Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Ni mambo ya aibu sn na uhuni tupu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wizara ya Mambo ya Ndani inafanya kazi gani bwashehe au ndio mnawaza ulaji tu?Polisi Tanzania limekuwa jeshi ambalo linaweza kubambika kesi kwa yeyote wamtakae na lisihojiwe na chombo chochote.
Wameenda mbali wanaua mtu yeyote hasa wafanyabishara endapo wataona ana mali za kumpora,wanamuua na wanamtupa na kuchukua mali zake kwa jeuri kabisa wakijua kabisa kwamba hakuna chombo kingine kinachoweza kupepeleleza jinai zaidi yao.
Polisi Tanzania ni janga kuu,serikali unda chombo kipya kilisimamie jeshi la polisi,hawawezi tena kujisimamia ,wamegeuka laana kwa nchi
Serikali fanyeni haraka tuokoe wananchi dhidi ya wapumbavu hawa!!! Kama mishahara midogo waongezeni.
Hiyo mtasubiri sana watanzania mpaka tuwe na chombo cha kuwasimamia polisi.Polisi Tanzania limekuwa jeshi ambalo linaweza kubambika kesi kwa yeyote wamtakae na lisihojiwe na chombo chochote.
Wameenda mbali wanaua mtu yeyote hasa wafanyabishara endapo wataona ana mali za kumpora,wanamuua na wanamtupa na kuchukua mali zake kwa jeuri kabisa wakijua kabisa kwamba hakuna chombo kingine kinachoweza kupepeleleza jinai zaidi yao.
Polisi Tanzania ni janga kuu,serikali unda chombo kipya kilisimamie jeshi la polisi,hawawezi tena kujisimamia ,wamegeuka laana kwa nchi
Serikali fanyeni haraka tuokoe wananchi dhidi ya wapumbavu hawa!!! Kama mishahara midogo waongezeni.
Dawa ni kufumua jeshi na kulisuka upya na kuproni wasiofaa wote, hii habari ya kuunda chombo itatulazimu kuunda chombo kingine kukisimamia hicho chombo kinacholisimamia jeshi in other words ni kuweka viraka juu ya viraka badala ya kushona suruali mpyaPolisi Tanzania limekuwa jeshi ambalo linaweza kubambika kesi kwa yeyote wamtakae na lisihojiwe na chombo chochote.
Wameenda mbali wanaua mtu yeyote hasa wafanyabishara endapo wataona ana mali za kumpora,wanamuua na wanamtupa na kuchukua mali zake kwa jeuri kabisa wakijua kabisa kwamba hakuna chombo kingine kinachoweza kupepeleleza jinai zaidi yao.
Polisi Tanzania ni janga kuu,serikali unda chombo kipya kilisimamie jeshi la polisi,hawawezi tena kujisimamia ,wamegeuka laana kwa nchi
Serikali fanyeni haraka tuokoe wananchi dhidi ya wapumbavu hawa!!! Kama mishahara midogo waongezeni.
Nani aliyekudanganya kuwa hawashitakiwi?
Hapo kwa IGP hamna kitu....Kuna wasomi wenye akili Sana Kama yule alienda Sumatra/latra polisi KAHATANO, sio kina siro wakubumbaPolisi Tanzania limekuwa jeshi ambalo linaweza kubambika kesi kwa yeyote wamtakae na lisihojiwe na chombo chochote.
Wameenda mbali wanaua mtu yeyote hasa wafanyabishara endapo wataona ana mali za kumpora,wanamuua na wanamtupa na kuchukua mali zake kwa jeuri kabisa wakijua kabisa kwamba hakuna chombo kingine kinachoweza kupepeleleza jinai zaidi yao.
Polisi Tanzania ni janga kuu,serikali unda chombo kipya kilisimamie jeshi la polisi,hawawezi tena kujisimamia ,wamegeuka laana kwa nchi
Serikali fanyeni haraka tuokoe wananchi dhidi ya wapumbavu hawa!!! Kama mishahara midogo waongezeni.
Mkuu nadhani ni muda mwafaka wa kuunda 'Police Brutality Committee' ili watu wawe wanapeleka malalamiko yao huko kama wametendewa ndivyo sivyo na jeshi la polisi, na hiyo kamati iwe na uwezo wa kupendekeza kushtakiwa au kufukuzwa kazi kwa polisi watakaokiuka maadili ya kazi........Polisi Tanzania limekuwa jeshi ambalo linaweza kubambika kesi kwa yeyote wamtakae na lisihojiwe na chombo chochote.
