Kiukweli Wanachadema walimtia aibu Mwenyekiti Mbowe

Kiukweli Wanachadema walimtia aibu Mwenyekiti Mbowe

Hakika ni Aibu kubwa. Hii aibu naifananiaha na ya mwalimu wetu mkuu alikosa kura hata moja, staff walipiga kura za maoni kwenye kesi fulani ya nani asamehewe, au nani hahusiki. Ni Aibu kubwa na aliacha ualimu. Bora hiyo cha kitoto.

Mbowe wamemuaibisha sana
kama alikua peke yake si wangemuacha aandamane ili aipate aibu vizuri, au walimzuia kumuokoa na aibu, eti ehhe.
Kwanza hakuna maandamano ya mtu 1 wangemuacha tu achape lapa mwenyewe
 
Watanzania watu w amani lkn ukiwasikia mitandaoni utadanganyika lkn siku ya kuandamana wenyewe wamenunua airtime usiku w wakuamkia maandamano wamenyuti home wanafatilia mpambano na washaandaa maneno ya kuwalaani polisi kwa unyama wao. Wengine wao mashabiki wa Israel ukiwasikia wanavyowapamba taifa teule lkn kule Israel wakatoa offers wanaitaji vijana na watepewa haki ya ukaazi ktk taifa teule lenye mibaraka kibao.lkn atuoni ao vijana wakichangamkia iyo fursa wamenyuti kimya kama akuna offers lkn kwenyekushabikia haaaaa wapo moto moto. Utasema wapo Israel adi rahaaa yani.
 
Mfumo waliouweka CCM ni mgumu, kuuvunja itahitaji Chama pinzani Kiwe na wataalamu wa kuweza kuu- destabilise Kwanza Kabla hawajaudondosha.

Mpaka Sasa bado mfumo wa CCM upo strong, umejichimbia kwèñye maeneo nyeti Sana, kuacha Dola lenyewe, ukiingia kwèñye Dini wàpo, Burudani na michezo wàpo, n.k.

CHADEMA wamekosa Mbinu na wanahitaji Akili mpya kuiangusha CCM.

Ukiona Chama kinafikia hatua ya kulaumu Sijui Polisi, sijui Viongozi wa Dini, au Timu za Mpira na washabiki wake, Wakati hao ndîo wateja wènyewe àmbao Chama kinatakiwa kitumie Mbinu zozote kuwashawishi. Lakini kinatoa Lawama ujue kimeshindwa na kuishiwa Mbinu
Nikisema “JINI” ndio kama CCM. It is very stable way of economic and political system which has worked on the biggest and populated country in East Africa.

So whatever CCM is doing has worked. We can underestimate CCM because of our subjective ideology of success but in general our beloved government has been successful in maintaining status quo for more than 60 years.

We often feel like we're missing out or inferior compared to more developed countries, What we have is something unconventional and sustainable. Our economic system, though not perfect, allows even those with little to own land, start small businesses, and sell their crops or products. This self-reliance is a strength, not a weakness. We don't consume excessively or migrate in large numbers, make us rooted in our own economy, make us more independent and sovereign as a nation. Instead of seeking validation from external exposure,even though we miss out a lot of things,we should recognize the value of what we already have the ability to sustain ourselves without over dependence on outside forces.
 
Habari za weekend!

Polisi na serikali kitakuwa NI kichaka tuu cha Kutoa Lawama lakini ukweli wa wazi NI kuwa, Wanachadema wamemtia aibu Mbowe.

Haiwezeniki Mwenyekiti atoe la namna Ile. Mpaka anasema kama akikamatwa au akiuawa muendelee na maandamano alafu Siku ya tukio mkamkimbia.

Nimejaribu kujishawishi lakini imeshindikana.

Tuachane na wanachama WA kawaida wa CHADEMA. Hivi viongozi WA CHADEMA wôte nchi nzima wangeamua kumuunga Mkono Mwenyekiti wasingeepusha aibu ile?

Yaani Chama chenye Wafuasi zaidi ya Milioni Sita mmeshindwaje kuandamana hata Watu elfu Kumi tuu. Huu kama siô utani NI kitû gàni?

