Tutazoea, japo kwa mbinde sana.Itabidi mzoee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tutazoea, japo kwa mbinde sana.Itabidi mzoee
Njaa mzee....unamkabizije mtu timu bila katiba bora lazima uliwe kichwa.. rudini mkae chini na kambi ya Mzee magoma ana hoja.Tulitegemea kuwa na msimu mzuri sana kwenye CL mwaka huu ila viongozi wameuharibu kwa sababu wanazozijua wao.
Kaukalia - ha ha ha haMtoto kautaka!
Mbona nafasi bado mnayo.Tulitegemea kuwa na msimu mzuri sana kwenye CL mwaka huu ila viongozi wameuharibu kwa sababu wanazozijua wao.
Ndo mtajua hamjui, waarabu wakija watapaki basi ili tuone sasa kama mtawafunga kuanzia tatu....Tulitegemea kuwa na msimu mzuri sana kwenye CL mwaka huu ila viongozi wameuharibu kwa sababu wanazozijua wao.
Tunataka.. Timuyeetuu.. Oooh tunataka. Timuyeetu..
Kumbe!Yanga kabla makundi hayajapangwa kila timu ilikuwa inaogopa kupangwa nae, ilifikia mpaka Yanga walijiamini kuwa wapangwa na yeyote tu maana timu wanayo