Kiukweli kuna baadhi ya watu mavazi fulani au sare fulani zinawapendeza na wanatokelezea. Shuhudia wanavyopendeza!

Pascal hujachoka tu!!
Jitahidi huenda ikawa sawa na nia yako.
Watu wanajadiri mambo muhimu yahusuyo usitawi wa nchi,dhulma za haki za watu wewe unakuja kusifia mtu kupendeza kuvaa sare za jeshi?

Mdogo wangu umefilika kabisa.
Hivi mayalla umefikia mahali hata familia unashindwa kuipatia mkate wa kila Siku?
MAANA UNAJIPENDEKEZA KITOTO SANA.

NIKUPE MAARIFA
Njia unayotumia ni ndefu sana na yawezekana hao wakuu wa uteuzi hawaioni au wameichoka.
NENDA KAONANE NAE USO KWA USO MWELEZE TAKWA LAKO.

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Huna jipya zaidi ya kukazimusha uteuzi na kaa ukijua kuwa hutapata uteuzi hata wa nyumba 10
 
When Pasco is reduced to discuss costume, outfits and gear,know that there is a big problem within himself
Mkuu Missile of the Nation , in life kuna political issues, economical issues na social issues, costumes is a social issue. Hizi discussion za costumes sikuzianza leo, ila it's not about costumes only, there is more than just costumes, ila kama hauna jicho la kuona hayo, huwezi kuona na kuishia kuona costumes only!.



P.
 
Ebu twambie ni mambo gani hayo ambayo wewe unayaona kuwa wameyafanya na Mkapa na Kikwete hawakufanya

JK alikuwa mpenzi wa siasa jeshini akiwa na mwenzake Kinana wenzake hawakuwa na hayo mambo.

JK alitanguliza diplomasia sana kuliko wengine wote, alipendelea na aliiendekeza diplomacy mpaka kwenye maamuzi tofauti na mkapa na JPM.

Mkapa roho yake ilikuwa kwenye thamani ya TSH na taasisi ya kukusanya kodi wengine walijikita kwenye miundo mbinu(JPM) na diplomasia(JK)

Utendaji wa maraisi umetofautiana sana hatutamaliza mambo ni mengi hatutayamaliza.
 
Awamu ya 5 hakuna cha kujibunia maana miradi yote ilikuwa ya Kikwete
 
Mkuu Babati , kiukweli kuna michango mingine inakugusa hadi inakuumiza kwasababu ina ukweli mkubwa ambao unauma hivyo unaumia ila ndio ukweli wenyewe.

Human beings are not static, they are dynamic and hence, they changes with time, as days go by, the young and energetic people changes into old age and always try to fit and live in a certain lifestyle, while life also changes, with time, and place, hivyo if you can't change and adapt to the changing environment, then you just perish.

Naomba ni reserves mwingine ila kiukweli nimeguswa na jinsi nilivyo kuwa highly regarded humu jf na jinsi sasa ninavyo dharauliwa humu, hivyo na mimi nimebaini jf ina vilaza wengi kuliko tunavyotegemea, wao wanaona hili ni bandiko la mavazi tuu, hadi kuliita "utumbo".

Najitafakari
P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…