Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu Pascal nimekufahamu 2016 nikaanza kukufuatilia kwa undani sn, mbona mwanzo ulikuwa unaleta hoja nzito hapa unachambua mpaka sisi vilaza tunapata maarifa? ni kweli JF ni user generated forum lakini kwa mtu ambaye ulijijengea heshima kubwa kama wewe kwa hoja zenye mashiko tunashangaa sn kuona unazidi kupotea, utumbo kama huu ungeandikwa na johnthebaptist hakuna mtu angeshangaa. Bashiru, Polepole sijui Kabudi nani leo anaweza kuwasilikiza au Dr Rioba hawana issue tena sababu jamii ilikuwa inawaheshimu sn lakini baada ya kuisaliti jamii wanaonekana ni watu wa hovyo sn. Wewe tuna kulalamikia sababu ya background yako nzuri kabla ya kuingia tamaa.Mkuu Babati , kwa vile jf ni user generated forum, kila mtu yuko free kuzungumzia chochote anachoona kinafaa, na japo ni kweli kesi ya Mbowe ndio habari kuu ya mujini kwa sasa, sio lazima kila mtu aizungumzie kesi ya Mbowe. Pili ni mwanasheria in a sense that nimesoma sheria, but I've never practiced hivyo sina uwezo huo wa ulioutegemea wa kushusha nondo kama mwanasheria, mimi ni mwandishi wa habari tuu wa kujitegemea na sio mwanasheria as mwanasheria.
P
Goodnilimlaumu aliposema wewe ni mtu wa njaa ila kadri muda unavyoenda nathibitisha maneno yake, pasco wa leo sio pasco wa zamani mwenye kuandika vitu vyenye akili na kufikilisha umebakia kuwa chawa mkongwe
Mkuu Tate Mkuu , please don't!. Sisi sio tumekuwa baridi kwa kutaka ni umri ndio umetutupa mkono. Sasa tunageuka waalimu kufundisha vijana.Ukiona watu kama Pascal Mayalla wamekuwa baridi! Mimi ni nani hata niwe wa moto? From today onward, nitakuwa ni msomaji tu na mpita njia. Sitarajii kumsifia/kumkosoa yeyote yule! zaidi tu ya ku react kimya kimya positively/negatively!
Tukutane kule kwenye jukwaa la kutafuta wachumba! Kula kimasihara, nk. Maana hakuna namna.
Ajitafakari kwanini jamii now inamdharau Paschal?I did not expect this to come from you Pascal. Loooh it's a disgrace.
Dada angu mbona unawashwa sn?Nimesoma nimekuelewa sasa nakuuliza.
Kwann amri jeshi mkuu kuvaa nguo za jeshi ni maigizo na mambo ya hovyo?
Kuna mambo mangapi yamefanywa na maraisi wengine JK na Mkapa hawajayafanya kwann hili la kuvaa nguo iwe reference kwa hao wawili?
Natabiri huna majibu yenye maana na utademka na kukatika tu. Prove me wrong.
Ndiyo zake huyu,anakusifia huku anakung'ong'aMkuu Pasco, kwa jicho la tatu naona kama umempiga jungu chifu wa machifu[emoji205]
You prove me right. UNAKATIKA KATIKA TU HUNA MAJIBU.Dada angu mbona unawashwa sn?
Sawa dada anguYou prove me right. UNAKATIKA KATIKA TU HUNA MAJIBU.
Daaa Natamani hawa wanaokutukana nao wangeelewa ulichoandika kama Mimi. Anyways, we mzee akiri kubwa na uzuri umetanguliza angalizo kuwa not for average minds.Mkuu Pakawa , kuna kitu kinaitwa kutazama kitu kwa different perspectives, wengi uwezo wenu ni kuona sare tuu za jeshi, sisi wenye eyes to details jicho letu linaona beyond mavazi, hivyo unapoleta hoja zinazohitaji wenye uwezo to read in between the lines, na wengi humu ni vilaza tuu, then vilaza hawa watatoka kapa na ndio kama hivi kuambiwa hili ni bandiko la utoto!. Look beyond mavazi, mavazi yanazungumza, lazima uwe na jicho la kuona visivyo onekana na sikio la kusikia visivyo tamkwa. Jee wewe Mkuu Pakawa by your look na michango yako humu, unaonekana sio kilaza, how can you miss the point usijue nazungumzia nini kwenye bandiko hili?.
P
WE ENDELEA TU, UNAKATIKIA HOJA YAKO MWENYEWE NA UNAJUA HILO, HAYO NI MATOKEO YA KUTOA HOJA KABLA YA KUFIKIRI, UNAISHIA KUNENGUA NA KUKATIKA KATIKA UKIULIZWA KWANINI UMESEMA ULICHOSEMA🤣🤣Sawa dada angu
JPM ni kweli zimempendeza kwa sababu umbo lake linamruhusu...Angalizo la uchangiaji: Kuna watu humu wana vijiba vya roho, akitokea mtu akapendeza wao wanakereka au akisifiwa wao wanakereka na kukasirika. Kama wewe ni mmoja wa kundi hili, nakuomba ushia hapa ili huko mbele usikereke.
Mzee nawe ni great thinker. 🙏🙏🙏🙏🙏 na Great Thinker ndo watamuelewa huyu mzee kwenye huu uzi. Anapiga mawe kinyume nyume😂😂😂😂😂😂😂😂😂Mkuu Pasco, kwa jicho la tatu naona kama umempiga jungu chifu wa machifu🐒
Mkuu Tony Laurent , kwanza naheshimu mawazo yako kuwa mimi ni mfano mbaya kwa jamii. Human beings are different, we can't all be the same, we can't all be like Jenerali, Jenerali ni Jenerali hivyo ndivyo Jenerali alivyo na Pasco Mayalla ni Pasco Mayalla hivi ndivyo Pasco Mayalla alivyo. Kwa vile Jenerali is good on his ways, kama Pasco Mayalla anao uwezo huo kama wa Jenerali, then kumshauri Pasco Mayalla awe kama Jenerali is fine, lakini kama Pasco Mayalla hana huo uwezo hata nusu ya Jenerali, kumtaka awe kama Jenerali, ni kumuonea bure!. Naombeni msinionee!.Kwa andiko hili kweli Pascal Mayalla umezeeka! Jaribu kutumia muda huu wa uzee wako kucheza na wajukuu na kuwaasa wawe watu wenye msimamo kama Jenerali Ulimwengu.
Waambie ukweli kabisa kwamba wasiige mfano wako mbaya. Kwamba pamoja na kujitahidi kujipendekeza lakini bado umeambulia patupu. Bora ungebaki na msimamo wako wa zamani ukabaki na heshima yako..