Kiukweli Wanachadema walimtia aibu Mwenyekiti Mbowe

Kiukweli Wanachadema walimtia aibu Mwenyekiti Mbowe

..Wamaasai hawakutoa taarifa kwa Polisi kuwa wataandamana na Polisi wakawa wamejizatiti eneo la tukio wakiwasubiri wawauwe.

..Maandamano au mgomo hufanikiwa au kufeli kwa kuzingatia upande upi utamuwahi mwenzake kufika eneo la tukio.

..Wamaasai walifika eneo la tukio kabla ya Polisi,matokeo yake Polisi wakasalimu amri.

..Chadema siku ya kumpokea Lissu walifika uwanja wa ndege kwa wingi kabla Polisi hawaja-secure eneo hilo.

..Matokeo yake Polisi wakasalimu amri , na mapokezi ya Lissu yakafunga barabara kwa maandamano toka uwanja wa ndege mpaka Kinondoni Ufipa.

..Kilichotokea ni ELIMU tosha kwa Chadema, vyama vya upinzani, na wanaharakati, kuhusu namna bora ya kuandaa maandamano.

..Bila ELEMENT OF SURPRISE dhidi ya vyombo vya dola hakuna maandamano ya kushinikiza serikali yatafanikiwa.

Hii ngoma ilikuwa ianzie Tanga
 
Tunapaswa kuilaumu Polisi na serkali kwa kuzuia maandamano ya amani kinyume na katiba na sio kuwalaumu CHADEMA kwa kushindwa kuandamana baada ya kuzuiliwa na Polisi.

Polisi wao Nina lawama zao
Lakini kwa upande wa CHADEMA nao wanalawama kwa kushindwa kuonyesha wao ni chama chenye umoja na chenye wanachama WENYE utiifu kwa chama.

Kwa hiyo Polisi wakiendelea vivyohivyo nanyi mtakuwa mnasitisha maandamano Kila leo
 
Habari za weekend!

Polisi na serikali kitakuwa NI kichaka tuu cha Kutoa Lawama lakini ukweli wa wazi NI kuwa, Wanachadema wamemtia aibu Mbowe.

Haiwezeniki Mwenyekiti atoe la namna Ile. Mpaka anasema kama akikamatwa au akiuawa muendelee na maandamano alafu Siku ya tukio mkamkimbia.

Nimejaribu kujishawishi lakini imeshindikana.

Tuachane na wanachama WA kawaida wa CHADEMA. Hivi viongozi WA CHADEMA wôte nchi nzima wangeamua kumuunga Mkono Mwenyekiti wasingeepusha aibu ile?

Yaani Chama chenye Wafuasi zaidi ya Milioni Sita mmeshindwaje kuandamana hata Watu elfu Kumi tuu. Huu kama siô utani NI kitû gàni?

Inamaana Watu Milioni Sita wanashindwa kusimamia kile wanachokiamini?
Mbona Wamasai Laki unusu tuu wameweza?

Maandamano Yale hayakuwa ya kuipa serikali ujûmbe kuhusu Agenda zilizotolewa kuhusu Utekaji na mauaji.
Bali yametoa ujûmbe Kwa Serikali kuwa CHADEMA haina wanachama watiifu Kwa Chama Chao. Wanachama àmbao wanaweza kusimamia kile wanachokiamini.

Maandamano Yale yametoa pîcha Kwa nchi zingine kama Ulaya na Amerika kuwa CHADEMA hakina ushawishi wowote.

Maandamano Yale yametoa pîcha Kwa wananchi kuwa CHADEMA siô Chama kinachokubalika.

Maandamano Yale yametoa pîcha kwa vyama vingine hasa Chama Tawala kuwa CHADEMA siô vile walivyokuwa wanaihofia.

Maandamano Yale yameleta majuto hasa Kwa viongozi WA serikali, Vyombo vya Dola na watawala kujuta Kutoa matamko Makali na Mengine Mabaya, na Kutumia Ñguvu àmbayo haikustahili.
Yàani Kúua nzi Kwa Nyundo.

Maandamano Yale yamekatisha tamaa Baadhi ya viongozi ambao wanampango WA kugombea kupitia CHADEMA na kuona Hakuna tumaini jema kupata uongozi kupitia CHADEMA.

Yaani hata Watu Elfu Moja kweli wakashindwa kuandamana?

Hakika wanachadema ninyi hamjakidhi vigezo vya kuitwa watetezi wa wanyonge kwèñye mapambano Makali, labda Kwa njia ya mdomo na mitañdaoni lakini huku field hapana Kwa Kwèli.

Mmemtia Mwenyekiti Mbowe Aibu. Angalau mngejaribu hata kidôgo Watu wangeona walau mlitoka.

Hii inaweza kuonyesha Mpo kwaajili ya kumtumia Mzee Mbowe. Mnamsifia tuu Bure lakini matendo Yenu yapo Mbali Sana.

Angalia Raila Odinga, anaitwa Baba. Huyo akisema Watu wanafuata. Na hawapo tayari Kumtia Aibu.
Niliona hata Kwa Jacob Zuma Kule Afrika Kûsini.

