Kiutaniutani Trump anaondoka White House

Kiutaniutani Trump anaondoka White House

Niliwahi sikia mahala kua kosa kubwa lililofanya jamaa achukiwe kwanza na kupinga vikali issue za ushoga na mapenzi ya jinsia moja pili ku cancel pesa zote za serikali zilizokua zinaenda kwenye masuala ya abortion wao wanaita haki za binadamu
Ndio maana wanamfanyia visa juu chini atoke
Unadhani marekani ni kama nchi zenu za kipumbavu ambapo Rais akiamka anaamua lolote tu!

Kwa marekani, mapenzi ya jinsia moja sio takwa la Rais wala Rais hana mamlaka ya kuamua kuruhusu ushoga ama kupinga ushoga!

Swala la mapenzi ya jinsia moja lilishaamuliwa na mahakama baada ya milolongo mirefu ya kesi nyingi toka miaka ya 1800's huko. Wakati huo Tanganyika haipo hata katika ramani ya dunia!

Kwahiyo madai yako kuhusu ushoga na arbotion ni potofu na hayana uhalisia.

Donald Trump anang'olewa katika misingi ya misuguano ya kisiasa tu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi naamini mambo anayoyafanya Trump ndio mambo ambayo the Americans wants, hiyo impeachment ni just wapinzani tuu wa kazi nzuri ya Trump kwasababu kuna mambo makubwa mabaya yamefanywa na marais wa Marekani waliostahili sio tuu impeachment bali walipaswa wapelekwe na Hague!.

The Iraq war, wakamsingizia Saddam ana WMD, wakamtoa wakamnyonga!. Angalia sasa Iraq!.

Wakamvaa Quadafi kwa kosa la kuhamasisha muungano wa Africa, tuunde taifa moja kubwa lenye nguvu kama USA, ndilo bara lenye rasilimali nyingi kuliko bara lolote, Africa is the richest continent, hivyo tusinge hitaji IMF wala WB, na UN tungekuwa na kura ya Veto!. Wakamshughulikia!.

Angalia walichofanya Afghanistan?. Angalia ukiukwaji mkubwa wa haki za binaadam uliofanywa katika gereza la Guantanamo!.
All these ni mambo yaliwahitaji marais wa Marekani wafikishwe the Hague, but this is what the Americans wants, kadri rais wao anapokuwa mbabe mbabe, ndivyo the American people wanavyozidi kumpenda na kumuona ni hero, hayo mambo ya impeachment ni politics tuu za Democrats na ni upepo tuu ambao utapita.

Ni kama mambo anayoyafanya Magufuli wetu, anakanyaga katiba, anaminya demokrasia kiaina, freedom of speech, freedom of expression, freedom of association, freedom of movement, freedom of the press, some civil
rights na political rights, mashakani, sasa ndio tunaelekea 2020 October na kuirejesha Tanzania kuwa nchi ya chama kimoja, kikatiba, kisheria, kikanuni na kiutaratibu, ilipaswa Magufuli awe amewekwa pembeni tangu pale alipozuia mikutano ya siasa, kitu ambacho katiba imeruhusu, rais wetu ameapa kuilinda, halafu amepata wapi mamlaka ya kuja kuikiuka?.

Jee umewahi kusikia mtu yoyote, chama chochote au taasisi yoyote ikipinga rasmi haya Magufuli anayoyafanya?. Ukiondoa hizi kelele tuu za hapa na pale, hakuna yoyote anayepinga lolote la rais Magufuli, kwasababu haya anayoyafanya rais Magufuli, ndio Watanzania tunayoyataka, Watanzania wanataka maendeleo, rais Magufuli analeta maendeleo, hata kama some of the expenses za maendeleo hayo ni pamoja na pyu pyu 16 kwa wasaliti wa kasi yake, au kupotea kwa vimbelembele wa kuusema ukweli kama Azory Gwanda au wafukunyuku kama Ben Saanane, miili ya watu kuokotwa kwenye viroba, simu za watu kudukuliwa na voice notes kutupwa public, etc etc, if that is the price of the development Tanzanians wants, we will pay that price, and in fact we are now paying that, vile vipengele vya Ibara ya 46 kwenye katiba yetu, viliwekwa kuwafurahisha tuu wafadhili, kama tunavyofanya maigizo ya chaguzi za kidemokrasia kama huu wa juzi wa serikali za mitaa, na funga kazi ni 2020!.

