johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Wewe umetekwa lini? 🤣Sababu ya kukosa akili, tuna mali zote lakini tumeshindwa kuzitumia matokeo yake tunauana wenyewe kwa wenyewe tofauti yetu na nyani ni nini? tena bora ya nyani wanapendana na kulindana sisi ni wajinga zaidi ya nyani kutwa tunatekana na kuuana
Sikujua paskal ana mawazo ya kijinga hivi njaa mbaya sanaPachal ni RC mbona hakuna Padre mwanamke na halalamiki? Paschal umeishi Ulaya lakini huna tofauti na mtu alikulia Runzewe hata kidogo
Siyo kweli Paskali. Ni mchanganyiko wa mambo mengi, yakiwemo na misimamo ya vyama viwili kuhusu abortion (pro-life vs non-pro-life), na watu wa jinsia moja, nk. Kuhusu ubaguzi, hata sisi wenyewe tunabaguana na tunawabagua wazungu pia. Kuna siku waandishi wa habari walimuuliza Papa Francis kwamba angetaka Wakatoliki wamchague nani, kati ya hao wagombea wawili. Yeye akasema wataamua wenyewe nani mwenye sera za kulinda uhai wa watu na mwingine ambaye uhai si kitu. Akasema wataona kati ya hao wagombea wawili "lesser evil" ni nani. Kuna siku moja nilipanda daladala, wazungu wawili, mtu na mkewe au na rafiki yake wa kike, walipanda hilo gari pia. Nauli ilikuwa kwa wakati huo Sh200 kwa route. Lakini konda alipofika kwa wazungu akawaambia elfu 10 kila mmoja na baadhi ya abiria waliguna, na konda akadai wasiingilie biashara yake, maana yuko kazini. Niliona aibu sana as if mimi ndiye niliyewaambia hiyo nauli, maana nimeshakuwa Ulaya pia, na sikuwahi kuambiwa nauli ya juu kwa vile tu ni Mwafrika. Baadaye nilifika kituoni, nikashuka. Sikujua kama walilipa au la, maana walimwambia kwa Kiswahili kwamba nauli wanayoijua ni Sh200 na si Sh10,000. Kwa hiyo, kuna madudu mengi pia tunayoyafanya, ikiwa ni pamoja na kuwabagua wanawake. Badala ya kusema wazungu, labda ungesema binadamu tuna tabia ya kubaguana, na ubaguzi mwingi nadhani uko kwetu, hasa tunawaona watu wenye mamlaka na fedha tofauti na wasio na mamlaka na fedha, na mara nyingi tunajikomba kwa hao wenye mamlaka na fedha dhidi ya wasio na mamlaka na fedha. Sisi pengine ni wabaya zaidi kuliko wazungu. Kaunda kwenye falsafa yake ya 'African humanism' anasema 'an African can easily live with contradictions - he/she can smile where he/she is grieving; he can say 'no' where he/she means 'yes'. Mwafrika anaweza kukuahidi "njoo kesho asubuhi" wakati anajua muda huo hatakuwepo au kama ukimwomba msaada anakupa matumaini, lakini siku aliyokuahidi umwone ukienda anaanza kukupa hadithi za kulipa ada za shule watoto na kwamba ametoka msibani muda si mrefu na hajui kama ana akiba yoyote.Wanabodi
Wakati naendelea ku recover shock ya Wamarekani kuamua kumchagua tena yule Trump, kuliko kuchagua Rais mwanamke, kitu ambacho ni ubaguzi wa wazi kwa jinsia ya kike, kitu ambacho ni ujinga, hivyo nimeshauri 2025, Watanzania tuwaonyeshe tuna akili zaidi yao kwa kuchagua rais mwanamke, leo nimekwaa pipa fulani la wazungu, kwenda kumpa pole Kamala, huko kwenye hilo pipa, nikakutana na ubaguzi wa ajabu kuhusu sisi Waafrika na hata watu weusi kwa ujumla.
Naomba kwa heshima ya kutochafua brands za watu, sitalitaja jina la hilo pipa ila nitautaja ubaguzi niliokutana nao ndani ya pipa hilo kuhusu Afrika na kuhusu watu weusi.
Ubaguzi wa kwanza ni kukinyanyapaa lugha yetu adhimu ya Kiswahili.
Japo lugha ya Kiswahili ni miongoni mwa lugha 10 za dunia, kwenye inflight entertainments za pipa hilo kuna options ya translations ya lugha 16 za mataifa mbalimbali, kitu cha ajabu, Kiswahili hakipo!.
Tukija kwenye contents za video na miziki, there is almost nothing kuhusu miziki ya Afrika!.
Nime search kati ya maelfu ya nyimbo na albums, nimekuta wimbo mmoja tuu wa Afrika ule wa Jerusalem, hakuna muziki wala video zozote kuhusu Afrika.
