Kiutaniutani Trump anaondoka White House

Kiutaniutani Trump anaondoka White House

Superbug

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
13,864
Reaction score
35,079
Jamani kimasihara Trump anaondoka Ikulu tayari Jerry Nadler ameshawasilisha articles mbili za impeachment pia Waziri wa Mambo ya nje wa Urusi, Ivan Ravlov ameenda kuokoa jahazi.

Je, ya Richard Nixon yatajirudia?

Democrats wameamua kumng'oa Trump wanamshtaki Trump kwa Mambo mawili

1.Kutumia mamlaka vibaya (abuse of power)

2.Kuingilia Uhuru na mamlaka ya bunge //Congress obstruction.

Yetu macho huo ndio Uhuru na demokrasia ya kweli !!
 
Mimi naamini mambo anayoyafanya Trump ndio mambo ambayo the Americans wants, hiyo impeachment ni just wapinzani tuu wa kazi nzuri ya Trump kwasababu kuna mambo makubwa mabaya yamefanywa na marais wa Marekani waliostahili sio tuu impeachment bali walipaswa wapelekwe na Hague!.

The Iraq war, wakamsingizia Saddam ana WMD, wakamtoa wakamnyonga!. Angalia sasa Iraq!.

Wakamvaa Quadafi kwa kosa la kuhamasisha muungano wa Africa, tuunde taifa moja kubwa lenye nguvu kama USA, ndilo bara lenye rasilimali nyingi kuliko bara lolote, Africa is the richest continent, hivyo tusinge hitaji IMF wala WB, na UN tungekuwa na kura ya Veto!. Wakamshughulikia!.

Angalia walichofanya Afghanistan?. Angalia ukiukwaji mkubwa wa haki za binaadam uliofanywa katika gereza la Guantanamo!.
All these ni mambo yaliwahitaji marais wa Marekani wafikishwe the Hague, but this is what the Americans wants, kadri rais wao anapokuwa mbabe mbabe, ndivyo the American people wanavyozidi kumpenda na kumuona ni hero, hayo mambo ya impeachment ni politics tuu za Democrats na ni upepo tuu ambao utapita.

Ni kama mambo anayoyafanya Magufuli wetu, anakanyaga katiba, anaminya demokrasia kiaina, freedom of speech, freedom of expression, freedom of association, freedom of movement, freedom of the press, some civil
rights na political rights, mashakani, sasa ndio tunaelekea 2020 October na kuirejesha Tanzania kuwa nchi ya chama kimoja, kikatiba, kisheria, kikanuni na kiutaratibu, ilipaswa Magufuli awe amewekwa pembeni tangu pale alipozuia mikutano ya siasa, kitu ambacho katiba imeruhusu, rais wetu ameapa kuilinda, halafu amepata wapi mamlaka ya kuja kuikiuka?.

Jee umewahi kusikia mtu yoyote, chama chochote au taasisi yoyote ikipinga rasmi haya Magufuli anayoyafanya?. Ukiondoa hizi kelele tuu za hapa na pale, hakuna yoyote anayepinga lolote la rais Magufuli, kwasababu haya anayoyafanya rais Magufuli, ndio Watanzania tunayoyataka, Watanzania wanataka maendeleo, rais Magufuli analeta maendeleo, hata kama some of the expenses za maendeleo hayo ni pamoja na pyu pyu 16 kwa wasaliti wa kasi yake, au kupotea kwa vimbelembele wa kuusema ukweli kama Azory Gwanda au wafukunyuku kama Ben Saanane, miili ya watu kuokotwa kwenye viroba, simu za watu kudukuliwa na voice notes kutupwa public, etc etc, if that is the price of the development Tanzanians wants, we will pay that price, and in fact we are now paying that, vile vipengele vya Ibara ya 46 kwenye katiba yetu, viliwekwa kuwafurahisha tuu wafadhili, kama tunavyofanya maigizo ya chaguzi za kidemokrasia kama huu wa juzi wa serikali za mitaa, na funga kazi ni 2020!.

If anachofanya Trump ni what the American's people wants nashauri the wishes of the people ziheshimiwe, hizo impeachment proceedings ni just wastage of time money and resources
P
 
Mimi naamini mambo anayoyafanya Trump ndio mambo ambayo the Americans wants, hiyo impeachment ni just wapinzani tuu wa kazi nzuri ya Trump kwasababu kuna mambo makubwa mabaya yamefanywa na marais wa Marekani waliostahili sio tuu impeachment bali walipaswa wapelekwe na Hague!.

P
Hahahaha, anko ni same situation km hapa nyumbani, tuko vzr ila wapinzani wachache ndio hulalamika
 
Pascal Mayalla,
Wewe ungekuwa ndiye Rais wa USA kisha uone ile minara pacha inaangushwa kimasihara masihara mbele ya macho yako unashuhudia watu 3500 wanaanguka sijui ungeambia nini wamarekani wakuelewe na wanavyojua kudeka kwa Rais wao pale wanapopata tatizo la ugaidi. Hata hivyo kupiga Kabul na Baghdad pekee Bush alitumia upole sana. Uwe Rais wa USA kisha uone kindege from no where kinapenya mabehewa saba ya Pentagon hujakaa sawa vingine viwili vinapishana kwa dakika tano ku hit perfectly ile minara pacha hujakaa sawa unaambiwa kuna kingine kimoja kilikuwa kinakufuata sema tu kimechelewa na sisi tumeshapata taarifa za yaliyotokea kisha tukakiangushia hapa...wewe acha kabisa!
 
Pascal Mayalla,
nilifikirigi una akili kumbe siyo.nilikiri ni mzalendo kumbe siyo!!nilifikiri ni intelectual kumbe siyo.do you have prove kwamba hayo yote uliyosema ni JPM ameyafanya??if no search no right to write or speach.and by the way ukiona mbweha wanakupigia kelele ni vema kuwaweka pembeni kwanza.eg Mtukane askofu au shehe wako uone utakachofanyiwa na waumini wenzako
 
Kuna vitu kama kiongozi lazima uwajibike.
Mfano watoto hawawezi kupigana mbele yako na wakaumizana na wewe upo upo tuu unawangalia hata bila kukemea.
Magufuli hajawahi kukemea mauaji au hata kuzungumzia watu kutekwa na kupotea.
Kwanini?
Swali, anapendezwa na hayo?
Ksma jibu ni ndio basi kwanini asilaumiwe?
nilifikirigi una akili kumbe siyo.nilikiri ni mzalendo kumbe siyo!!nilifikiri ni intelectual kumbe siyo.do you have prove kwamba hayo yote uliyosema ni JPM ameyafanya??if no search no right to write or speach.and by the way ukiona mbweha wanakupigia kelele ni vema kuwaweka pembeni kwanza.eg Mtukane askofu au shehe wako uone utakachofanyiwa na waumini wenzako
 
Lakin si yametokea JPM akiwa rais?
Umesahau pia kuwa ndiye aliyepiga marufuku mikutano ya kisiasa?
Ina maana hujui pia kuwa analiendesha bunge, kumbuka kidogo kauli yake kwa spika kuwa washughulikie huko ndani mie namalizana nao huku nje
nilifikirigi una akili kumbe siyo.nilikiri ni mzalendo kumbe siyo!!nilifikiri ni intelectual kumbe siyo.do you have prove kwamba hayo yote uliyosema ni JPM ameyafanya??if no search no right to write or speach.and by the way ukiona mbweha wanakupigia kelele ni vema kuwaweka pembeni kwanza.eg Mtukane askofu au shehe wako uone utakachofanyiwa na waumini wenzako
 
Back
Top Bottom