Wameenda mbali wanaua mtu yeyote hasa wafanyabishara endapo wataona ana mali za kumpora,wanamuua na wanamtupa na kuchukua mali zake kwa jeuri kabisa wakijua kabisa kwamba hakuna chombo kingine kinachoweza kupepeleleza jinai zaidi yao.
Polisi Tanzania ni janga kuu,serikali unda chombo kipya kilisimamie jeshi la polisi,hawawezi tena kujisimamia ,wamegeuka laana kwa nchi
Serikali fanyeni haraka tuokoe wananchi dhidi ya wapumbavu hawa!!! Kama mishahara midogo waongezeni.
Tangu IGP Mangu aondoke kumekuwa na matatizo mengi kwa sababu PGO haifatiliwi tenaPolisi Tanzania limekuwa jeshi ambalo linaweza kubambika kesi kwa yeyote wamtakae na lisihojiwe na chombo chochote.
Wameenda mbali wanaua mtu yeyote hasa wafanyabishara endapo wataona ana mali za kumpora,wanamuua na wanamtupa na kuchukua mali zake kwa jeuri kabisa wakijua kabisa kwamba hakuna chombo kingine kinachoweza kupepeleleza jinai zaidi yao.
Polisi Tanzania ni janga kuu,serikali unda chombo kipya kilisimamie jeshi la polisi,hawawezi tena kujisimamia ,wamegeuka laana kwa nchi
Serikali fanyeni haraka tuokoe wananchi dhidi ya wapumbavu hawa!!! Kama mishahara midogo waongezeni.
Kosa kubwa lililofanyika kwa chombo hiki wanasiasa kuliingilia kwa baadhi yao kukutumia kulinda uharamia wao nao wakatumia fursa hiyo hiyo kupora mali za rais na kuua, mkuu ili chombo hiki kitendo haki inatakiwa kisamiwe na mahakama kwa mfano ikitokea yapoalalamikoahaksma inaunda jopo la wapelelezi ili kijiridhishaPolisi Tanzania limekuwa jeshi ambalo linaweza kubambika kesi kwa yeyote wamtakae na lisihojiwe na chombo chochote.
Wameenda mbali wanaua mtu yeyote hasa wafanyabishara endapo wataona ana mali za kumpora,wanamuua na wanamtupa na kuchukua mali zake kwa jeuri kabisa wakijua kabisa kwamba hakuna chombo kingine kinachoweza kupepeleleza jinai zaidi yao.
Polisi Tanzania ni janga kuu,serikali unda chombo kipya kilisimamie jeshi la polisi,hawawezi tena kujisimamia ,wamegeuka laana kwa nchi
Serikali fanyeni haraka tuokoe wananchi dhidi ya wapumbavu hawa!!! Kama mishahara midogo waongezeni.
Polisi Tanzania limekuwa jeshi ambalo linaweza kubambika kesi kwa yeyote wamtakae na lisihojiwe na chombo chochote.
Wameenda mbali wanaua mtu yeyote hasa wafanyabishara endapo wataona ana mali za kumpora,wanamuua na wanamtupa na kuchukua mali zake kwa jeuri kabisa wakijua kabisa kwamba hakuna chombo kingine kinachoweza kupepeleleza jinai zaidi yao.
Polisi Tanzania ni janga kuu,serikali unda chombo kipya kilisimamie jeshi la polisi,hawawezi tena kujisimamia ,wamegeuka laana kwa nchi
Serikali fanyeni haraka tuokoe wananchi dhidi ya wapumbavu hawa!!! Kama mishahara midogo waongezeni.
lisi Tanzania limekuwa jeshi ambalo linaweza kubambika kesi kwa yeyote wamtakae na lisihojiwe na chombo chochote.
Wameenda mbali wanaua mtu yeyote hasa wafanyabishara endapo wataona ana mali za kumpora,wanamuua na wanamtupa na kuchukua mali zake kwa jeuri kabisa wakijua kabisa kwamba hakuna chombo kingine kinachoweza kupepeleleza jinai zaidi yao.
Polisi Tanzania ni janga kuu,serikali unda chombo kipya kilisimamie jeshi la polisi,hawawezi tena kujisimamia ,wamegeuka laana kwa nchi
Serikali fanyeni haraka tuokoe wananchi dhidi ya wapumbavu hawa!!! Kama mishahara midogo waongezeni.