Pre GE2025 Kiukweli 2025 simuoni Rais Samia akishinda kwenye Boksi la kura kama upinzani wakiweka mtu mahiri

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mbona mwamba Tundu Lissu yupo?
 
Kosa kubwa walilofanya ccm wote kuanza kumsema vibaya magufuli, issue ya bandari ndio ikafanya wananchi wamtoe kabisa vichwani mwao, na wale wsliomlinganisha Rais samia na magufuli ndio walimpoteza kabisa jumla
 
Ukiacha wakati wa Mkapa awamu ya 2 na Kikwete awamu ya 1, hakuna kipindi kingine CCM walishinda Uchaguzi
Sina uzoefu na awamu ya kwanza ya Mkapa, ya pili kidogo ila nina hakika kwa asilimia zifuatazo

Kikwete awamu ya kwanza alishinda kihalali, na Magufuli awamu ya Pili alishinda kihalali kabisa


Twende mbele turudi nyuma

Wengi walimpigia Magufuli sababu ya kazi aliyoifanya ijapokuwa mwaka 2015 hawakuwa wengi kivile ila baada ya kazi yake 2020 watu walifanya kweli

(Hii nina shuhuda kabisa kwenye eneo ambalo lilisifika kuwa ngome ya upinzani, nikaomba usimamizi wa kituo na nikayashuhudia yaliyo ndani ya boxsi la kura, na sio eneo langu tu hata kwa wenzangu)
 
Kosa kubwa walilofanya ccm wote kuanza kumsema vibaya magufuli, issue ya bandari ndio ikafanya wananchi wamtoe kabisa vichwani mwao, na wale wsliomlinganisha Rais samia na magufuli ndio walimpoteza kabisa jumla

Kwenye suala la demokrasia na uhuru wa kujieleza Samia yupo 75% wakati Magufuli 20%

Magufuli shida yake ilikuwa ni moja tuu. Ambayo ni kubwa, nayo ni kuminya haki za kujieleza hasa kwa wapinzani wake.

Huko kwingine alikuwa vizuri
 
Makonda kwako ndiyo anafaa kuwa rais ?

Hivi hii nchi mnaichukuliaje ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…