Kiukweli wazungu ni wabaguzi Sana!, Sio tuu wanawabagua wanawake, bali hata Afrika, Sijui Wanatuona Kama Manyani?

Kiukweli wazungu ni wabaguzi Sana!, Sio tuu wanawabagua wanawake, bali hata Afrika, Sijui Wanatuona Kama Manyani?

Pascal Mayalla

Platinum Member
Joined
Sep 22, 2008
Posts
53,857
Reaction score
121,995
Wanabodi

Wakati naendelea ku recover shock ya Wamarekani kuamua kumchagua tena yule Trump, kuliko kuchagua Rais mwanamke, kitu ambacho ni ubaguzi wa wazi kwa jinsia ya kike, kitu ambacho ni ujinga, hivyo nimeshauri 2025, Watanzania tuwaonyeshe tuna akili zaidi yao kwa kuchagua rais mwanamke, Inawezekana Wamarekani ni wajinga ajabu? Wamemchagua mwanaume na kumtosa Mwanamke. 2025 Watanzania tuchague mwanamke kuonesha tuna akili zaidi yao?

Leo nimekwaa pipa fulani la wazungu, kwenda kumpa pole Kamala, huko kwenye hilo pipa, nikakutana na ubaguzi wa ajabu kuhusu sisi Waafrika na hata watu weusi kwa ujumla.

Naomba kwa heshima ya kutochafua brands za watu, sitalitaja jina la hilo pipa ila nitautaja ubaguzi niliokutana nao ndani ya pipa hilo kuhusu Afrika na kuhusu watu weusi.

Ubaguzi wa kwanza ni kukinyanyapaa lugha yetu adhimu ya Kiswahili.

Japo lugha ya Kiswahili ni miongoni mwa lugha 10 za dunia, kwenye inflight entertainments za pipa hilo kuna options ya translations ya lugha 16 za mataifa mbalimbali, kitu cha ajabu, Kiswahili hakipo!.

Tukija kwenye contents za video na miziki, there is almost nothing kuhusu miziki ya Afrika!.

Nime search kati ya maelfu ya nyimbo na albums, nimekuta wimbo mmoja tuu wa Afrika ule wa Jerusalem, hakuna muziki wala video zozote kuhusu Afrika.

Ikumbukwe, bara la Africa limemasikinishwa kwa kunyonywa rasilimali za bara hili ndio zimeneemesha ulaya na Amerika, lakini hakuna chochote kuhusu Afrika, sijui hawa jamaa wanatuona sisi ni kama manyani?!.

Kuna kama nyimbo zisizozidi 10 za wasanii weusi akiwemo Brandy, Burna Boy na Tracy Chapmam, nilipo seach jina la Michael Jackson, hakuna!, nikashangaa.

Kuna miziki ya genre mbalimbali za kizungu, pop, jazz, R&B, soul, classics , na genre za mataifa mbalimbali kama Indian, Arabic, Latino, etc, but its a shame hakuna Afro yoyote, wakati hata Marekani Blacks ndio wanatawala muziki.

Nchi ya Uswisi ina sera ya local contents, ukikwea pipa la Swiss Air from Tanzania, kwanza unakaribishwa kwa lugha ya Kiswahi, japo ni recording ya Wakenya na Kiswahili chao kibovu, but at least.

Kwenye inflight entertainments kuna video za Serengeti, na kuna nyimbo za Kiswahili ukiwemo Malaika, Hapo Zamani, Hakuna Matata na vimbo wa Sambolero My Son wa Khadija Nin wa Burundi, but there is something about Africa, lakini hili pipa la mabeberu fulani, its nil kuhusu Africa!, sijui wanatuonaje.
Its not fare!.

China wana sera, ukitaka kufanya chochote nchini China, lazima uweke translation ya lugha ya Kichina.

TCAA wanaweza kuweka shurti kwa ndege zote za kimataifa zinazotua Tanzania, lazima ziwe na local contents na Swahili translation,ili angalau hata watalii waone ile Royal Tour ya Chief Hangaya, wakirudi kwao, wakahadithie!.