If anachofanya Trump ni what the American's people wants nashauri the wishes of the people ziheshimiwe, hizo impeachment proceedings ni just wastage of time money and resources
P

28af0de3-f3d3-4d2b-8871-8e42f1dc3b02.jpg




Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Huyo waziri siyo Ivan acha kutuzuga
Jamani kimasihara Trump anaondoka Ikulu tayari Jerry Nadler ameshawasilisha articles mbili za impeachment pia Waziri wa Mambo ya nje wa Urusi, Ivan Ravlov ameenda kuokoa jahazi.

Je, ya Richard Nixon yatajirudia?

Democrats wameamua kumng'oa Trump wanamshtaki Trump kwa Mambo mawili

1.Kutumia mamlaka vibaya (abuse of power)

2.Kuingilia Uhuru na mamlaka ya bunge //Congress obstruction.

Yetu macho huo ndio Uhuru na demokrasia ya kweli !!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi naamini mambo anayoyafanya Trump ndio mambo ambayo the Americans wants, hiyo impeachment ni just wapinzani tuu wa kazi nzuri ya Trump kwasababu kuna mambo makubwa mabaya yamefanywa na marais wa Marekani waliostahili sio tuu impeachment bali walipaswa wapelekwe na Hague!.

The Iraq war, wakamsingizia Saddam ana WMD, wakamtoa wakamnyonga!. Angalia sasa Iraq!.

Wakamvaa Quadafi kwa kosa la kuhamasisha muungano wa Africa, tuunde taifa moja kubwa lenye nguvu kama USA, ndilo bara lenye rasilimali nyingi kuliko bara lolote, Africa is the richest continent, hivyo tusinge hitaji IMF wala WB, na UN tungekuwa na kura ya Veto!. Wakamshughulikia!.

Angalia walichofanya Afghanistan?. Angalia ukiukwaji mkubwa wa haki za binaadam uliofanywa katika gereza la Guantanamo!.
All these ni mambo yaliwahitaji marais wa Marekani wafikishwe the Hague, but this is what the Americans wants, kadri rais wao anapokuwa mbabe mbabe, ndivyo the American people wanavyozidi kumpenda na kumuona ni hero, hayo mambo ya impeachment ni politics tuu za Democrats na ni upepo tuu ambao utapita.

Ni kama mambo anayoyafanya Magufuli wetu, anakanyaga katiba, anaminya demokrasia kiaina, freedom of speech, freedom of expression, freedom of association, freedom of movement, freedom of the press, some civil
rights na political rights, mashakani, sasa ndio tunaelekea 2020 October na kuirejesha Tanzania kuwa nchi ya chama kimoja, kikatiba, kisheria, kikanuni na kiutaratibu, ilipaswa Magufuli awe amewekwa pembeni tangu pale alipozuia mikutano ya siasa, kitu ambacho katiba imeruhusu, rais wetu ameapa kuilinda, halafu amepata wapi mamlaka ya kuja kuikiuka?.

Jee umewahi kusikia mtu yoyote, chama chochote au taasisi yoyote ikipinga rasmi haya Magufuli anayoyafanya?. Ukiondoa hizi kelele tuu za hapa na pale, hakuna yoyote anayepinga lolote la rais Magufuli, kwasababu haya anayoyafanya rais Magufuli, ndio Watanzania tunayoyataka, Watanzania wanataka maendeleo, rais Magufuli analeta maendeleo, hata kama some of the expenses za maendeleo hayo ni pamoja na pyu pyu 16 kwa wasaliti wa kasi yake, au kupotea kwa vimbelembele wa kuusema ukweli kama Azory Gwanda au wafukunyuku kama Ben Saanane, miili ya watu kuokotwa kwenye viroba, simu za watu kudukuliwa na voice notes kutupwa public, etc etc, if that is the price of the development Tanzanians wants, we will pay that price, and in fact we are now paying that, vile vipengele vya Ibara ya 46 kwenye katiba yetu, viliwekwa kuwafurahisha tuu wafadhili, kama tunavyofanya maigizo ya chaguzi za kidemokrasia kama huu wa juzi wa serikali za mitaa, na funga kazi ni 2020!.