Inamaana Watu Milioni Sita wanashindwa kusimamia kile wanachokiamini?
Mbona Wamasai Laki unusu tuu wameweza?

Maandamano Yale hayakuwa ya kuipa serikali ujûmbe kuhusu Agenda zilizotolewa kuhusu Utekaji na mauaji.
Bali yametoa ujûmbe Kwa Serikali kuwa CHADEMA haina wanachama watiifu Kwa Chama Chao. Wanachama àmbao wanaweza kusimamia kile wanachokiamini.

Maandamano Yale yametoa pîcha Kwa nchi zingine kama Ulaya na Amerika kuwa CHADEMA hakina ushawishi wowote.

Maandamano Yale yametoa pîcha Kwa wananchi kuwa CHADEMA siô Chama kinachokubalika.

Maandamano Yale yametoa pîcha kwa vyama vingine hasa Chama Tawala kuwa CHADEMA siô vile walivyokuwa wanaihofia.

Maandamano Yale yameleta majuto hasa Kwa viongozi WA serikali, Vyombo vya Dola na watawala kujuta Kutoa matamko Makali na Mengine Mabaya, na Kutumia Ñguvu àmbayo haikustahili.
Yàani Kúua nzi Kwa Nyundo.

Maandamano Yale yamekatisha tamaa Baadhi ya viongozi ambao wanampango WA kugombea kupitia CHADEMA na kuona Hakuna tumaini jema kupata uongozi kupitia CHADEMA.

Yaani hata Watu Elfu Moja kweli wakashindwa kuandamana?

Hakika wanachadema ninyi hamjakidhi vigezo vya kuitwa watetezi wa wanyonge kwèñye mapambano Makali, labda Kwa njia ya mdomo na mitañdaoni lakini huku field hapana Kwa Kwèli.

Mmemtia Mwenyekiti Mbowe Aibu. Angalau mngejaribu hata kidôgo Watu wangeona walau mlitoka.

Hii inaweza kuonyesha Mpo kwaajili ya kumtumia Mzee Mbowe. Mnamsifia tuu Bure lakini matendo Yenu yapo Mbali Sana.

Angalia Raila Odinga, anaitwa Baba. Huyo akisema Watu wanafuata. Na hawapo tayari Kumtia Aibu.
Niliona hata Kwa Jacob Zuma Kule Afrika Kûsini.

Fuatilieni Jambo Hilo. Jengeni unity. Na dalili ya Unity ni Kufuata oda ya Mwenyekiti wenu.

Jioni njema
Wapumbavu bado mnadhani chadema ni chama cha siasa
..chadema kilisha jifisha siku nyingi wamebaki na sera cha kuchumia tumbo tu kama manabii (kina kiboko ya wachawi kokoo)
 
Mkûu Hapa naongea ukweli wa kilichotokea.
Kama yalikuwa ya Amani wangejitokeza tuu ili hao Polisi na serikali ya Samia iwafanye hicho itakachowafanya lakini walimuacha Mbowe na viongozi kadhaa.

Mbona Wamasai wameandamana Nonstop Kwa Amani tenà Wengine wakaumizwa na kujeruhiwa lakini walibaki na Msimamo. mpaka wametoboa



Kwa hîyo Kila CHADEMA wakisema wanaandamana kudai Haki Fulani alafu Polisi na serikali ikisema itatandaza Askari kîla Kona hawataandamana tenà?
Basi Hapo Kazi Ipo.



Hakuna haja ya waô Kutoa matamko ya maandamano huku wakijua wakutosha kidôgo hawataandamana.
Inawashushia ushawishi katika medani za Kisiasa.

..Wamaasai hawakutoa taarifa kwa Polisi kuwa wataandamana na Polisi wakawa wamejizatiti eneo la tukio wakiwasubiri wawauwe.

..Maandamano au mgomo hufanikiwa au kufeli kwa kuzingatia upande upi utamuwahi mwenzake kufika eneo la tukio.

..Wamaasai walifika eneo la tukio kabla ya Polisi,matokeo yake Polisi wakasalimu amri.

