Maandamano hayahitaji mtu uwe jasiri ni hapa Tanzania watawala wanataka iwe hivyo kwasababu hawapendi watu wakosoe madhaifu yao na wanapenda kushinda uchaguzi kwa hila. Watu hawa huchukia na pia kuogopa sana maandamano.Hakuna popote ninapolaumu lolotr, ila ninasimamia hapa:
Tutambuane: Wenye ujasiri au sababu za kuikabili CCM
Wewe sikutegemei kwenye maandamano popote.
Nikulaumu wa nini sasa?
Tukishatambuana wenye ujasiri tutakiwasha kwa wakati wetu bila ya kumlaumu asiyekuwa muumini kama sisi.
Wanalaumiwa vipi Simba au yanga au wasiohusika kwenye shughuli hii ndugu?
Mimi nadhani haya maandamano yanakosa uungwaji mkono wa wananchi kwa kuwa yamekaa kichama zaidi. Nikweli agenda zinahusu kile kinachoitwa maisha magumu,unyanyasaji na ukiukwaji wa haki ambapo kila raia anguswa kwa namna fulani.Tatizo nipale ambapo waandaaji wa maandamano wanaweka haya mambo kwa namna ambayo kila atakayeshiriki atakuwa anaunga mkono chama husika wakati ukweli nikwamba Kuna watu wengi hawana vyama au wanatoka vyama mbalimbali ambao nao wanaguswa na hayo mambo.Vyovyote walivyokuwa wamepanga lakini lazima wangetakiwa Kulinda heshima ya Mwenyekiti Mbowe na heshima ya Chama
Embu Fikiria maandamano ya Chama kikubwa chenye Watu Milioni Sita ati waliojitokeza hawafiki elfu Moja, waliokamatwa hafiki hata Mia. Huo siô utani?
Maandamano hayahitaji mtu uwe jasiri ni hapa Tanzania watawala wanataka iwe hivyo kwasababu hawapendi watu wakosoe madhaifu yao na wanapenda kushinda uchaguzi kwa hila. Watu hawa huchukia na pia kuogopa sana maandamano.
Mimi nadhani haya maandamano yanakosa uungwaji mkono wa wananchi kwa kuwa yamekaa kichama zaidi. Nikweli agenda zinahusu kile kinachoitwa maisha magumu,unyanyasaji na ukiukwaji wa haki ambapo kila raia anguswa kwa namna fulani.Tatizo nipale ambapo waandaaji wa maandamano wanaweka haya mambo kwa namna ambayo kila atakayeshiriki atakuwa anaunga mkono chama husika wakati ukweli nikwamba Kuna watu wengi hawana vyama au wanatoka vyama mbalimbali ambao nao wanaguswa na hayo mambo.
Katiba mbovu ndio chanzo kikubwa cha mambo haya lakini pia uwepo wa CCM madarakani. Ujinga wa watanzania ni jambo kubwa hasa wale ambao bado wanaishabikia CCM.Kwa hIyo hao watawala lini watapenda watu wakosoe madhaifu yao au wasishinde kwa hila?
Au lini wataacha kuchukia maandamano?
Kwa mawazo kama yako hakika wamasai wote leo wangekuwa msomera!
Hoja yangu nikwamba, yangekuwa na taswira ya kitaifa kwa kuwafanya watu wote waamini hilo jambo linawahusu bila kujalisha itikadi zao za kisiasa. Kwa namna hiyo isingesubiriwa wanachama sijui milioni6 wajitokeze badala yake raia wangeunga mkono kwa kuamini kinachotetewa kinawahusu wao moja kwa moja.Kama yamekaa kichama na kuwa wanachama hawakutokea, labda kama unataka kusema na wanachama nao hamna?
Katiba mbovu ndio chanzo kikubwa cha mambo haya lakini pia uwepo wa CCM madarakani. Ujinga wa watanzania ni jambo kubwa hasa wale ambao bado wanaishabikia CCM.
Kinachonishangaza kuliko vyote ni wewe hata baada ya kujua hayo yote bado unaishabikia CCM!Kumbe katiba mbovu itaondoka yenyewe?
Kwa mawazo ya kinyonge kama yako kumbe CCM Kwa mkwara tu, itatawala miaka 100 mingine.
Hoja yangu nikwamba, yangekuwa na taswira ya kitaifa kwa kuwafanya watu wote waamini hilo jambo linawahusu bila kujalisha itikadi zao za kisiasa. Kwa namna hiyo isingesubiriwa wanachama sijui milioni6 wajitokeze badala yake raia wangeunga mkono kwa kuamini kinachotetewa kinawahusu wao moja kwa moja.
Kinachonishangaza kuliko vyote ni wewe hata baada ya kujua hayo yote bado unaishabikia CCM!
Mbona huzungumzii nguvu kubwa ya Polisi kuzima maandamano?
Nchi ni ya wananchi, na si ya wanasiasa pekee. Wananchi kwa ujumla ndio wajenga nchi. Wasipotaka kuijenga nchi yao, wakiwategemea wanasiasa(wachache) waijenge, haitowezekana kamwe.
..Wamaasai hawakutoa taarifa kwa Polisi kuwa wataandamana na Polisi wakawa wamejizatiti eneo la tukio wakiwasubiri wawauwe.
..Maandamano au mgomo hufanikiwa au kufeli kwa kuzingatia upande upi utamuwahi mwenzake kufika eneo la tukio.
..Wamaasai walifika eneo la tukio kabla ya Polisi,matokeo yake Polisi wakasalimu amri.
..Chadema siku ya kumpokea Lissu walifika uwanja wa ndege kwa wingi kabla Polisi hawaja-secure eneo hilo.
..Matokeo yake Polisi wakasalimu amri , na mapokezi ya Lissu yakafunga barabara kwa maandamano toka uwanja wa ndege mpaka Kinondoni Ufipa.
..Kilichotokea ni ELIMU tosha kwa Chadema, vyama vya upinzani, na wanaharakati, kuhusu namna bora ya kuandaa maandamano.
..Bila ELEMENT OF SURPRISE dhidi ya vyombo vya dola hakuna maandamano ya kushinikiza serikali yatafanikiwa.
Manake walipaswa kupambana na Polisi?Walitumia nguvu kubwa ndio lakini CHADEMA walipaswa kulinda heshima ya Mbowe na chama chao
Manake walipaswa kupambana na Polisi?
Tunapaswa kuilaumu Polisi na serkali kwa kuzuia maandamano ya amani kinyume na katiba na sio kuwalaumu CHADEMA kwa kushindwa kuandamana baada ya kuzuiliwa na Polisi.Wangejitokeza alafu ingefahamika.
Mbona Mbowe alijitokeza. Hiyo ndio hoja
Hoja zako kama hii inaonesha kushabikia udhalimu wa CCM na serkali yake unapaswa kukemea uvunjifu wa katiba na sio kuwalaumu wahanga wa katiba mbovu.Wapi ulipoona nimeishabikia CCM?
Tutambuane: Wenye ujasiri au sababu za kuikabili CCM
Au hata kusoma nako shida?