If anachofanya Trump ni what the American's people wants nashauri the wishes of the people ziheshimiwe, hizo impeachment proceedings ni just wastage of time money and resources
P
Paschal, huko kupay the price ndipo ulipoharibu! Yani wazazi,ndugu na jamaa wa Azory,Ben na wengineo waumie kwa kuwapoteza ndugu zao alafu wewe unaongea simple sana tu!

Utakapopotelewa na ndugu yako wa karibu utanielewa vizuri!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi naamini mambo anayoyafanya Trump ndio mambo ambayo the Americans wants, hiyo impeachment ni just wapinzani tuu wa kazi nzuri ya Trump kwasababu kuna mambo makubwa mabaya yamefanywa na marais wa Marekani waliostahili sio tuu impeachment bali walipaswa wapelekwe na Hague!.

The Iraq war, wakamsingizia Saddam ana WMD, wakamtoa wakamnyonga!. Angalia sasa Iraq!.

Wakamvaa Quadafi kwa kosa la kuhamasisha muungano wa Africa, tuunde taifa moja kubwa lenye nguvu kama USA, ndilo bara lenye rasilimali nyingi kuliko bara lolote, Africa is the richest continent, hivyo tusinge hitaji IMF wala WB, na UN tungekuwa na kura ya Veto!. Wakamshughulikia!.

Angalia walichofanya Afghanistan?. Angalia ukiukwaji mkubwa wa haki za binaadam uliofanywa katika gereza la Guantanamo!.
All these ni mambo yaliwahitaji marais wa Marekani wafikishwe the Hague, but this is what the Americans wants, kadri rais wao anapokuwa mbabe mbabe, ndivyo the American people wanavyozidi kumpenda na kumuona ni hero, hayo mambo ya impeachment ni politics tuu za Democrats na ni upepo tuu ambao utapita.

Ni kama mambo anayoyafanya Magufuli wetu, anakanyaga katiba, anaminya demokrasia kiaina, freedom of speech, freedom of expression, freedom of association, freedom of movement, freedom of the press, some civil
rights na political rights, mashakani, sasa ndio tunaelekea 2020 October na kuirejesha Tanzania kuwa nchi ya chama kimoja, kikatiba, kisheria, kikanuni na kiutaratibu, ilipaswa Magufuli awe amewekwa pembeni tangu pale alipozuia mikutano ya siasa, kitu ambacho katiba imeruhusu, rais wetu ameapa kuilinda, halafu amepata wapi mamlaka ya kuja kuikiuka?.

Jee umewahi kusikia mtu yoyote, chama chochote au taasisi yoyote ikipinga rasmi haya Magufuli anayoyafanya?. Ukiondoa hizi kelele tuu za hapa na pale, hakuna yoyote anayepinga lolote la rais Magufuli, kwasababu haya anayoyafanya rais Magufuli, ndio Watanzania tunayoyataka, Watanzania wanataka maendeleo, rais Magufuli analeta maendeleo, hata kama some of the expenses za maendeleo hayo ni pamoja na pyu pyu 16 kwa wasaliti wa kasi yake, au kupotea kwa vimbelembele wa kuusema ukweli kama Azory Gwanda au wafukunyuku kama Ben Saanane, miili ya watu kuokotwa kwenye viroba, simu za watu kudukuliwa na voice notes kutupwa public, etc etc, if that is the price of the development Tanzanians wants, we will pay that price, and in fact we are now paying that, vile vipengele vya Ibara ya 46 kwenye katiba yetu, viliwekwa kuwafurahisha tuu wafadhili, kama tunavyofanya maigizo ya chaguzi za kidemokrasia kama huu wa juzi wa serikali za mitaa, na funga kazi ni 2020!.

If anachofanya Trump ni what the American's people wants nashauri the wishes of the people ziheshimiwe, hizo impeachment proceedings ni just wastage of time money and resources
P
Kaka hapa wakati unaandika kuna kinywaji ulikuwa unagoea eee maana si kwa mtiririko huu.
 
Dah hapa naona umegeuka Marvin Gaye unamtomasa mtu na lets get it on....
Mimi naamini mambo anayoyafanya Trump ndio mambo ambayo the Americans wants, hiyo impeachment ni just wapinzani tuu wa kazi nzuri ya Trump kwasababu kuna mambo makubwa mabaya yamefanywa na marais wa Marekani waliostahili sio tuu impeachment bali walipaswa wapelekwe na Hague!.