..Chadema siku ya kumpokea Lissu walifika uwanja wa ndege kwa wingi kabla Polisi hawaja-secure eneo hilo.

..Matokeo yake Polisi wakasalimu amri , na mapokezi ya Lissu yakafunga barabara kwa maandamano toka uwanja wa ndege mpaka Kinondoni Ufipa.

..Kilichotokea ni ELIMU tosha kwa Chadema, vyama vya upinzani, na wanaharakati, kuhusu namna bora ya kuandaa maandamano.

..Bila ELEMENT OF SURPRISE dhidi ya vyombo vya dola hakuna maandamano ya kushinikiza serikali yatafanikiwa.
 
Habari za weekend!

Polisi na serikali kitakuwa NI kichaka tuu cha Kutoa Lawama lakini ukweli wa wazi NI kuwa, Wanachadema wamemtia aibu Mbowe.

Haiwezeniki Mwenyekiti atoe la namna Ile. Mpaka anasema kama akikamatwa au akiuawa muendelee na maandamano alafu Siku ya tukio mkamkimbia.

Nimejaribu kujishawishi lakini imeshindikana.

Tuachane na wanachama WA kawaida wa CHADEMA. Hivi viongozi WA CHADEMA wôte nchi nzima wangeamua kumuunga Mkono Mwenyekiti wasingeepusha aibu ile?

Yaani Chama chenye Wafuasi zaidi ya Milioni Sita mmeshindwaje kuandamana hata Watu elfu Kumi tuu. Huu kama siô utani NI kitû gàni?

Inamaana Watu Milioni Sita wanashindwa kusimamia kile wanachokiamini?
Mbona Wamasai Laki unusu tuu wameweza?

Maandamano Yale hayakuwa ya kuipa serikali ujûmbe kuhusu Agenda zilizotolewa kuhusu Utekaji na mauaji.
Bali yametoa ujûmbe Kwa Serikali kuwa CHADEMA haina wanachama watiifu Kwa Chama Chao. Wanachama àmbao wanaweza kusimamia kile wanachokiamini.

Maandamano Yale yametoa pîcha Kwa nchi zingine kama Ulaya na Amerika kuwa CHADEMA hakina ushawishi wowote.

Maandamano Yale yametoa pîcha Kwa wananchi kuwa CHADEMA siô Chama kinachokubalika.

Maandamano Yale yametoa pîcha kwa vyama vingine hasa Chama Tawala kuwa CHADEMA siô vile walivyokuwa wanaihofia.

Maandamano Yale yameleta majuto hasa Kwa viongozi WA serikali, Vyombo vya Dola na watawala kujuta Kutoa matamko Makali na Mengine Mabaya, na Kutumia Ñguvu àmbayo haikustahili.
Yàani Kúua nzi Kwa Nyundo.

Maandamano Yale yamekatisha tamaa Baadhi ya viongozi ambao wanampango WA kugombea kupitia CHADEMA na kuona Hakuna tumaini jema kupata uongozi kupitia CHADEMA.

Yaani hata Watu Elfu Moja kweli wakashindwa kuandamana?

Hakika wanachadema ninyi hamjakidhi vigezo vya kuitwa watetezi wa wanyonge kwèñye mapambano Makali, labda Kwa njia ya mdomo na mitañdaoni lakini huku field hapana Kwa Kwèli.

Mmemtia Mwenyekiti Mbowe Aibu. Angalau mngejaribu hata kidôgo Watu wangeona walau mlitoka.

Hii inaweza kuonyesha Mpo kwaajili ya kumtumia Mzee Mbowe. Mnamsifia tuu Bure lakini matendo Yenu yapo Mbali Sana.

Angalia Raila Odinga, anaitwa Baba. Huyo akisema Watu wanafuata. Na hawapo tayari Kumtia Aibu.
Niliona hata Kwa Jacob Zuma Kule Afrika Kûsini.

Fuatilieni Jambo Hilo. Jengeni unity. Na dalili ya Unity ni Kufuata oda ya Mwenyekiti wenu.

