Kiukweli Dr Dorothy Gwajima amekuwa kama Waziri wa Mambo ya Ndani kwa namna anavyowatetea Wananchi kwa haraka sana!

Kiukweli Dr Dorothy Gwajima amekuwa kama Waziri wa Mambo ya Ndani kwa namna anavyowatetea Wananchi kwa haraka sana!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Waziri wa Maendeleo ya Jamii Dorothy Gwajima utendaji wake umenikumbusha enzi za Augustino Lyatonga Mrema alipokuwa Waziri wa Mambo ya Ndani alikuwa ni mwepesi sana kushughulikia matatizo ya Wananchi bila kujali kama anaingilia Wizara nyingine ama la

Bila Dr Gwajima kuingilia Kati nadhani Malya angekuwa bado RPC Idodomiya

Mlale Unono 😀😀
 
Waziri wa Maendeleo ya Jamii Dorothy Gwajima utendaji wake umenikumbusha enzi za Augustino Lyatonga Mrema alipokuwa Waziri wa Mambo ya Ndani alikuwa ni mwepesi sana kushughulikia matatizo ya Wananchi bila kujali kama anaingilia Wizara nyingine ama la

Bila Dr Gwajima kuingilia Kati nadhani Malya angekuwa bado RPC Idodomiya

Mlale Unono 😀😀
Tatizo kuna washhenzi watakwenda kwa mamlaka za uteuzi wamhamishe ili kumlinda afande
 
Watuhumiwa ndio hawa wamefikishwa mahakaman au 🤭🤭
downloadfile-3.png
 
Kiukweli alivyoreact na ile tweet yake,alionyesha ukomavu sana,maana alipata tags nyingi,alikuja na majibu ya kiongozi....... viongozi wa aina yake saizi Bongo wameisha,wengi saizi wanakuwa wanaangalia upepo kwanza......saizi viongozi wengi hawatumii akili zao binafsi kwenye decision making, majority wanafanya mambo kuangalia ataonekanaje mbele ya maboss zake
 
Kwa kweli anafanya kazi nzuri sana sana, niliwahi kukemea tabia ya uchawa juu yake
Kuna siku alikuja mama wa watu kuomba ushauri wa kitu fulani sikumbuki,.
Likatokea kundi la machawa humu wakabadilisha mada mara Dr Gwajima umependeza sanaaaa, huyu natamani nikubebee, huyu mara chukua fomu unafaaaaa ,
Watu badala ya kutoa changamoto zao wakatoa uchawa chawa wabongo🙌🙌
 
Kiukweli alivyoreact na ile tweet yake,alionyesha ukomavu sana,maana alipata tags nyingi,alikuja na majibu ya kiongozi....... viongozi wa aina yake saizi Bongo wameisha,wengi saizi wanakuwa wanaangalia upepo kwanza......saizi viongozi wengi hawatumii akili zao binafsi kwenye decision making, majority wanafanya mambo kuangalia ataonekanaje mbele ya ma

boss zak5
Huyo Dorothy ni miongoni mwa majembe yaliyoibuliwa na JPM.
 
Kiukweli alivyoreact na ile tweet yake,alionyesha ukomavu sana,maana alipata tags nyingi,alikuja na majibu ya kiongozi....... viongozi wa aina yake saizi Bongo wameisha,wengi saizi wanakuwa wanaangalia upepo kwanza.
Halafu muda mfupi utasikia kahamishwa wizara
Tazama wizara ya ardhi mtu akifanya vizuri anaondolewa, sijui huwa ni kwa manufaa ya nani
 
Hakuna waziri anaheshima hapa jf kama Dorothy Gwajima, uungwana wake umefanya hata watu wasiweze kumtukana kwenye mitandao, ni msikivu, changamoto mpee hata barabarani ataifanyia kazi, hajikwezi kama wengine kujifanya miungu watu
 
Back
Top Bottom