Toka Kitambo Nilikuwa Namuwashia Moto Kule Twitter Akanipiga Block...Nikamfata Insta Pelekea Moto ile ile Na Wadau Wengine Kibao...Saiv Naona Kafuta Kila Kitu Kwenye Acc Yake [emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2291799View attachment 2291800
Nilisemea kwa kipindi cha miongo ya karibuni. Lol.Hapo awali ulisema Yanga haijawahi kuofunga Simba SC goli zaidi ya 2.
[emoji23][emoji23]
Wachawi wapo Msimbazi , maana wanawanga hadi nje ya nchi, hadi kupata tuzoUnatambulishaje nchezaji saa nane usiku kama sio uchawi ni nini
Kuna kolo mmoja alianzisha uzi kuwa Yanga haiwezi kumsajiri Azizi, sijui anatesekea wapi saa hiiKolo wizard wamepigwa kwenye mshono.πππ
Mlongo umila panadu ni manji kasisimu tekee..!! LihukiSasa km zamani, hata simba ilishawahi kuifunga yanga 6 kwa 0.
Na tunaongelea wakati huu, kwann ujitoe ufahamu??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa nyie mna mafanikio gani? Wallah umevurugwa wee.Ukianza kuhesabu umri wako unaanzia mwaka uliozaliwa au utaanzia mwaka ulio vunja ungo?
Kwanini uanzie miaka ya hivi karibuni kudefine mafanikio ya Mabingwa wa Kihistoria?View attachment 2292857
Mlongo kambi matombooo, habari unayoooo?? Husindikizi team wee?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mlongo umila panadu ni manji kasisimu tekee..!! Lihuki
Ne nikuvalendelela pa vikonganika ni SimbaMlongo kambi matombooo, habari unayoooo?? Husindikizi team wee?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Cha tilola tutama nuhu.Ne nikuvalendelela pa vikonganika ni Simba
Enaaaa..!! Akoto kuvemba munu..!!Cha tilola tutama nuhu.
Avemba yani? Nene kwa ndawa ya kyani hoti?Enaaaa..!! Akoto kuvemba munu..!!