Jioni njema
Nchi ni ya wananchi, na si ya wanasiasa pekee. Wananchi kwa ujumla ndio wajenga nchi. Wasipotaka kuijenga nchi yao, wakiwategemea wanasiasa(wachache) waijenge, haitowezekana kamwe.
 
Huo ukweli nani amesema kama ni ukweli? naona ni opinion za Robert tu.

Hamuwezi kuwakosoa wana CDM kwa kutokufanya maandamano ambayo polisi wameyakataa kimaandishi, na bado haitoshi wametanda mji mzima na silaha nzito za kivita kama tupo gaza, tena days before and few days after. Mlitaka watu wafanye nini? So far mambo ni mabaya, kuwamock CDM hakusaidii kitu. Sisi wengine ni nchi kwanza na CDM wanatusaidia sana kuachive “nchi kwanza”

Haya mabandiko ya sasa ya kina Robert na nduguze juu ya maonyo, ushauri na blah blah zingine lengo lake ni mockery. Nani mwenye akili timamu asiyejua hizi ni dhihaka?

Ukweli usiouona ni huu Hapa:

Tutambuane: Wenye ujasiri au sababu za kuikabili CCM

Unajipanga vipi kupambana ikibidi hadi kufa na watu wasiojua wanaamini katika nini?

Unadhani Kenya, Bangladesh, Congo, Nigeria au kokote wanakomwagika barabarani polisi wa huko hawachukui dhana za vita?

Unadhani huko wanaokufa kwenye kupigania wanayoamini wanajuta?

Unadhani wapalestina au HAMAS wana majuto yoyote kwenye harakati zao?

Wapi unapoona ni mockery?

Haki za watu hamzijui unadhani angekuwa Lissu hii ngoma isingeanzia Tanga?

Huoni chelewa chelewa ndiyo inayowaangamiza leo Hezbollah Houthi na pole pole itawakuta hadi Iran mmoja baada ya mwingine?

Hakuna mockery hapa zaidi ya kuwa bila kutoka kwenye state of denial ieleweke kuwa tungali tupo tupo sana!
 
Habari za weekend!

Polisi na serikali kitakuwa NI kichaka tuu cha Kutoa Lawama lakini ukweli wa wazi NI kuwa, Wanachadema wamemtia aibu Mbowe.

Haiwezeniki Mwenyekiti atoe la namna Ile. Mpaka anasema kama akikamatwa au akiuawa muendelee na maandamano alafu Siku ya tukio mkamkimbia.

Nimejaribu kujishawishi lakini imeshindikana.

Tuachane na wanachama WA kawaida wa CHADEMA. Hivi viongozi WA CHADEMA wôte nchi nzima wangeamua kumuunga Mkono Mwenyekiti wasingeepusha aibu ile?

Yaani Chama chenye Wafuasi zaidi ya Milioni Sita mmeshindwaje kuandamana hata Watu elfu Kumi tuu. Huu kama siô utani NI kitû gàni?

Inamaana Watu Milioni Sita wanashindwa kusimamia kile wanachokiamini?
Mbona Wamasai Laki unusu tuu wameweza?

Maandamano Yale hayakuwa ya kuipa serikali ujûmbe kuhusu Agenda zilizotolewa kuhusu Utekaji na mauaji.
Bali yametoa ujûmbe Kwa Serikali kuwa CHADEMA haina wanachama watiifu Kwa Chama Chao. Wanachama àmbao wanaweza kusimamia kile wanachokiamini.

Maandamano Yale yametoa pîcha Kwa nchi zingine kama Ulaya na Amerika kuwa CHADEMA hakina ushawishi wowote.

Maandamano Yale yametoa pîcha Kwa wananchi kuwa CHADEMA siô Chama kinachokubalika.

Maandamano Yale yametoa pîcha kwa vyama vingine hasa Chama Tawala kuwa CHADEMA siô vile walivyokuwa wanaihofia.

Maandamano Yale yameleta majuto hasa Kwa viongozi WA serikali, Vyombo vya Dola na watawala kujuta Kutoa matamko Makali na Mengine Mabaya, na Kutumia Ñguvu àmbayo haikustahili.
Yàani Kúua nzi Kwa Nyundo.