Paskali
 
hii post ni blunder tu
kila kitu nyie ni ubaguzi ubaguzi marekan madaktari karib wote black, musician, black, nba players black football players black

kwa iyo kisa kamala ni mwanamke tu alipwaswa kua rais na Trump kisa ni mzungu mwanaume hakupaswa kua raisi
 
Wanabodi
Wakati naendelea ku recover shock ya Wamarekani kuamua kumchagua tena yule kichaa wao, kuliko kuchagua rais mwanamke, kitu ambacho ni ubaguzi wa wazi kwa jinsia ya kike, kitu ambacho ni ujinga, hivyo nimeshauri 2025, Watanzania tuwaonyeshe tuna akili zaidi yao kwa kuchagua rais mwanamke, leo nimekwaa pipa fulani la wazungu, kwenda kumpa pole Kamala, huko kwenye hilo pipa, nikakutana na ubaguzi wa ajabu kuhusu sisi Waafrika na hata watu weusi kwa ujumla.

Naomba kwa heshima ya kutochafua brands za watu, sitalitaja jina la hilo pipa ila nitautaja ubaguzi niliokutana nao ndani ya pipa hilo kuhusu Afrika na kuhusu watu weusi.

Ubaguzi wa kwanza ni kukinyanyapaa lugha yetu adhimu ya Kiswahili.

Japo lugha ya Kiswahili ni miongoni mwa lugha 10 za dunia, kwenye inflight entertainments za pipa hilo kuna options ya translations ya lugha 16 za mataifa mbalimbali, kitu cha ajabu, Kiswahili hakipo!.

Tukija kwenye contents za video na miziki, there is almost nothing kuhusu miziki ya Afrika!.

Nime search kati ya maelfu ya nyimbo na albums, nimekuta wimbo mmoja tuu wa Afrika ule wa Jerusalem, hakuna muziki wala video zozote kuhusu Afrika.

Ikumbukwe, bara la Africa limemasikinishwa kwa kunyonywa rasilimali za bara hili ndio zimeneemesha ulaya na Amerika, lakini hakuna chochote kuhusu Afrika, sijui hawa jamaa wanatuona sisi ni kama manyani?!.

Kuna kama nyimbo zisizozidi 10 za wasanii weusi akiwemo Brandy, Burna Boy na Tracy Chapmam, nilipo seach jina la Michael Jackson, hakuna!, nikashangaa.

Kuna miziki ya genre mbalimbali za kizungu, pop, jazz, R&B, soul, classics , na genre za mataifa mbalimbali kama Indian, Arabic, Latino, etc, but its a shame hakuna Afro yoyote, wakati hata Marekani Blacks ndio wanatawala muziki.

Nchi ya Uswisi ina sera ya local contents, ukikwea pipa la Swiss Air from Tanzania, kwanza unakaribishwa kwa lugha ya Kiswahi, japo ni recording ya Wakenya na Kiswahili chao kibovu, but at least. Kwenye inflight entertainments kuna video za Serengeti, na kuna nyimbo za Kiswahili ukiwemo Malaika, Hapo Zamani, Hakuna Matata na vimbo wa Sambolero My Son wa Khadija Nin wa Burundi, but there is something about Africa, lakini hili pipa la mabeberu fulani, its nil kuhusu Africa!, sijui wanatuonaje.
Its not fare!.

China wana sera, ukitaka kufanya chochote nchini China, lazima uweke translation ya lugha ya Kichina.

TCAA wanaweza kuweka shurti kwa ndege zote za kimataifa zinazotua Tanzania, lazima ziwe na local contents na Swahili translation,ili angalau hata watalii waone ile Royal Tour ya Chief Hangaya。

Paskali
Yaani mimi nakubali tulichonyonywa afrika ni rasirimali watu kufanya kazi kwenye mashamba ya wakoloni....lakini rasirimali kama madini, mafuta nk teknolojia ya kuyavuna kwa wingi haikuwekpo miaka ile 400 ya ukoloni...mfano hapa kwetu rasirimali tumeanza kuwagawia wenyewe kwa nguvu alipong'atuka baba wa taifa....lazima watuone manyani tu kwa akili hizi...yaani angalia uandikishaji wa uchaguzi serikali za mitaa, utakataa kweli sisi si nyani?
 
