Kiungo fundi (Mudathir Yahya) asaini miaka 2 Yanga SC

Kiungo fundi (Mudathir Yahya) asaini miaka 2 Yanga SC

Smart codetz

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2023
Posts
218
Reaction score
875
Klabu ya Yanga imethibitisha kumuongezea Mkataba wa miaka mow ili 2)kiungo Mudathir Yahya wenye kipengele cha kuongeza.

Mudathir alitua Yanga katika dirisha dogo la Januari mwaka huu na ameonyesha kiwango kikubwa kwenye mechi za mashindano alizocheza mpaka sasa.

D7F304E9-73D8-48D2-837D-2BF5A07800FA.jpeg
 
Klabu ya Yanga imethibitisha kumuongezea Mkataba wa miaka mow ili 2)kiungo Mudathir Yahya wenye kipengele cha kuongeza.

Mudathir alitua Yanga katika dirisha dogo la Januari mwaka huu na ameonyesha kiwango kikubwa kwenye mechi za mashindano alizocheza mpaka sasa.

View attachment 2570255
Huyo ndo mchezaji aliyekomaa na professional. Siyo ujinga wa mla ugali sukari.
 
Back
Top Bottom