivyoviamini

If Rutashubanyuma happy with kutiiwa let him be, go for LOVE, CARE n RESPECT kwani hivyo ndivyo kila kitu!
 
Last edited by a moderator:
Hebu tuanzie hapa.
Hili lilikuwa jibu kwa mwenzio:

Unataka wenye akili timamu? Haya niambie wale ambao sio tu wanaakili timamu, ambao wametumia zaidi ya miaka 20 shuleni na sisi tunawaita wasomi tena wacha mungu wanapo zaa na wake za watu au masita wa kanisani, hawa nao shida yao nini?
(nazungumzia "mapadri").

Na hili lilikuwa jibu lako kwangu:
Tiger mbona waulizia majibu tu?......kiu yao ni utii tu hawana shida nyingine kuhuzu viapo vyao vile vilikuwa kujihakikishia kipande cha mkate na "vijisenti" tu havina uhusiano na Muumba...............
Inamaana uwezo wako wa kujieleza uliishia hapo.

Nikaja kwako:


Chukua hii kisha tafakari "A man who can not control him self 'SEXUALLY', can not be depended on any decision he may make"
Angalia sana hilo neno kwenye capitals ni pana zaidi ya lilivyozoeleka

Wewe ukajibu:

Tiger........hapo umepata jackpot.....................bila ya zengwe.

Nikakuomba:

Una maana gani? Hebu fafanua.

Kabla hujanijibu akaja jamaa yako:

Umequote nusu nusu nimesema kiakili na kiafya,
Kukaa mda mrefu masomoni kwaweza onyesha una akili lakini kiafya je? huyu mtu anaweza kuwa na tatizo kisiklojia linmpelekea kufanya hivyo. Maana sio wote katika kundi ulilotaja wanafanya hivyo! na wengine wanafanya lakini kwa kupata utii wa wenzao sio kwa kubaka tu.
-Mifano unayo wanazaa na wana watoto wengi tu mitaani tofauti na kesi za kubakwa zilizolipotiwa, hivyo huwa kuna utii kati yao na wanaozaa nao!.

Ukampongeza:

Kyaiyembe............naona umeshindilia suala la utii mahali yake kabisa.......hata Tiger huenda akaingia mitini ....

Na huu ufafanuzi wako:

Tiger naona Kyaiyembe kesha kutoa ufafanuzi wa ziada khapo.................

Sasa kwa hoja hizo unadhani kuna haja ya kupotezeana muda?
Hapana, ninyi endeleeni.
 
mfuko wako ukituna utalambwa hadi unyayo kuonyeshwa utii🙂
 
Sashel.........ukijaribu kuonekana unahoji nafasi yake kama kiongozi wa familia..............ana sababu ya kuanza kukugeuzia kibao................tatizo ni kuwa he feels insecure and he needs to remind you who is incharge..........

ooh please Ruta...most men are insecure not because of their spouse but their own ghosts haunting them! and since they do not want to share their problems for fearing to hurt their image what can women do??.... no amount of UTII can remove insecurity not even a woman worships you!!
 
Rutashubanyuma, kwa maneno mengine; what u r trying to say ni kuwa wanaume ni kama watoto then hawana responsibility yoyote kwani kila wanachofanya ni reaction ya mwanamke? Na sisi tuyafnyayo ni reaction ya nani/nini?r women superbeing or what? Kama matatizo na mafanikio yote duniani yanakuwa trigered na mwanamke?

Sielewi!

Bora umeliona hilo Kaunga..yaani bora ya mtoto
 
Sure kaka.... Binti akiwa anakutii na kukuheshimu unakua unampenda zaidi......Ila hawa wa siku hizi wa TGNP wanadai haki sawa....
 
If Rutashubanyuma happy with kutiiwa let him be, go for LOVE, CARE n RESPECT kwani hivyo ndivyo kila kitu!
[MENTION]
Kaunga[/MENTION] bila ya utii.....you will never be happy.................faida uliyoipata wehn things fail...................remember this thread do accordingly.........
 
Mabinti wengi hutafakari kiu ya kidume ni nini haswa?
Wakitaka kufumbua kitendawili cha kiu bila ya majibu!
Wengi hugharimia mengi lakini majibu huwa haba….
Wengi hufikiria kiu ya kidume ni kuuchimbua utupu wao!
Kiu ya kidume kwa binti ni fumbo nami kulifumbua.

Kiu ya binti siyo kificho kwani hadharani huimwaga!
Akikutupia jicho la mahaba huhitaji kujiuliza ataka nini!
Akikuongelesha wajua sauti yake mwororo ina jambo!
Hata kama umejificha atakutoa pangoni na pendo lake!
Kiu ya kidume kwa binti ni fumbo nami kulifumbua.

Mwanaumme kueleweka siyo rahisi hata chembe.
Kwani rekodi yake huwa ni kizungumkuti kabisa.
Rekodi yake humsuta kama mpita njia asiye masikani.
Mabinti kuchukua tahadhari majanga yasije kuwadhuru.
Kiu ya kidume kwa binti ni fumbo nami kulifumbua.



Kijuujuu utafikiri kiu ya kidume ni uchi!
Lakini ukizama hiyo ni dalili ya kiu yake!
Kiu ya kidume ni utii wa binti na siyo uchi!
Binti hudhani uchi ndiyo wenyewe kumbe la!
Kiu ya kidume kwa binti ni fumbo nami kulifumbua.

Mhh, mhh, mhh. We kijana umejaaliwa sana. Ila mi sijaelewa visuli.
 
Back
Top Bottom