Maandamano Yale yamekatisha tamaa Baadhi ya viongozi ambao wanampango WA kugombea kupitia CHADEMA na kuona Hakuna tumaini jema kupata uongozi kupitia CHADEMA.

Yaani hata Watu Elfu Moja kweli wakashindwa kuandamana?

Hakika wanachadema ninyi hamjakidhi vigezo vya kuitwa watetezi wa wanyonge kwèñye mapambano Makali, labda Kwa njia ya mdomo na mitañdaoni lakini huku field hapana Kwa Kwèli.

Mmemtia Mwenyekiti Mbowe Aibu. Angalau mngejaribu hata kidôgo Watu wangeona walau mlitoka.

Hii inaweza kuonyesha Mpo kwaajili ya kumtumia Mzee Mbowe. Mnamsifia tuu Bure lakini matendo Yenu yapo Mbali Sana.

Angalia Raila Odinga, anaitwa Baba. Huyo akisema Watu wanafuata. Na hawapo tayari Kumtia Aibu.
Niliona hata Kwa Jacob Zuma Kule Afrika Kûsini.

Fuatilieni Jambo Hilo. Jengeni unity. Na dalili ya Unity ni Kufuata oda ya Mwenyekiti wenu.

Jioni njema
Mbona huzungumzii nguvu kubwa ya Polisi kuzima maandamano?
 
Watanzania watu w amani lkn ukiwasikia mitandaoni utadanganyika lkn siku ya kuandamana wenyewe wamenunua airtime usiku w wakuamkia maandamano wamenyuti home wanafatilia mpambano na washaandaa maneno ya kuwalaani polisi kwa unyama wao. Wengine wao mashabiki wa Israel ukiwasikia wanavyowapamba taifa teule lkn kule Israel wakatoa offers wanaitaji vijana na watepewa haki ya ukaazi ktk taifa teule lenye mibaraka kibao.lkn atuoni ao vijana wakichangamkia iyo fursa wamenyuti kimya kama akuna offers lkn kwenyekushabikia haaaaa wapo moto moto. Utasema wapo Israel adi rahaaa yani.

Unadhani Hali ni hivyo Hata kama mhamadishaji mkuu angekuwa TAL?

Huko mbona kisingepoa kutokea Tanga?

Tutambuane: Wenye ujasiri au sababu za kuikabili CCM

Ukweli mchungu huwezi kuwa rafiki wa mungu na shetani wakati mmoja!
 
Kwani wapi nguvu huwa ndogo? Mbona kwingine hayazimiki?
Umewahi kusikia Kenya wakizuia maandamano ki hivyo na kukusanya Polisi kutoka mikoa mingine kuja kuzuia maandamano?
 
Muhimu zaidi message was sent and delivered

Mkuu kwani unadhani oppressors message hawazijui?

Kwamba kama ni messages kumbe hamna haja kabisa hata ya kutaka Maandamano?

Au faida ya Maandamano huijui?

Au wamasai hukuwasikia au hata kuona?
 
Umewahi kusikia Kenya wakizuia maandamano ki hivyo na kukusanya Polisi kutoka mikoa mingine kuja kuzuia maandamano?

Hujawahi kusikia Maandamano yakizuiwa Kenya?

Unadhani waandamanaji walipoifikisha serikali ya Kenya waliyapata kutokea mbinguni?

Au hujui kuwa vinavyoelewa viliundwa?
 
Hujawahi kusikia Maandamano yakizuiwa Kenya?

Unadhani waandamanaji walipoifikisha serikali ya Kenya waliyapata kutokea mbinguni?

Au hujui kuwa vinavyoelewa viliundwa?
Hapo ndipo mnapokosea, Kenya huwa hawazuii maandamano, wanazuia fujo wakati wa maandamano. Wakati maandamano kuna watu wanafanya looting au wizi na uharibifu mwingine kama walivyofanya juzi kuvamia jengo la bunge na kuharibu. Hapo ndipo Polisi wa Kenya hupambana na waandamanaji. Hapa kwetu hata kabla mtu hajaandamana akiwa kwenye ndege au nyumbani au anaongea na waandishi wa habari anakamatwa! Ni upuuzi mtupu!
 
