Kiukweli Wanachadema walimtia aibu Mwenyekiti Mbowe

Kiukweli Wanachadema walimtia aibu Mwenyekiti Mbowe

Hakuna popote ninapolaumu lolotr, ila ninasimamia hapa:

Tutambuane: Wenye ujasiri au sababu za kuikabili CCM

Wewe sikutegemei kwenye maandamano popote.

Nikulaumu wa nini sasa?

Tukishatambuana wenye ujasiri tutakiwasha kwa wakati wetu bila ya kumlaumu asiyekuwa muumini kama sisi.

Wanalaumiwa vipi Simba au yanga au wasiohusika kwenye shughuli hii ndugu?
Maandamano hayahitaji mtu uwe jasiri ni hapa Tanzania watawala wanataka iwe hivyo kwasababu hawapendi watu wakosoe madhaifu yao na wanapenda kushinda uchaguzi kwa hila. Watu hawa huchukia na pia kuogopa sana maandamano.
 
Vyovyote walivyokuwa wamepanga lakini lazima wangetakiwa Kulinda heshima ya Mwenyekiti Mbowe na heshima ya Chama

Embu Fikiria maandamano ya Chama kikubwa chenye Watu Milioni Sita ati waliojitokeza hawafiki elfu Moja, waliokamatwa hafiki hata Mia. Huo siô utani?
Mimi nadhani haya maandamano yanakosa uungwaji mkono wa wananchi kwa kuwa yamekaa kichama zaidi. Nikweli agenda zinahusu kile kinachoitwa maisha magumu,unyanyasaji na ukiukwaji wa haki ambapo kila raia anguswa kwa namna fulani.Tatizo nipale ambapo waandaaji wa maandamano wanaweka haya mambo kwa namna ambayo kila atakayeshiriki atakuwa anaunga mkono chama husika wakati ukweli nikwamba Kuna watu wengi hawana vyama au wanatoka vyama mbalimbali ambao nao wanaguswa na hayo mambo.
 
Maandamano hayahitaji mtu uwe jasiri ni hapa Tanzania watawala wanataka iwe hivyo kwasababu hawapendi watu wakosoe madhaifu yao na wanapenda kushinda uchaguzi kwa hila. Watu hawa huchukia na pia kuogopa sana maandamano.

Kwa hIyo hao watawala lini watapenda watu wakosoe madhaifu yao au wasishinde kwa hila?

Au lini wataacha kuchukia maandamano?

Kwa mawazo kama yako hakika wamasai wote leo, wangekuwa msomera!
 
Mimi nadhani haya maandamano yanakosa uungwaji mkono wa wananchi kwa kuwa yamekaa kichama zaidi. Nikweli agenda zinahusu kile kinachoitwa maisha magumu,unyanyasaji na ukiukwaji wa haki ambapo kila raia anguswa kwa namna fulani.Tatizo nipale ambapo waandaaji wa maandamano wanaweka haya mambo kwa namna ambayo kila atakayeshiriki atakuwa anaunga mkono chama husika wakati ukweli nikwamba Kuna watu wengi hawana vyama au wanatoka vyama mbalimbali ambao nao wanaguswa na hayo mambo.

Kama yamekaa kichama na kuwa wanachama hawakutokea, labda kama unataka kusema na wanachama nao hamna?
 
Kwa hIyo hao watawala lini watapenda watu wakosoe madhaifu yao au wasishinde kwa hila?

Au lini wataacha kuchukia maandamano?

Kwa mawazo kama yako hakika wamasai wote leo wangekuwa msomera!
Katiba mbovu ndio chanzo kikubwa cha mambo haya lakini pia uwepo wa CCM madarakani. Ujinga wa watanzania ni jambo kubwa hasa wale ambao bado wanaishabikia CCM.
 
Kama yamekaa kichama na kuwa wanachama hawakutokea, labda kama unataka kusema na wanachama nao hamna?
Hoja yangu nikwamba, yangekuwa na taswira ya kitaifa kwa kuwafanya watu wote waamini hilo jambo linawahusu bila kujalisha itikadi zao za kisiasa. Kwa namna hiyo isingesubiriwa wanachama sijui milioni6 wajitokeze badala yake raia wangeunga mkono kwa kuamini kinachotetewa kinawahusu wao moja kwa moja.
 