Ikumbukwe, bara la Africa limemasikinishwa kwa kunyonywa rasilimali za bara hili ndio zimeneemesha ulaya na Amerika, lakini hakuna chochote kuhusu Afrika, sijui hawa jamaa wanatuona sisi ni kama manyani?!.
Kuna kama nyimbo zisizozidi 10 za wasanii weusi akiwemo Brandy, Burna Boy na Tracy Chapmam, nilipo seach jina la Michael Jackson, hakuna!, nikashangaa.
Kuna miziki ya genre mbalimbali za kizungu, pop, jazz, R&B, soul, classics , na genre za mataifa mbalimbali kama Indian, Arabic, Latino, etc, but its a shame hakuna Afro yoyote, wakati hata Marekani Blacks ndio wanatawala muziki.
Nchi ya Uswisi ina sera ya local contents, ukikwea pipa la Swiss Air from Tanzania, kwanza unakaribishwa kwa lugha ya Kiswahi, japo ni recording ya Wakenya na Kiswahili chao kibovu, but at least.
Kwenye inflight entertainments kuna video za Serengeti, na kuna nyimbo za Kiswahili ukiwemo Malaika, Hapo Zamani, Hakuna Matata na vimbo wa Sambolero My Son wa Khadija Nin wa Burundi, but there is something about Africa, lakini hili pipa la mabeberu fulani, its nil kuhusu Africa!, sijui wanatuonaje.
Its not fare!.
China wana sera, ukitaka kufanya chochote nchini China, lazima uweke translation ya lugha ya Kichina.
TCAA wanaweza kuweka shurti kwa ndege zote za kimataifa zinazotua Tanzania, lazima ziwe na local contents na Swahili translation,ili angalau hata watalii waone ile Royal Tour ya Chief Hangaya。
Paskali
Kuhusu wanawake, wazungu ngoja tusome kwa Pascal Mayalla mwenyew alikuwa akiwa wazungumziaje?Paschal njaa inamtesa sn
Hatunaga misimamo tunaendeshea na njaa cc Mayala.Wanabodi
Wakati naendelea ku recover shock ya Wamarekani kuamua kumchagua tena yule Trump, kuliko kuchagua Rais mwanamke, kitu ambacho ni ubaguzi wa wazi kwa jinsia ya kike, kitu ambacho ni ujinga, hivyo nimeshauri 2025, Watanzania tuwaonyeshe tuna akili zaidi yao kwa kuchagua rais mwanamke, leo nimekwaa pipa fulani la wazungu, kwenda kumpa pole Kamala, huko kwenye hilo pipa, nikakutana na ubaguzi wa ajabu kuhusu sisi Waafrika na hata watu weusi kwa ujumla.
Naomba kwa heshima ya kutochafua brands za watu, sitalitaja jina la hilo pipa ila nitautaja ubaguzi niliokutana nao ndani ya pipa hilo kuhusu Afrika na kuhusu watu weusi.
Ubaguzi wa kwanza ni kukinyanyapaa lugha yetu adhimu ya Kiswahili.
Japo lugha ya Kiswahili ni miongoni mwa lugha 10 za dunia, kwenye inflight entertainments za pipa hilo kuna options ya translations ya lugha 16 za mataifa mbalimbali, kitu cha ajabu, Kiswahili hakipo!.
Tukija kwenye contents za video na miziki, there is almost nothing kuhusu miziki ya Afrika!.
Nime search kati ya maelfu ya nyimbo na albums, nimekuta wimbo mmoja tuu wa Afrika ule wa Jerusalem, hakuna muziki wala video zozote kuhusu Afrika.
Ikumbukwe, bara la Africa limemasikinishwa kwa kunyonywa rasilimali za bara hili ndio zimeneemesha ulaya na Amerika, lakini hakuna chochote kuhusu Afrika, sijui hawa jamaa wanatuona sisi ni kama manyani?!.
Kuna kama nyimbo zisizozidi 10 za wasanii weusi akiwemo Brandy, Burna Boy na Tracy Chapmam, nilipo seach jina la Michael Jackson, hakuna!, nikashangaa.
Kuna miziki ya genre mbalimbali za kizungu, pop, jazz, R&B, soul, classics , na genre za mataifa mbalimbali kama Indian, Arabic, Latino, etc, but its a shame hakuna Afro yoyote, wakati hata Marekani Blacks ndio wanatawala muziki.
Nchi ya Uswisi ina sera ya local contents, ukikwea pipa la Swiss Air from Tanzania, kwanza unakaribishwa kwa lugha ya Kiswahi, japo ni recording ya Wakenya na Kiswahili chao kibovu, but at least.
