Fursa Pesa
JF-Expert Member
- May 30, 2012
- 4,631
- 3,527
Kwa hali ilivyo sasa anafaa kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani.Huyo Dorothy ni miongoni mwa majembe yaliyoibuliwa na JPM.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hali ilivyo sasa anafaa kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani.Huyo Dorothy ni miongoni mwa majembe yaliyoibuliwa na JPM.
Dada anaheshima na nimetaarabu hata odo wa Tanga nae mtu wa busara sanaWaziri wa Maendeleo ya Jamii Dorothy Gwajima utendaji wake umenikumbusha enzi za Augustino Lyatonga Mrema alipokuwa Waziri wa Mambo ya Ndani alikuwa ni mwepesi sana kushughulikia matatizo ya Wananchi bila kujali kama anaingilia Wizara nyingine ama la
Bila Dr Gwajima kuingilia Kati nadhani Malya angekuwa bado RPC Idodomiya
Mlale Unono 😀😀
Viva Dorothy Gwajima Viva!Huyu mama yupo vizuri sana katika wizara yake.
Hiyo hiyo so whatSo what?
Huyu mama afya ilimfaa sana ila basi tuuHuyo Dorothy ni miongoni mwa majembe yaliyoibuliwa na JPM.
Shida ya CCM ukiwa mchapakazi unatolewa na nafasi yako ebu angalia alichofanyiwa jerry slaaTumwombee asije akateuliwa kuwa waziri wa ardhi au kilimo.
Yaani ya Jerry Silaa imenishangaza kweli kweli.Shida ya CCM ukiwa mchapakazi unatolewa na nafasi yako ebu angalia alichofanyiwa jerry slaa
Huyu Mama Gwajima D Ni Waziri Kweli Kweli
Heshimu viongozi wako kijana, huo ni ukosefu wa adabu,jikite kwenye hoja iliyopo mezani,na kama huna hoja siyo lazima u comment!!Wanawake wakaksi kama yeye wanakuwaga na mashine bomba sana. Si unajua Mungu hamnyimi mtu kila kitu.
She's the best.Waziri wa Maendeleo ya Jamii Dorothy Gwajima utendaji wake umenikumbusha enzi za Augustino Lyatonga Mrema alipokuwa Waziri wa Mambo ya Ndani alikuwa ni mwepesi sana kushughulikia matatizo ya Wananchi bila kujali kama anaingilia Wizara nyingine ama la
Bila Dr Gwajima kuingilia Kati nadhani Malya angekuwa bado RPC Idodomiya
Mlale Unono 😀😀
Nimempa maua yake au Kiswahili hakipandi utakuwa mrundi wewe.Heshimu viongozi wako kijana, huo ni ukosefu wa adabu,jikite kwenye hoja iliyopo mezani,na kama huna hoja siyo lazima u comment!!
Muhimu kuna haja ya kufanyika mambo mawili.Waziri wa Maendeleo ya Jamii Dorothy Gwajima utendaji wake umenikumbusha enzi za Augustino Lyatonga Mrema alipokuwa Waziri wa Mambo ya Ndani alikuwa ni mwepesi sana kushughulikia matatizo ya Wananchi bila kujali kama anaingilia Wizara nyingine ama la
Bila Dr Gwajima kuingilia Kati nadhani Malya angekuwa bado RPC Idodomiya
Mlale Unono 😀😀