Wanabodi

Wakati naendelea ku recover shock ya Wamarekani kuamua kumchagua tena yule Trump, kuliko kuchagua Rais mwanamke, kitu ambacho ni ubaguzi wa wazi kwa jinsia ya kike, kitu ambacho ni ujinga, hivyo nimeshauri 2025, Watanzania tuwaonyeshe tuna akili zaidi yao kwa kuchagua rais mwanamke, leo nimekwaa pipa fulani la wazungu, kwenda kumpa pole Kamala, huko kwenye hilo pipa, nikakutana na ubaguzi wa ajabu kuhusu sisi Waafrika na hata watu weusi kwa ujumla.

Naomba kwa heshima ya kutochafua brands za watu, sitalitaja jina la hilo pipa ila nitautaja ubaguzi niliokutana nao ndani ya pipa hilo kuhusu Afrika na kuhusu watu weusi.

Ubaguzi wa kwanza ni kukinyanyapaa lugha yetu adhimu ya Kiswahili.

Japo lugha ya Kiswahili ni miongoni mwa lugha 10 za dunia, kwenye inflight entertainments za pipa hilo kuna options ya translations ya lugha 16 za mataifa mbalimbali, kitu cha ajabu, Kiswahili hakipo!.

Tukija kwenye contents za video na miziki, there is almost nothing kuhusu miziki ya Afrika!.

Nime search kati ya maelfu ya nyimbo na albums, nimekuta wimbo mmoja tuu wa Afrika ule wa Jerusalem, hakuna muziki wala video zozote kuhusu Afrika.

Ikumbukwe, bara la Africa limemasikinishwa kwa kunyonywa rasilimali za bara hili ndio zimeneemesha ulaya na Amerika, lakini hakuna chochote kuhusu Afrika, sijui hawa jamaa wanatuona sisi ni kama manyani?!.

Kuna kama nyimbo zisizozidi 10 za wasanii weusi akiwemo Brandy, Burna Boy na Tracy Chapmam, nilipo seach jina la Michael Jackson, hakuna!, nikashangaa.

Kuna miziki ya genre mbalimbali za kizungu, pop, jazz, R&B, soul, classics , na genre za mataifa mbalimbali kama Indian, Arabic, Latino, etc, but its a shame hakuna Afro yoyote, wakati hata Marekani Blacks ndio wanatawala muziki.

Nchi ya Uswisi ina sera ya local contents, ukikwea pipa la Swiss Air from Tanzania, kwanza unakaribishwa kwa lugha ya Kiswahi, japo ni recording ya Wakenya na Kiswahili chao kibovu, but at least.

Kwenye inflight entertainments kuna video za Serengeti, na kuna nyimbo za Kiswahili ukiwemo Malaika, Hapo Zamani, Hakuna Matata na vimbo wa Sambolero My Son wa Khadija Nin wa Burundi, but there is something about Africa, lakini hili pipa la mabeberu fulani, its nil kuhusu Africa!, sijui wanatuonaje.
Its not fare!.

China wana sera, ukitaka kufanya chochote nchini China, lazima uweke translation ya lugha ya Kichina.

TCAA wanaweza kuweka shurti kwa ndege zote za kimataifa zinazotua Tanzania, lazima ziwe na local contents na Swahili translation,ili angalau hata watalii waone ile Royal Tour ya Chief Hangaya。

Paskali
Sikutegemea kuwa utapost kitu cha low IQ kiasi hiki. Maan fanya research ujue mambo ya nje yanakwendaje kabla ya kushusha lawama
 
Hoja ni kuwa kwanini tunawategemea wazungu / weupe
Tunaweza
Kujenga viwanda (under PP Serikali ikatoa 50% mwekezaji tena mzawa akatoa 50%)
Kilimo: tunaweza kulisha Africa kwenye serious project sio project kama BBT, kujenga kiwanda kikubwa Africa cha mbolea, nguo, plastic nk
Angalia pesa tunazopeleka china na Dubai
Tunaweza kujenga Miji wa kisasa Dar es salaam ni takataka mawe tunayo, cement tunayo engineers tunao shida nini