The Iraq war, wakamsingizia Saddam ana WMD, wakamtoa wakamnyonga!. Angalia sasa Iraq!.

Wakamvaa Quadafi kwa kosa la kuhamasisha muungano wa Africa, tuunde taifa moja kubwa lenye nguvu kama USA, ndilo bara lenye rasilimali nyingi kuliko bara lolote, Africa is the richest continent, hivyo tusinge hitaji IMF wala WB, na UN tungekuwa na kura ya Veto!. Wakamshughulikia!.

Angalia walichofanya Afghanistan?. Angalia ukiukwaji mkubwa wa haki za binaadam uliofanywa katika gereza la Guantanamo!.
All these ni mambo yaliwahitaji marais wa Marekani wafikishwe the Hague, but this is what the Americans wants, kadri rais wao anapokuwa mbabe mbabe, ndivyo the American people wanavyozidi kumpenda na kumuona ni hero, hayo mambo ya impeachment ni politics tuu za Democrats na ni upepo tuu ambao utapita.

Ni kama mambo anayoyafanya Magufuli wetu, anakanyaga katiba, anaminya demokrasia kiaina, freedom of speech, freedom of expression, freedom of association, freedom of movement, freedom of the press, some civil
rights na political rights, mashakani, sasa ndio tunaelekea 2020 October na kuirejesha Tanzania kuwa nchi ya chama kimoja, kikatiba, kisheria, kikanuni na kiutaratibu, ilipaswa Magufuli awe amewekwa pembeni tangu pale alipozuia mikutano ya siasa, kitu ambacho katiba imeruhusu, rais wetu ameapa kuilinda, halafu amepata wapi mamlaka ya kuja kuikiuka?.

Jee umewahi kusikia mtu yoyote, chama chochote au taasisi yoyote ikipinga rasmi haya Magufuli anayoyafanya?. Ukiondoa hizi kelele tuu za hapa na pale, hakuna yoyote anayepinga lolote la rais Magufuli, kwasababu haya anayoyafanya rais Magufuli, ndio Watanzania tunayoyataka, Watanzania wanataka maendeleo, rais Magufuli analeta maendeleo, hata kama some of the expenses za maendeleo hayo ni pamoja na pyu pyu 16 kwa wasaliti wa kasi yake, au kupotea kwa vimbelembele wa kuusema ukweli kama Azory Gwanda au wafukunyuku kama Ben Saanane, miili ya watu kuokotwa kwenye viroba, simu za watu kudukuliwa na voice notes kutupwa public, etc etc, if that is the price of the development Tanzanians wants, we will pay that price, and in fact we are now paying that, vile vipengele vya Ibara ya 46 kwenye katiba yetu, viliwekwa kuwafurahisha tuu wafadhili, kama tunavyofanya maigizo ya chaguzi za kidemokrasia kama huu wa juzi wa serikali za mitaa, na funga kazi ni 2020!.

If anachofanya Trump ni what the American's people wants nashauri the wishes of the people ziheshimiwe, hizo impeachment proceedings ni just wastage of time money and resources
P

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna vitu kama kiongozi lazima uwajibike.
Mfano watoto hawawezi kupigana mbele yako na wakaumizana na wewe upo upo tuu unawangalia hata bila kukemea.
Magufuli hajawahi kukemea mauaji au hata kuzungumzia watu kutekwa na kupotea.
Kwanini?
Swali, anapendezwa na hayo?
Ksma jibu ni ndio basi kwanini asilaumiwe?
Well said

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamani kimasihara Trump anaondoka Ikulu tayari Jerry Nadler ameshawasilisha articles mbili za impeachment pia Waziri wa Mambo ya nje wa Urusi, Ivan Ravlov ameenda kuokoa jahazi.

Je, ya Richard Nixon yatajirudia?

Democrats wameamua kumng'oa Trump wanamshtaki Trump kwa Mambo mawili

1.Kutumia mamlaka vibaya (abuse of power)

2.Kuingilia Uhuru na mamlaka ya bunge //Congress obstruction.

