Smart codetz
JF-Expert Member
- Jan 25, 2023
- 218
- 875
Kale kadogo kale ni katheenge thana.Kamechagua ujinga badala ya akili.Wakati Mudathir anasaini huo mkataba, yule kichwa maji hivi tunavyo ongea atakuwa ameshavuka tayari bahari kwenda kudeka kwa mama yake.
Kweli hii dunia haina usawa hata kidogo.
alitolewa kwa mkopo nadhani itakuwa ni dodoma jiji yupoYanga na Wapemba ni kama Pete na Kidole. Hivi Shaibu Ninja alienda wapi? Timu ya Mzee Karume lazima Ndugu zake wapate Ulaji shekhee sie hayatuhusu
Mkopo wake ulishaisha na alisharudi Yanga dirisha dogo. Hata mapinduzi cup alichezaalitolewa kwa mkopo nadhani itakuwa ni dodoma jiji yupo
Yote yanawezekanaHuyu ndio kampiga kitu Feisal akili ziruke (kidding)
Sio sapongi hata kutuliza mpira hajuiKuna watu walimsajili SAWADOGO
Hao ndugu zetu yakhee.....Yanga na Wapemba ni kama Pete na Kidole. Hivi Shaibu Ninja alienda wapi? Timu ya Mzee Karume lazima Ndugu zake wapate Ulaji shekhee sie hayatuhusu
Huyo ndo mchezaji aliyekomaa na professional. Siyo ujinga wa mla ugali sukari.Klabu ya Yanga imethibitisha kumuongezea Mkataba wa miaka mow ili 2)kiungo Mudathir Yahya wenye kipengele cha kuongeza.
Mudathir alitua Yanga katika dirisha dogo la Januari mwaka huu na ameonyesha kiwango kikubwa kwenye mechi za mashindano alizocheza mpaka sasa.
View attachment 2570255
Alikua kwa mkopo dom jiji sasa kisharudi yuko avic anajifuaYanga na Wapemba ni kama Pete na Kidole. Hivi Shaibu Ninja alienda wapi? Timu ya Mzee Karume lazima Ndugu zake wapate Ulaji shekhee sie hayatuhusu
Walio mwehusha hawa hapa🦁🦁.,😂Huyu ndio kampiga kitu Feisal akili ziruke (kidding)