Lakini unakumbuka kuwa Yanga inafungwaje?😂😂😂Tulitegemea kuwa na msimu mzuri sana kwenye CL mwaka huu ila viongozi wameuharibu kwa sababu wanazozijua wao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lakini unakumbuka kuwa Yanga inafungwaje?😂😂😂Tulitegemea kuwa na msimu mzuri sana kwenye CL mwaka huu ila viongozi wameuharibu kwa sababu wanazozijua wao.
Tulitegemea kuwa na msimu mzuri sana kwenye CL mwaka huu ila viongozi wameuharibu kwa sababu wanazozijua wao.
Usajili wa Chama ulikua bure kabisa.Gamondi alinusa akaona hana timu - usajili ulikuwa wa kijinga sana ule...unasajili wazee yaani Mafao Fc
Kwakweli hili limetuumiza sana wananchi.....na Leo MBUMBUMBU wakishinda, moyo UTARARUKA vibaya sana.Tulitegemea kuwa na msimu mzuri sana kwenye CL mwaka huu ila viongozi wameuharibu kwa sababu wanazozijua wao.
Wanaitaka tena Mamelodi Robo final, sasa sijui watafika.Yanga kabla makundi hayajapangwa kila timu ilikuwa inaogopa kupangwa nae, ilifikia mpaka Yanga walijiamini kuwa wapangwa na yeyote tu maana timu wanayo
Na wewe fika fainali shirikishoo 😂Wanaitaka tena Mamelodi Robo final, sasa sijui watafika.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Maninaa,na bado hadi mseme kwa ufasaa!!!Tulitegemea kuwa na msimu mzuri sana kwenye CL mwaka huu ila viongozi wameuharibu kwa sababu wanazozijua wao.
Mpeni mzee magoma timu yake mazuzu nyie utopolo!!! HahahahGamond game mbili kupoteza alifukuzwa na huyu asepe tu atuachie team yetu
Bado wewe Leo kuchukua 5Maninaa,na bado hadi mseme kwa ufasaa!!!
Kwanza wamemlipa stahiki zake zote au wanasubiria barua toka fifaGamondi anakula shampeni now
Sawa ,usiwe mbali na Tv, leo ndio unachezwa mpira sasa!Bado wewe Leo kuchukua 5
Sawa mkuu hii Mimi naweka risitiSawa ,usiwe mbali na Tv, leo ndio unachezwa mpira sasa!