Hakika ni Aibu kubwa. Hii aibu naifananiaha na ya mwalimu wetu mkuu alikosa kura hata moja, staff walipiga kura za maoni kwenye kesi fulani ya nani asamehewe, au nani hahusiki. Ni Aibu kubwa na aliacha ualimu. Bora hiyo cha kitoto.

Mbowe wamemuaibisha sana
Alishajiaibisha long time sana (2015)
 
Hapo ndipo mnapokosea, Kenya huwa hawazuii maandamano, wanazuia fujo wakati wa maandamano. Wakati maandamano kuna watu wanafanya looting au wizi na uharibifu mwingine kama walivyofanya juzi kuvamia jengo la bunge na kuharibu. Hapo ndipo Polisi wa Kenya hupambana na waandamanaji. Hapa kwetu hata kabla mtu hajaandamana akiwa kwenye ndege au nyumbani au anaongea na waandishi wa habari anakamatwa! Ni upuuzi mtupu!

Unaanza kuiangalia Kenya kuanzia wapi ndugu?

Kenya ilikuwa ya chama kimoja kama sisi. Imepita kwenye katiba mbovu kama sisi.

Kenya imejikwamua kutoka huko si kwa woga au dhana kama zako.

Ukionacho Kenya hawakupewa, Bali kimepiganiwa.

Nasi hatutapewa bila kuvipigania!
 
Unaanza kuiangalia Kenya kuanzia wapi ndugu?

Kenya ilikuwa ya chama kimoja kama sisi. Imepita kwenye katiba mbovu kama sisi.

Kenya imejikwamua kutoka huko si kwa woga au dhana kama zako.

Ukionacho Kenya hawakupewa, Bali kimepiganiwa.

Nasi hatutapewa bila kuvipigania!
Sasa wewe unapigania nini hapa au pengine hujui unapaswa kusimamia nini manake unaonekana kulaumu Chadema kwa kushindwa kuandamana lakini hata hivyo unafikiri Polisi wa Tanzania wanafanya sawa kuzuia maandamano ya amani.
 
Huo ukweli nani amesema kama ni ukweli? naona ni opinion za Robert tu.

Hamuwezi kuwakosoa wana CDM kwa kutokufanya maandamano ambayo polisi wameyakataa kimaandishi, na bado haitoshi wametanda mji mzima na silaha nzito za kivita kama tupo gaza, tena days before and few days after. Mlitaka watu wafanye nini? So far mambo ni mabaya, kuwamock CDM hakusaidii kitu. Sisi wengine ni nchi kwanza na CDM wanatusaidia sana kuachive “nchi kwanza”

Haya mabandiko ya sasa ya kina Robert na nduguze juu ya maonyo, ushauri na blah blah zingine lengo lake ni mockery. Nani mwenye akili timamu asiyejua hizi ni dhihaka?
Mkuu positive criticism kama aliyoyafanya Mtiberi japo imeegemea upande ni nzuri.

Hata upinzani unapaswa kuambiwa ukweli kama ilivyo kwa chama tawala.

Kila mmoja anapokosea aambiwe kakosea hali kadhalika anapofanya vizuri apongezwe bila ushabiki.
 
Sasa wewe unapigania nini hapa au pengine hujui unapaswa kusimamia nini manake unaonekana kulaumu Chadema kwa kushindwa kuandamana lakini hata hivyo unafikiri Polisi wa Tanzania wanafanya sawa kuzuia maandamano ya amani.

Hakuna popote ninapolaumu lolote, ila ninasimamia hapa:

Tutambuane: Wenye ujasiri au sababu za kuikabili CCM

Wewe au wa aina yako hamuhitajiki kwenye maandamano popote.

Nikulaumu wewe au nani wa nini sasa?

Tukishatambuana wenye ujasiri tutakiwasha kwa wakati wetu bila ya kumlaumu asiyekuwa muumini kama sisi.

Wanalaumiwa vipi Simba au yanga au wasiohusika kwenye shughuli hii ndugu?
 
Back
Top Bottom