Kwenye inflight entertainments kuna video za Serengeti, na kuna nyimbo za Kiswahili ukiwemo Malaika, Hapo Zamani, Hakuna Matata na vimbo wa Sambolero My Son wa Khadija Nin wa Burundi, but there is something about Africa, lakini hili pipa la mabeberu fulani, its nil kuhusu Africa!, sijui wanatuonaje.
Its not fare!.
China wana sera, ukitaka kufanya chochote nchini China, lazima uweke translation ya lugha ya Kichina.
TCAA wanaweza kuweka shurti kwa ndege zote za kimataifa zinazotua Tanzania, lazima ziwe na local contents na Swahili translation,ili angalau hata watalii waone ile Royal Tour ya Chief Hangaya。
Paskali
Hiki ndio ulochopaswa kuandika ila sio kulaumu wengine kwa udogo wako.TCAA wanaweza kuweka shurti kwa ndege zote za kimataifa zinazotua Tanzania, lazima ziwe na local contents na Swahili translation,ili angalau hata watalii waone ile Royal Tour ya Chief Hangaya。
UWT hamtekwi sijui kwanini?Wewe umetekwa lini? 🤣
Mayala = njaaSikujua paskal ana mawazo ya kijinga hivi njaa mbaya sana
Ni kweli kabisa, na mimi naona tuambiwe ukweli mpaka akili zikae sawaSwali yeye anaheshimu ombaomba? anataka wazungu watuheshimu kwa kushinda kwao kuomba misaada? jitegemee kama unataka kuheshimika umepewa rasilimali zote na Mungu lakini kwa kukosa akili unashida unaomba misaada kwao badala ya kujitegemea tofauti yako na nyani ni nini?
Sababu tunaongozwa na wajinga zaidiNi kweli kabisa, na mimi naona tuambiwe ukweli mpaka akili zikae sawa
Umasikini tulionao waafrika ni akili tu sio kingine
Huwezi kuwa na vitu vyote halafu hujui kuvitumia
Kuna nchi kama Thailand nimeona mito yao wanatumia kusafirisha matunda na mboga wanaita floating market upo Bangkok nimeenda na kushuhudia
Sisi wanakuambia usiisogelee maana mtaharibu
Hapo kama sio ng'ombe ni nani
Yaani unakatazwa ukiogopewa utaharibu wakati wengine wanafaidika navyo
Umasikini ni laana na itatutafuna haswa
Jina linasadifu yaliyomoMayala = njaa
Nakazia hapoSababu tunaongozwa na wajinga zaidi
Kutengeneza vya kwenu hamuwezi, kazi kulialia vya wenzenu waweke contents zenu,Wanabodi
Wakati naendelea ku recover shock ya Wamarekani kuamua kumchagua tena yule Trump, kuliko kuchagua Rais mwanamke, kitu ambacho ni ubaguzi wa wazi kwa jinsia ya kike, kitu ambacho ni ujinga, hivyo nimeshauri 2025, Watanzania tuwaonyeshe tuna akili zaidi yao kwa kuchagua rais mwanamke, leo nimekwaa pipa fulani la wazungu, kwenda kumpa pole Kamala, huko kwenye hilo pipa, nikakutana na ubaguzi wa ajabu kuhusu sisi Waafrika na hata watu weusi kwa ujumla.
Naomba kwa heshima ya kutochafua brands za watu, sitalitaja jina la hilo pipa ila nitautaja ubaguzi niliokutana nao ndani ya pipa hilo kuhusu Afrika na kuhusu watu weusi.
Ubaguzi wa kwanza ni kukinyanyapaa lugha yetu adhimu ya Kiswahili.
Japo lugha ya Kiswahili ni miongoni mwa lugha 10 za dunia, kwenye inflight entertainments za pipa hilo kuna options ya translations ya lugha 16 za mataifa mbalimbali, kitu cha ajabu, Kiswahili hakipo!.
Tukija kwenye contents za video na miziki, there is almost nothing kuhusu miziki ya Afrika!.
Nime search kati ya maelfu ya nyimbo na albums, nimekuta wimbo mmoja tuu wa Afrika ule wa Jerusalem, hakuna muziki wala video zozote kuhusu Afrika.
Ikumbukwe, bara la Africa limemasikinishwa kwa kunyonywa rasilimali za bara hili ndio zimeneemesha ulaya na Amerika, lakini hakuna chochote kuhusu Afrika, sijui hawa jamaa wanatuona sisi ni kama manyani?!.
Kuna kama nyimbo zisizozidi 10 za wasanii weusi akiwemo Brandy, Burna Boy na Tracy Chapmam, nilipo seach jina la Michael Jackson, hakuna!, nikashangaa.
Kuna miziki ya genre mbalimbali za kizungu, pop, jazz, R&B, soul, classics , na genre za mataifa mbalimbali kama Indian, Arabic, Latino, etc, but its a shame hakuna Afro yoyote, wakati hata Marekani Blacks ndio wanatawala muziki.