Wazungu wanatubagua ki halali

Tunahitaji Kiongozi mwenye wivu na nchi yake
 
Unatofauti gani na nyani kama umepewa rasilimali zote na bado unaenda kuomba kwao misaada wao hawana madini, mbunga, tanzanite, gas, ardhi kubwa ya umwagiliaji misitu n.k? nyani anashida porini ana mikono na nguvu lakini ameshindwa hata kutengeneza nyumba ya miti ya kuishi yeye mwenyewe sababu hana akili na sisi hatuna akili na bahati mbaya tumekubali kuongozwa na wajinga zaidi yetu.
 
Hoja ni kuwa kwanini tunawategemea wazungu / weupe
Tunaweza
Kujenga viwanda (under PP Serikali ikatoa 50% mwekezaji tena mzawa akatoa 50%)
Kilimo: tunaweza kulisha Africa kwenye serious project sio project kama BBT, kujenga kiwanda kikubwa Africa cha mbolea, nguo, plastic nk
Angalia pesa tunazopeleka china na Dubai
Tunaweza kujenga Miji wa kisasa Dar es salaam ni takataka mawe tunayo, cement tunayo engineers tunao shida nini

Wazungu wanatubagua ki halali

Tunahitaji Kiongozi mwenye wivu na nchi yake
Mkoa wa Morogoro pekee unaweza kulisha Africa nzima lakini ajabu wao wenyewe hawezi hata kujilisha ndani ya mkoa ni njaa tupu.
 
Kuhusu kumchagua mwanamke ili tuwaonyeshe mkuu umechemka anachaguliwa anayeweza si Kwa kuwa ni mwanamke au mwanaume....
Pili umeongelea Lugha...hiyo ni Choice Yao ikiwa Watataka kuongea Lugha yetu au la.....Tatu muziki...hiyo ni chaguo lao kama wanaukubali au la....
Nne Ubaguzi.....Kwa kiasi kikubwa sana Wazungu wanatuona watu weusi ni grade ya chini sana ya binadamu kama sio sawa na Masokwe.....ukitaka kulijuwa hili si Kwa kuishi na Wazungu hapo Tanzania Bali kaishi nao kwao huko ndiyo utakapowajuwa vizuri.....Hilo hatuwezi kulitatua mpaka mwisho wa Dunia hii....ninapoishi Mimi saa nyingine naingia baa Kuna watu zaidi ya 300 na Mtu mweusi peke yangu......kwahiyo ninajuwa ninachoongea......
 
hii post ni blunder tu
kila kitu nyie ni ubaguzi ubaguzi marekan madaktari karib wote black, musician, black, nba players black football players black

kwa iyo kisa kamala ni mwanamke tu alipwaswa kua rais na Trump kisa ni mzungu mwanaume hakupaswa kua raisi
Kwanini na sisi tusiwe matajiri sababu tuna kila kitu na wao tukawabagua? ni sababu tunaongozwa na wajinga zaidi yetu.
 
Kuhusu kumchagua mwanamke ili tuwaonyeshe mkuu umechemka anachaguliwa anayeweza si Kwa kuwa ni mwanamke au mwanaume....
Pili umeongelea Lugha...hiyo ni Choice Yao ikiwa Watataka kuongea Lugha yetu au la.....Tatu muziki...hiyo ni chaguo lao kama wanaukubali au la....
Nne Ubaguzi.....Kwa kiasi kikubwa sana Wazungu wanatuona watu weusi ni grade ya chini sana ya binadamu kama sio sawa na Masokwe.....ukitaka kulikuwa hili si Kwa kuishi na Wazungu hapo Tanzania Bali kaishi nao kwao huko ndiyo utakapowajuwa vizuri.....Hilo hatuwezi kulitatua mpaka mwisho wa Dunia hii....ninapoishi Mimi saa nyingine naingia baa Kuna watu zaidi ya 300 na Mtu mweusi peke yangu......kwahiyo ninajiwa ninachoongea......
wenzetu wanachagua mtu ambaye atasimamia rasilimali za nchi na siyo chawa
 
Back
Top Bottom