Kiukweli nawashangaa wakenya, hivi wametuzidi Watanzania kwa lipi?

Kiukweli nawashangaa wakenya, hivi wametuzidi Watanzania kwa lipi?

DR SANTOS

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2019
Posts
12,846
Reaction score
28,106
Habari za wakati huu,

Leo nimeamua niulize tu labda itaondoa utata kidogo. Kumekuwa na tendency ya Wakenya kujiona wapo juu kwa kila kitu kuliko Tanzania.

Tuongee fact; Wakenya walichoizidi Tanzania ni kipi?
 
habari za wakati huu,leo nimeamua niulize tu labda itaondoa utata kidogo.
kumekua na tendency ya wakenya kujiona wapo juu kwa kila kitu kuliko Tanzania.

tuongee fact wakenya walichoizid tanzania ni kipi?
View attachment 1510359
Sio kwamba wametuzidi ila sisi wenyew hatujiamini halafu tumekuwa wanafki.

Usipojiamini wewe mwenyewe hakuna atakayekuamini. Huku mitandaoni watanzania kila kukicha wanatukana na kudharau viongozi wao lakn hilo Kwa wenzetu hulioni. Hata kama wanakosoa wanakosoa Kwa akili na hekima.

Chukulia mfano kwenye corona. Wakenya wakitoa ripoti kuwa wanawagonjwa 10 watanzania wanasifia kuwa hao wamesema ukweli lakn huku Tanzania wakisema wanawagonjwa 8 watanzania wanaanza kukejeli kuwa wanaficha taarifa.
 
Sio kwamba wametuzidi ila sisi wenyew hatujiamini halafu tumekuwa wanafki.

Usipojiamini ww mwenyewe hakuna atakayekuamini. Huku mitandaoni watanzania kila kukicha wanatukana na kudharau viongozi wao lakn hilo Kwa wenzetu hulioni. Hata kama wanakosoa wanakosoa Kwa akili na hekima.

Chukulia mfano kwenye corona. Wakenya wakitoa ripoti kuwa wanawagonjwa 10 watanzania wanasifia kuwa hao wamesema ukweli lakn huku Tanzania wakisema wanawagonjwa 8 watanzania wanaanza kukejeli kuwa wanaficha taarifa.
umenena fact mkuu.
 
Wakenya wametuzidi kiuchumi
Wametuzidi kwa viwanda
Wametuzidi kwa exposure
Wametuzidi kwa kujitambua
Wametuzidi kwa Utajiri
Wametuzidi kwa ujasiri wa kwenda nchi za nje.

Mweee unatumia nguvu nyingi kihisia......unaposema wametuzidi KUJITAMBUA NA UPEO SI KWELI.....

Nimesoma nao, nimedeal nao kimaisha. Nakiri kusema wanatushinda kwenye UJANJAUJANJA na dili za magumashi. Hii inatokana na historia ya taifa lao Maana HATA Rais mh.Kenyata alipata kusema chambilecho WAKENYA TUMEZIDI KWA WIZI NA UTAPELI.

HAYO ni maneno ya His Excellency,unayapuuzaje?!!?

SITAKI kuongea kwa mifano kwani baadhi ni marafiki zangu mno ila jamaa wanazidiwa kidogo na kina Olesegun na Odemwingie wa Nigeria.

Chezea watu wa Mount Kenya na kule kwa kina mh.James Orengo😂😂😂
 
Back
Top Bottom