Nchi ya Uswisi ina sera ya local contents, ukikwea pipa la Swiss Air from Tanzania, kwanza unakaribishwa kwa lugha ya Kiswahi, japo ni recording ya Wakenya na Kiswahili chao kibovu, but at least.
Kwenye inflight entertainments kuna video za Serengeti, na kuna nyimbo za Kiswahili ukiwemo Malaika, Hapo Zamani, Hakuna Matata na vimbo wa Sambolero My Son wa Khadija Nin wa Burundi, but there is something about Africa, lakini hili pipa la mabeberu fulani, its nil kuhusu Africa!, sijui wanatuonaje.
Its not fare!.
China wana sera, ukitaka kufanya chochote nchini China, lazima uweke translation ya lugha ya Kichina.
TCAA wanaweza kuweka shurti kwa ndege zote za kimataifa zinazotua Tanzania, lazima ziwe na local contents na Swahili translation,ili angalau hata watalii waone ile Royal Tour ya Chief Hangaya。
Paskali
Basi usimalizie kusema , maana ukiendelea moyo wangu unauchomaMkoa wa Morogoro pekee unaweza kulisha Africa nzima lakini ajabu wao wenyewe hawezi hata kujilisha ndani ya mkoa ni njaa tupu.
Hao TCAA wapuuzi tu. Ni haohao vibaraka. Wanajua vizuri tu ila vibarakaWanabodi
Wakati naendelea ku recover shock ya Wamarekani kuamua kumchagua tena yule Trump, kuliko kuchagua Rais mwanamke, kitu ambacho ni ubaguzi wa wazi kwa jinsia ya kike, kitu ambacho ni ujinga, hivyo nimeshauri 2025, Watanzania tuwaonyeshe tuna akili zaidi yao kwa kuchagua rais mwanamke, leo nimekwaa pipa fulani la wazungu, kwenda kumpa pole Kamala, huko kwenye hilo pipa, nikakutana na ubaguzi wa ajabu kuhusu sisi Waafrika na hata watu weusi kwa ujumla.
Naomba kwa heshima ya kutochafua brands za watu, sitalitaja jina la hilo pipa ila nitautaja ubaguzi niliokutana nao ndani ya pipa hilo kuhusu Afrika na kuhusu watu weusi.
Ubaguzi wa kwanza ni kukinyanyapaa lugha yetu adhimu ya Kiswahili.
Japo lugha ya Kiswahili ni miongoni mwa lugha 10 za dunia, kwenye inflight entertainments za pipa hilo kuna options ya translations ya lugha 16 za mataifa mbalimbali, kitu cha ajabu, Kiswahili hakipo!.
Tukija kwenye contents za video na miziki, there is almost nothing kuhusu miziki ya Afrika!.
Nime search kati ya maelfu ya nyimbo na albums, nimekuta wimbo mmoja tuu wa Afrika ule wa Jerusalem, hakuna muziki wala video zozote kuhusu Afrika.
Ikumbukwe, bara la Africa limemasikinishwa kwa kunyonywa rasilimali za bara hili ndio zimeneemesha ulaya na Amerika, lakini hakuna chochote kuhusu Afrika, sijui hawa jamaa wanatuona sisi ni kama manyani?!.
Kuna kama nyimbo zisizozidi 10 za wasanii weusi akiwemo Brandy, Burna Boy na Tracy Chapmam, nilipo seach jina la Michael Jackson, hakuna!, nikashangaa.
Kuna miziki ya genre mbalimbali za kizungu, pop, jazz, R&B, soul, classics , na genre za mataifa mbalimbali kama Indian, Arabic, Latino, etc, but its a shame hakuna Afro yoyote, wakati hata Marekani Blacks ndio wanatawala muziki.
Nchi ya Uswisi ina sera ya local contents, ukikwea pipa la Swiss Air from Tanzania, kwanza unakaribishwa kwa lugha ya Kiswahi, japo ni recording ya Wakenya na Kiswahili chao kibovu, but at least.
Kwenye inflight entertainments kuna video za Serengeti, na kuna nyimbo za Kiswahili ukiwemo Malaika, Hapo Zamani, Hakuna Matata na vimbo wa Sambolero My Son wa Khadija Nin wa Burundi, but there is something about Africa, lakini hili pipa la mabeberu fulani, its nil kuhusu Africa!, sijui wanatuonaje.
Its not fare!.
China wana sera, ukitaka kufanya chochote nchini China, lazima uweke translation ya lugha ya Kichina.
TCAA wanaweza kuweka shurti kwa ndege zote za kimataifa zinazotua Tanzania, lazima ziwe na local contents na Swahili translation,ili angalau hata watalii waone ile Royal Tour ya Chief Hangaya。
Paskali