Katiba mbovu ndio chanzo kikubwa cha mambo haya lakini pia uwepo wa CCM madarakani. Ujinga wa watanzania ni jambo kubwa hasa wale ambao bado wanaishabikia CCM.

Kumbe katiba mbovu itaondoka yenyewe?

Kwa mawazo ya kinyonge kama yako kumbe CCM Kwa mkwara tu, itatawala miaka 100 mingine.
 
Kumbe katiba mbovu itaondoka yenyewe?

Kwa mawazo ya kinyonge kama yako kumbe CCM Kwa mkwara tu, itatawala miaka 100 mingine.
Kinachonishangaza kuliko vyote ni wewe hata baada ya kujua hayo yote bado unaishabikia CCM!
 
Hoja yangu nikwamba, yangekuwa na taswira ya kitaifa kwa kuwafanya watu wote waamini hilo jambo linawahusu bila kujalisha itikadi zao za kisiasa. Kwa namna hiyo isingesubiriwa wanachama sijui milioni6 wajitokeze badala yake raia wangeunga mkono kwa kuamini kinachotetewa kinawahusu wao moja kwa moja.

Kwa maana nyingine wananchi Tanga msibani wangeachwa kupaza sauti zao ...
 
Kule Kenya Nguvu yao kufa na Kupona iko maeneo ya mabanda Kibera kule chameRaila anajua piga ua lazima watu wake wako pale sasa wale mnaowaona akina Omosh One Hour, Nuru Okanga ,na Yule Usiku wa Manane wale jamaa wana watu wanahamasisha na pia wamesoma wanajielewa ukiwasikiza wanavyoongea na wanavyofanya mabunge yao wanajadili issues wanarusha mtandaoni...

Sasa Chadema wale Mbowe sio mpinzani hivyo yeye alikua anajua anachofanya...Watu au vijana wao kazi ni kutukana mtandaoni wakimaliza wanajificha...
 
..Wamaasai hawakutoa taarifa kwa Polisi kuwa wataandamana na Polisi wakawa wamejizatiti eneo la tukio wakiwasubiri wawauwe.

..Maandamano au mgomo hufanikiwa au kufeli kwa kuzingatia upande upi utamuwahi mwenzake kufika eneo la tukio.

..Wamaasai walifika eneo la tukio kabla ya Polisi,matokeo yake Polisi wakasalimu amri.

..Chadema siku ya kumpokea Lissu walifika uwanja wa ndege kwa wingi kabla Polisi hawaja-secure eneo hilo.

..Matokeo yake Polisi wakasalimu amri , na mapokezi ya Lissu yakafunga barabara kwa maandamano toka uwanja wa ndege mpaka Kinondoni Ufipa.

..Kilichotokea ni ELIMU tosha kwa Chadema, vyama vya upinzani, na wanaharakati, kuhusu namna bora ya kuandaa maandamano.

..Bila ELEMENT OF SURPRISE dhidi ya vyombo vya dola hakuna maandamano ya kushinikiza serikali yatafanikiwa.

Mara ngapi CHADEMA wamekuwa wakidhibitiwa kwa namna hiyo? Kuanzia Yale ya UKAWA.
Kwa nini hawabadili mbinu?
 
Asili ya Chadema na muasisi wake Mzee Mtei, ni chama cha hoja, kujenga hoja, tamaduni ya kutukana na maandamano inataka kupandikizwa na Lissu lakini inagoma!

Hata hao wanajeshi, inasemekana Lissu anashinikiza waingie katika korido za chama ili kupandikiza tamaduni za matumizi ya nguvu ili kupata mamlaka ya kisiasa
 
Wangejitokeza alafu ingefahamika.
Mbona Mbowe alijitokeza. Hiyo ndio hoja
Tunapaswa kuilaumu Polisi na serkali kwa kuzuia maandamano ya amani kinyume na katiba na sio kuwalaumu CHADEMA kwa kushindwa kuandamana baada ya kuzuiliwa na Polisi.
 
Waandamanaji wa CHADEMA wapo mitandaoni tu.

These buffoons are predominantly online to promote and perpetuate dangerous political dissent, further sowing seeds of subjugation of African peoples. The unsuspecting masses.

Wapo humu na wengine wanajinasibu kama Watanzania na hata CCM🙌🏾

CHADEMA(Uongozi) unadanganyika sana na hawa watu.

Ila, ni aibu kweli kama ilivyowasilishwa.
 
Back
Top Bottom