Yetu macho huo ndio Uhuru na demokrasia ya kweli !!
Hiyo ni ndoto za alinacha . Seneti bado ina nguvu ya kumlinda Rais Trump kwasababu seneti ndio yenye maamuzi ya mwisho. Bunge limetawaliwa na democrats na seneti imetawaliwa na Republican. Republican ndio Wana last say juu ya impeachment wakiikataa basi imeshindikana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi naamini mambo anayoyafanya Trump ndio mambo ambayo the Americans wants, hiyo impeachment ni just wapinzani tuu wa kazi nzuri ya Trump kwasababu kuna mambo makubwa mabaya yamefanywa na marais wa Marekani waliostahili sio tuu impeachment bali walipaswa wapelekwe na Hague!.

The Iraq war, wakamsingizia Saddam ana WMD, wakamtoa wakamnyonga!. Angalia sasa Iraq!.

Wakamvaa Quadafi kwa kosa la kuhamasisha muungano wa Africa, tuunde taifa moja kubwa lenye nguvu kama USA, ndilo bara lenye rasilimali nyingi kuliko bara lolote, Africa is the richest continent, hivyo tusinge hitaji IMF wala WB, na UN tungekuwa na kura ya Veto!. Wakamshughulikia!.

Angalia walichofanya Afghanistan?. Angalia ukiukwaji mkubwa wa haki za binaadam uliofanywa katika gereza la Guantanamo!.
All these ni mambo yaliwahitaji marais wa Marekani wafikishwe the Hague, but this is what the Americans wants, kadri rais wao anapokuwa mbabe mbabe, ndivyo the American people wanavyozidi kumpenda na kumuona ni hero, hayo mambo ya impeachment ni politics tuu za Democrats na ni upepo tuu ambao utapita.

Ni kama mambo anayoyafanya Magufuli wetu, anakanyaga katiba, anaminya demokrasia kiaina, freedom of speech, freedom of expression, freedom of association, freedom of movement, freedom of the press, some civil
rights na political rights, mashakani, sasa ndio tunaelekea 2020 October na kuirejesha Tanzania kuwa nchi ya chama kimoja, kikatiba, kisheria, kikanuni na kiutaratibu, ilipaswa Magufuli awe amewekwa pembeni tangu pale alipozuia mikutano ya siasa, kitu ambacho katiba imeruhusu, rais wetu ameapa kuilinda, halafu amepata wapi mamlaka ya kuja kuikiuka?.

Jee umewahi kusikia mtu yoyote, chama chochote au taasisi yoyote ikipinga rasmi haya Magufuli anayoyafanya?. Ukiondoa hizi kelele tuu za hapa na pale, hakuna yoyote anayepinga lolote la rais Magufuli, kwasababu haya anayoyafanya rais Magufuli, ndio Watanzania tunayoyataka, Watanzania wanataka maendeleo, rais Magufuli analeta maendeleo, hata kama some of the expenses za maendeleo hayo ni pamoja na pyu pyu 16 kwa wasaliti wa kasi yake, au kupotea kwa vimbelembele wa kuusema ukweli kama Azory Gwanda au wafukunyuku kama Ben Saanane, miili ya watu kuokotwa kwenye viroba, simu za watu kudukuliwa na voice notes kutupwa public, etc etc, if that is the price of the development Tanzanians wants, we will pay that price, and in fact we are now paying that, vile vipengele vya Ibara ya 46 kwenye katiba yetu, viliwekwa kuwafurahisha tuu wafadhili, kama tunavyofanya maigizo ya chaguzi za kidemokrasia kama huu wa juzi wa serikali za mitaa, na funga kazi ni 2020!.

If anachofanya Trump ni what the American's people wants nashauri the wishes of the people ziheshimiwe, hizo impeachment proceedings ni just wastage of time money and resources
P
Nilijua tu huwezi kumaliza bila kumtaja Magufuli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamani kimasihara Trump anaondoka Ikulu tayari Jerry Nadler ameshawasilisha articles mbili za impeachment pia Waziri wa Mambo ya nje wa Urusi, Ivan Ravlov ameenda kuokoa jahazi.

Je, ya Richard Nixon yatajirudia?

Democrats wameamua kumng'oa Trump wanamshtaki Trump kwa Mambo mawili

1.Kutumia mamlaka vibaya (abuse of power)

2.Kuingilia Uhuru na mamlaka ya bunge //Congress obstruction.

Yetu macho huo ndio Uhuru na demokrasia ya kweli !!
Impeachment doesn't mean removal from office.
 
Back
Top Bottom