Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikuwa mwenyekiti wa Democratic Party.Ukiisikiliza sauti katika video Kuna maneno mchungaji anayasema, Kwa cheo chako huna mamlaka ya kunikamata, akisisitiza Kwani we hujui???
Hata wewe ukipelekwa kituoni, askari anaetakiwa kukuhoji ni lazima awe na cheo cha kuanzia Corporal.Ukiisikiliza sauti katika video Kuna maneno mchungaji anayasema, Kwa cheo chako huna mamlaka ya kunikamata, akisisitiza Kwani we hujui???
Nipe hicho kifungu na nijue ni sheria ganiHata wewe ukipelekwa kituoni, askari anaetakiwa kukuhoji ni lazima awe na cheo cha kuanzia Corporal.
Superitendent of Police.Kwahiyo askari anae takiwa kumkamata ikiwa anatuhuma anatakiwa aanzie cheo Gani??
Wanasheria wa mtandaoni haoSwali zuri tumsubiri atuletee majibu
Kwamantiki, kama viongozi wa kitaifa watatenda makosa,Sheria itafanya kazi pasipo kujali cheo Wala wadhifa wa mtu yeyote, je mtikila alipata wapi ujasiri wa kusema aliyo yasema, au anacheo ambacho raia tulikuwa hatukijui?Kukamatwa siyo askari tu hata raia anaruhusiwa kukukamata ikiwa utatenda uhalifu
Kuhojiwa utahojiwa na askari wa cheo chochote kwa mujibu wa kifungu cha 10 CPA cap 20 RE 2022.
Kwakweli tuitane tuje tupeane madini maana napata wasiwasi Hawa tunao waita viongozi wa kitaifa wasije wakawa wanavyeo ambavyo vinawapa immunity ya kusema chochote tukisema sisi walala hoi humalizi hata dk mbili hauonekaniraraa reree mtu wa system msaada wako tafadhali.
Kukamata siyo lazima kutumia nguvu askari haruhusiwi kutumia nguvu wakati wa kukamata ikiwa hakuna resistance yoyote kwa Mtikila ilikua wanaweza tu hata kumuita kituo cha polisi na akaenda mwenyewe, nguvu inatumika pale tu muhalifu anapokataa kutii amri ya kukamatwa na nguvu yenyewe iwe na uwianoKwamantiki, kama viongozi wa kitaifa watatenda makosa,Sheria itafanya kazi pasipo kujali cheo Wala wadhifa wa mtu yeyote, je mtikila alipata wapi ujasiri wa kusema aliyo yasema, au anacheo ambacho raia tulikuwa hatukijui?
Kwakweli tuitane tuje tupeane madini maana napata wasiwasi Hawa tunao waita viongozi wa kitaifa wasije wakawa wanavyeo ambavyo vinawapa immunity ya kusema chochote tukisema sisi walala hoi humalizi hata dk mbili hauonekaniraraa reree mtu wa system msaada wako tafadhali.
KUmbe mzee wa likes ni teeth?raraa reree mtu wa system msaada wako tafadhali.
Hili sakata nalikumbuka vizuri sana kwani nilikuwepo hapo, huyo Koplo wa polisi alidhalilika sana kwani mwishowe Mtikila alimwambi wewe kazi yako ni kukamata vibaka kule barabarani, na hata boss wenu Said Mwema akinihitaji ananipigia simu nakwenda mwenyewe au ananiletea usafiri wa hadhi yangu, masikini yule njagu aliondoka kwa aibu huku watu wakimzomea.Ukiisikiliza sauti katika video Kuna maneno mchungaji anayasema, Kwa cheo chako huna mamlaka ya kunikamata, akisisitiza Kwani we hujui?
View attachment 3084950
mgamboKwahiyo askari anae takiwa kumkamata ikiwa anatuhuma anatakiwa aanzie cheo Gani??
Anakukumbusha kuhusu ujasiri ,(confidence), mfano hai jikumbushe ukiwa huna pesa ni vitu gani utashindwa kuvifanyaOk kwahiyo kwenye ukamataji alitakiwa askari mwenye cheo Gani aweze kumkata
Mkuu haya mambo Huwa yanafikirisha Sana, inawezekana ikawa uko sahihi kwamba anaweza akaitwa akaenda lakini wakati mwingine wanaitwa na hawaendi mfano TUNDU LISU juzi tu aliitwa na akasema haendiKukamata siyo lazima kutumia nguvu askari haruhusiwi kutumia nguvu wakati wa kukamata ikiwa hakuna resistance yoyote kwa Mtikila ilikua wanaweza tu hata kumuita kituo cha polisi na akaenda mwenyewe, nguvu inatumika pale tu muhalifu anapokataa kutii amri ya kukamatwa na nguvu yenyewe iwe na uwiano