Fuatilieni Jambo Hilo. Jengeni unity. Na dalili ya Unity ni Kufuata oda ya Mwenyekiti wenu.

Jioni njema
hasira zote amepigwa chupa zuchu, huko Mbeya
 
Raila angekua tz na wakenya walivyo mpa Leo polisi wako wangeshaua zaidi ya watanzania milioni moja kwenye maandamano. Kwa sababu umekaa kusifia Upumbavu tu. Mnauamnakuja na vimada vya kipuuzi humu. Kesi ya askali wenu kubaka yule dada kimyaaaaa na ushahidi wa wazi. Mzee ali kibao naye kimyaaaaa. MUNGU ATOPATA TAABU KUWAHUKUMU NYINYI WAUWAJI. ATAWAFUNULIA PALE UNUNIO NA KUWAAMBIA NINI HAPA MLIKIFANYA. Siku hizi mkiteka tunaenda UNUNIO TU.
 
Mara ngapi CHADEMA wamekuwa wakidhibitiwa kwa namna hiyo? Kuanzia Yale ya UKAWA.
Kwa nini hawabadili mbinu?

..kwasababu Chadema ni chama cha AMANI na viongozi wake wanapenda kufuata SHERIA.

..Nia ya Chadema ilikuwa kuandamana kwa AMANI, na sio kupambana,au kuuana na Polisi.
 
Starting point nzuri ilikuwa ni siku ile ya Msiba wa Kibao, ila Mbowe mwenyewe akazingua
 
Habari za weekend!

Polisi na serikali kitakuwa NI kichaka tuu cha Kutoa Lawama lakini ukweli wa wazi NI kuwa, Wanachadema wamemtia aibu Mbowe.

Haiwezeniki Mwenyekiti atoe la namna Ile. Mpaka anasema kama akikamatwa au akiuawa muendelee na maandamano alafu Siku ya tukio mkamkimbia.

Nimejaribu kujishawishi lakini imeshindikana.

Tuachane na wanachama WA kawaida wa CHADEMA. Hivi viongozi WA CHADEMA wôte nchi nzima wangeamua kumuunga Mkono Mwenyekiti wasingeepusha aibu ile?

Yaani Chama chenye Wafuasi zaidi ya Milioni Sita mmeshindwaje kuandamana hata Watu elfu Kumi tuu. Huu kama siô utani NI kitû gàni?

Inamaana Watu Milioni Sita wanashindwa kusimamia kile wanachokiamini?
Mbona Wamasai Laki unusu tuu wameweza?

Maandamano Yale hayakuwa ya kuipa serikali ujûmbe kuhusu Agenda zilizotolewa kuhusu Utekaji na mauaji.
Bali yametoa ujûmbe Kwa Serikali kuwa CHADEMA haina wanachama watiifu Kwa Chama Chao. Wanachama àmbao wanaweza kusimamia kile wanachokiamini.

Maandamano Yale yametoa pîcha Kwa nchi zingine kama Ulaya na Amerika kuwa CHADEMA hakina ushawishi wowote.

Maandamano Yale yametoa pîcha Kwa wananchi kuwa CHADEMA siô Chama kinachokubalika.

Maandamano Yale yametoa pîcha kwa vyama vingine hasa Chama Tawala kuwa CHADEMA siô vile walivyokuwa wanaihofia.

Maandamano Yale yameleta majuto hasa Kwa viongozi WA serikali, Vyombo vya Dola na watawala kujuta Kutoa matamko Makali na Mengine Mabaya, na Kutumia Ñguvu àmbayo haikustahili.
Yàani Kúua nzi Kwa Nyundo.

Maandamano Yale yamekatisha tamaa Baadhi ya viongozi ambao wanampango WA kugombea kupitia CHADEMA na kuona Hakuna tumaini jema kupata uongozi kupitia CHADEMA.

Yaani hata Watu Elfu Moja kweli wakashindwa kuandamana?

Hakika wanachadema ninyi hamjakidhi vigezo vya kuitwa watetezi wa wanyonge kwèñye mapambano Makali, labda Kwa njia ya mdomo na mitañdaoni lakini huku field hapana Kwa Kwèli.

Mmemtia Mwenyekiti Mbowe Aibu. Angalau mngejaribu hata kidôgo Watu wangeona walau mlitoka.

Hii inaweza kuonyesha Mpo kwaajili ya kumtumia Mzee Mbowe. Mnamsifia tuu Bure lakini matendo Yenu yapo Mbali Sana.

Angalia Raila Odinga, anaitwa Baba. Huyo akisema Watu wanafuata. Na hawapo tayari Kumtia Aibu.
Niliona hata Kwa Jacob Zuma Kule Afrika Kûsini.

Fuatilieni Jambo Hilo. Jengeni unity. Na dalili ya Unity ni Kufuata oda ya Mwenyekiti wenu.

Jioni njema
Waliandamana polisi kwa siku 3 mikoa yote kinondoni, ilala, temeke na walitoka mikoa yote ya bara yalifana kweli. Unasemaje!
 
Back
Top Bottom